Tetesi: Saudi Arabia yapewa haki ya umiliki na uendeshaji wa bandari ya Bagamoyo kama sehemu ya mradi wa East Gate

Tetesi: Saudi Arabia yapewa haki ya umiliki na uendeshaji wa bandari ya Bagamoyo kama sehemu ya mradi wa East Gate



Vyombo vya habari kuanzia Saudia na Ulimwengu wameweka habari hii kama habari kuu Ufalme wa Saudia wapewa haki exclusive kujenga bandari...

KWA UCHACHE KURASA ZA HABARI:

Saudi Arabia acquires Tanzania's Bagamoyo port


Mamlaka ya Tanzania iliipa Kampuni ya Uwekezaji na Maendeleo ya Saudia Afrika (SADC) haki ya upataji na ununuzi wa Bandari ya Bagamoyo iliyoko Tanza.
saudia port bagamoyo from www.argaam.com

Bandari ya Bagamoyo iko kwenye pwani ya mashariki ya Tanzania, na iko ...


... Saudi Arabia ilitangaza kuinunua Bandari ya Bagamoyo nchini Tanzania, ikiwa ni sehemu ya mradi wa “East Gate” unaolenga kuimarisha ...

x.com
https://x.com

Saudi Arabia yanunua Bagamoyo ya Tanzania


9 hours ago — Saudi Arabia acquires Tanzania's Bagamoyo port Saudi Arabia acquires Tanzania’s Bagamoyo port #SaudiArabia #Tanzania #Acquisitions.

TANZANIA: SAUDI ARABIA YAWEKA HAKI YA KUENDESHA ...


Serikali ya Tanzania iliipatia Kampuni ya Uwekezaji na Maendeleo ya Saudia Afrika (SADC) idhini na ununuzi wa bandari hiyo kama ...
saudia port bagamoyo from www.instagram.com



Saudi Arabia yanunua Bagamoyo ya Tanzania.


Saudi Arabia acquires Tanzania's Bagamoyo port Saudi Arabia acquires Tanzania’s Bagamoyo port #SaudiArabia #Tanzania #Acquisitions
 
Vyombo vya habari kuanzia Saudia na Ulimwengu wameweka habari hii kama habari kuu Ufalme wa Saudia wapewa haki exclusive kujenga bandari
Exclusive rights manake wengine wasiingilie lakini wapi Kuna Shida?
 
Kwa

Ufalme wa Saudia yananunua Bandari ya Bagamoyo nchini Tanzania, langona kitovu muhimu zaidi cha usafirishaji katika Afrika Mashariki​


Kingdom inanunua Bandari ya Bagamoyo nchini Tanzania, lango muhimu zaidi la usafirishaji katika Afrika Mashariki

Imeandikwa na Ahmed Hamad

Februari 12, 2025


Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Saudia, Hassan bin Mujib Al-Huwazizi ( Hassan Alhwaizy) , alifichua kuwa mamlaka husika ya Tanzania imetoa haki ya upataji na ununuzi wa Bandari ya Bagamoyo nchini Tanzania kwa Kampuni ya Uwekezaji na Maendeleo ya Saudia (SADC) kama sehemu ya mradi ambao kampuni hiyo imeuita “East Gateway Project”, akimaanisha ukanda wa Afrika Mashariki.


Al-Huwazizi ( Hassan Alhwaizy) alisema kuwa hatua hii itaunga mkono jukumu la Ufalme kama kichocheo kikuu cha maendeleo ya kiuchumi katika ngazi ya kimataifa, na jitihada zake za kupanua uwekezaji wa kigeni, hasa katika bara la Afrika, pamoja na kuboresha uwezo wake wa vifaa ili kufikisha mauzo ya Saudi katika masoko ya kimataifa.


Hayo yamejiri wakati wa Jukwaa la Biashara la Saudia na Tanzania, kwa kuungwa mkono na Shirikisho la Vyama vya Saudia linalotembelea Tanzania ikiwa ni sehemu ya juhudi zake za kufungua masoko mapya katika bara la Afrika, katika hatua ya kimkakati yenye ubora wa kuimarisha uhusiano wa kiuchumi kati ya Ufalme na Zanzibar, na kufungua upeo mpya wa uwekezaji wa Saudia katika eneo hilo

Ununuzi wa kampuni ya SADC wa Bandari ya Bagamoyo unawakilisha mabadiliko ya ubora katika maendeleo ya miundombinu ya baharini na vifaa katika Afrika Mashariki, kupitia utaalamu mkubwa wa Saudia katika eneo hili, ambayo itaongeza nafasi ya kanda kama kitovu cha biashara ya kimataifa, na kufungua upeo mpana kwa uwekezaji wa Saudi katika sekta muhimu kama vile nishati, madini, biashara, vifaa, viwanda vya nishati na nishati.

