technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Huyu ni Kikwete hakuna Cha waarabu Wala niniTundu Lissu ana kazi kubwa sana. Hawa watu hawatakubali awe Rais. Never!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni Kikwete hakuna Cha waarabu Wala niniTundu Lissu ana kazi kubwa sana. Hawa watu hawatakubali awe Rais. Never!
Nini wewe? Acha porojo jamvin za hapa na paleMuwe mnaacha uwongo,fitna,uzandiki na uchakubimbi
Lwa kuwa Wasaudi wanawekeza?Hivi hakuna sehemu tupange siku tukutane iwe ni kulia tu.....tulieeee tupoe. Yani ukifika hilo eneo ni kuanza kulia tu kwa makelele
Mageuzi.mwaka wa mapinduzi huu.
Coco beach kuna Bobge la Masjid, hadi panapendeza.Coco Beach, Dar-es-Salaam
'Kwa huyu mwamba acha kabisa.Aliyokuwa anatamka 1980 ndiyo anayatekeleza kama alivyokuwa anataka yafanyike miaka hiyoTrump: Huyu Junior X atakuja kuwa Mtu Mkuu Duniani
Bunge lilibariki?
Tuonyeshee hio picha ya Masjid ya St PeterCoco beach kuna Bobge la Masjid, hadi panapendeza.
Ukitembelea coco beach kama hujaenda upiga picha kwenye Masjid coco beach, unakuwa hujafika coco beach.
Utakuta Bagamoyo kuna bandari ya kimaifa imeajiri maelfu ya wanachi.😭😭😭 Eeenh Mungu watoto wetu na uzao wetu utakuta nini kwenye hii Nchi?
Hilo panga kwenye bendera yao linaonesha shali....
Tutalilia tukiwa wapi huu msiba mpya?Utakuta Bagamoyo kuna bandari ya kimaifa imeajiri maelfu ya wanachi.