Inatarajiwa kwamba ununuzi wa Saudia wa Bandari ya Bagamoyo nchini Tanzania utachangia katika juhudi za Ufalme wa kuinua uchumi wake, kuunda vituo vipya vya uwekezaji na uuzaji, kuchangia mauzo ya bidhaa za Saudia kwenye masoko ya Afrika, na kuchochea harakati katika bandari za Ufalme huo.

Bandari ya Bagamoyo ina umuhimu mkubwa kwa Ufalme wa Saudia, kwani ndiyo lango kuu la usafirishaji katika Afrika Mashariki, itahudumia Tanzania na nchi jirani, na itakuwa bandari kuu ya kusafirisha malighafi na maliasili za Afrika kwa nchi mbalimbali duniani au kuagiza bidhaa katika nchi za Afrika.
Kiswahili cha Google Translate hichi. Boresha basi na wewe
 
Dar port itakufa,Trust me
Zimefunguliwa ports kibao na haijafa sembuse hii ya Bagamoyo?

Hii itakuwa ni Bandari ya Yale mameli makubwa.

Dar port ife mda huo DP World na mwenzie Adani watakuwa wanafanyaje Sasa?

Katika mazingira ambayo Uchumi wa Nchi inazidi kupata, uchumi wa Nchi jirani unapaa,hizo Bandari zinafia wapi?

Hiyo Dhana Yako Haina tofauti na wale waliodai Ubungo Logistics itaua Kariakoo.
 
Acquisition in business terms
Acquire manake nini? Kwenye biashara hiyo ni kama kununua lakini ni kupewa Haki za kufanya uendelezaji na sio kununua.

Kwa nini wanatumia Hilo neno ni Ili aliyenunua asiwe subjected na washindani wengine wakati ana mkataba hapo.
 
Zimefunguliwa ports kibao na haijafa sembuse hii ya Bagamoyo?

Hii itakuwa ni Bandari ya Yale mameli makubwa.

Dar port ife mda huo DP World na mwenzie Adani watakuwa wanafanyaje Sasa?

Katika mazingira ambayo Uchumi wa Nchi inazidi kupata, uchumi wa Nchi jirani unapaa,hizo Bandari zinafia wapi?

Hiyo Dhana Yako Haina tofauti na wale waliodai Ubungo Logistics itaua Kariakoo.

Hii ni field yangu bwana mdogo

Kwa Volume za East africa haziwezi atract vessels of more than 10000 TEU’s

Currently Dar port efficiency limited with area and Vessel entrance chanel.

Bandari ya Bagamoyo itachukua eneo kubwa litakalo ruhusu mizigo yote kukaa within port area at low cost.

Back to you,Bandari gani imefunguliwa ukafikiri ingetishia uhai wa bandari ya Dar?

Nijibu hilo swali.
 
Hii ni field yangu bwana mdogo

Kwa Volume za East africa haziwezi atract vessels of more than 10000 TEU’s

Currently Dar port efficiency limited with area and Vessel entrance chanel.

Bandari ya Bagamoyo itachukua eneo kubwa litakalo ruhusu mizigo yote kukaa within port area at low cost.

Back to you,Bandari gani imefunguliwa ukafikiri ingetishia uhai wa bandari ya Dar?

Nijibu hilo swali.
Mkishajikaririsha vitu mnajiona Wataalamu.

Hizo vessels zisiwe attracted Kwa nini wakati Uchumi unakua?

2050 tunatarajia 🇹🇿 iwe na Uchumi wa doba Bilioni 700 ,Sasa hizo vessels hazitakuwepo?

Ujenzi tuu wa hiyi Bandari si chini ya miaka 10.
 
Acquire manake nini? Kwenye biashara hiyo ni kama kununua lakini ni kupewa Haki za kufanya uendelezaji na sio kununua.

Kwa nini wanatumia Hilo neno ni Ili aliyenunua asiwe subjected na washindani wengine wakati ana mkataba hapo.

Tayari Saudia kesha tangaza na atatumia mkataba wa acquisition kukusanya mikopo, kuingiza wabia wengine, kuuza hisa, kipata mitaji ktk mabenki kwa rehani n.k hivyo kuufanya mkataba huu kuzidi kuibana Tanganyika vilivyo hadi ku surrender haki zingine
 
Mkishajikaririsha vitu mnajiona Wataalamu.

Hizo vessels zisiwe attracted Kwa nini wakati Uchumi unakua?

2050 tunatarajia 🇹🇿 iwe na Uchumi wa doba Bilioni 700 ,Sasa hizo vessels hazitakuwepo?

Ujenzi tuu wa hiyi Bandari si chini ya miaka 10.

Nijibu swali langu hapo chini,naona unalikimbia
 
Eneo la uwekezaji la Bagamoyo iliwepo Bandari limepata mwekezaji Mpya ambae ataliendeleza, kampuni ya SADC kutoka Saudi Arabia baada ya China na Oman Kushindwa Kuendeleza. Pia soma Serikali yafufua mchakato ujenzi Bandari ya Bagamoyo

Swali ni Je mfupa ulimshinda fisi, saizi utatekelezeka? Tusubirie tuone.

My Take
Hawa wajenge Bandari from scratch na wakishindwa watimuliwe kama mbwa bila fidia

====


Saudi Arabia ilitangaza ununuzi wa Bandari ya Bagamoyo nchini Tanzania, kama sehemu ya mradi wa “East Gate,” ambao unalenga kuboresha nafasi ya Saudi Arabia kama kitovu cha biashara duniani.

Uwekezaji huu mkubwa una lengo la kufungua kufungua fursa mpya za uwekezaji kwa kampuni za Saudi Arabia katika sekta muhimu, na kutoa fursa za masoko kwa kusafirisha bidhaa za Saudi kwenda katika masoko ya Afrika.

****

In a major strategic move, the Kingdom of Saudi Arabia announced its acquisition of Bagamoyo Port in Tanzania, as part of the “East Gate” project, which aims to enhance the region’s position as a global trade hub.

This huge investment comes within the framework of the Kingdom’s efforts to open new investment horizons for Saudi companies in vital sectors, and provide marketing outlets for exporting Saudi products to African markets.

Project details

Port location: Bagamoyo Port is located on the eastern coast of Tanzania, and is considered one of the most important ports in East Africa.

Total area: The project area is 800 hectares, making it one of the largest maritime projects in the region.

Capacity: The port will be able to accommodate 20 million containers annually upon completion, making it a strong competitor to major ports in the region such as Mombasa Port in Kenya and Dar es Salaam Port in Tanzania.

Project cost: The total cost of the project is $10 billion, which includes the development of infrastructure and logistics facilities.

Source: Archup.net
 

Attachments

  • IMG-20250213-WA0034.jpg
    IMG-20250213-WA0034.jpg
    57.5 KB · Views: 1
Tayari Saudia kesha tangaza na atatumia mkataba wa acquisition kukusanya mikopo, kuingiza wabia wengine, mabenki n.k hivyo kuufanya mkataba huu kuzidi kuibana Tanganyika vilivyo hadi ku surrender haki zingine
Sawa hii ni Bandari muhimu sana na ijengwe.

Ieleweke kwamba Nchi imeweka Dira ya 2050 ambayo Ina project uchumi wetu kufikia $700B.

Moja ya miradi itakayotufikisha huko ni Bagamoyo Port na ule wa gesi.

Mradi wa gesi watamiza.mazu gumzo June as per Reuters so binafsi naunga mkono sekta binafsi.

Serikali ijikite kutoa Huduma sio kila.kitu kutumia hela au Kodi .
 
Nijibu swali langu hapo chini,naona unalikimbia
Bandari ya Tanga, Bandari ya Mtwara zote Kwa sasa zimeanza kubeba mizigo ya zaidi ya tani 1M -3Mln Kwa mwaka kutoka less than 1M.

Na Bado miundombinu na uwekezaji mwingine unaendelea eg Mtwara Kuna mradi wa Ujenzi wa gato la bidhaa chafu zaidi ya Bilioni 100 zinawekwa.

On top of that Barabara ya Tanga-Sinhgida na reli ya Tanga-Misoma ziko kwenye pipeline.
 
Back
Top Bottom