Tony Cipriano
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 2,139
- 5,109
Wapi kaandika ardhi!! wewe ni wa kutwanga makofi!!!!!!##$***Wapi nilipoandika Ardhi imekuwa? Hao si ni investor tuu kama DP World au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi kaandika ardhi!! wewe ni wa kutwanga makofi!!!!!!##$***Wapi nilipoandika Ardhi imekuwa? Hao si ni investor tuu kama DP World au?
Hoja ni masharti tu kama masharti ni mepesi sawa lakini kama ni yale yale yakutugeuza watumwa hapanaEneo la uwekezaji la Bagamoyo iliwepo Bandari limepata mwekezaji Mpya ambae ataliendeleza, kampuni ya SADC kutoka Saudi Arabia baada ya China na Oman Kushindwa Kuendeleza. Pia soma Serikali yafufua mchakato ujenzi Bandari ya Bagamoyo
Swali ni Je mfupa ulimshinda fisi, saizi utatekelezeka? Tusubirie tuone.
My Take
Hawa wajenge Bandari from scratch na wakishindwa watimuliwe kama mbwa bila fidia
====
Saudi Arabia ilitangaza uwekezaji wa Bandari ya Bagamoyo nchini Tanzania, kama sehemu ya mradi wa “East Gate,” ambao unalenga kuboresha nafasi ya Saudi Arabia kama kitovu cha biashara duniani.
Uwekezaji huu mkubwa una lengo la kufungua kufungua fursa mpya za uwekezaji kwa kampuni za Saudi Arabia katika sekta muhimu, na kutoa fursa za masoko kwa kusafirisha bidhaa za Saudi kwenda katika masoko ya Afrika.
****
In a major strategic move, the Kingdom of Saudi Arabia announced its acquisition of Bagamoyo Port in Tanzania, as part of the “East Gate” project, which aims to enhance the region’s position as a global trade hub.
This huge investment comes within the framework of the Kingdom’s efforts to open new investment horizons for Saudi companies in vital sectors, and provide marketing outlets for exporting Saudi products to African markets.
Project details
Port location: Bagamoyo Port is located on the eastern coast of Tanzania, and is considered one of the most important ports in East Africa.
Total area: The project area is 800 hectares, making it one of the largest maritime projects in the region.
Capacity: The port will be able to accommodate 20 million containers annually upon completion, making it a strong competitor to major ports in the region such as Mombasa Port in Kenya and Dar es Salaam Port in Tanzania.
Project cost: The total cost of the project is $10 billion, which includes the development of infrastructure and logistics facilities.
Source: Archup.net
Haziko chini ya foreigners. Tupe list ya bandari za mataifa mengine ambazo ziko chini ya foreigners!Hizo stori za national security Hazina mashiko Kwa sababu all over the world Bandari zinaendeshwa na private sector,hizo national security kwao hazipo? Wacha stori za kufikirika.
Wewe unaumwa eti? Si u google hapo nani akupe? Kwamba 🇹🇿 ndio wajinga saaaana ila wewe unajua si ndio?Haziko chini ya foreigners. Tupe list ya bandari za mataifa mengine ambazo ziko chini ya foreigners!
Andika vizuri ueleweke.Wakati wa DP World mlikuwa mnasemaje?Wapi kaandika ardhi!! wewe ni wa kutwanga makofi!!!!!!##$***
DP World kupewa bandari zote, halafu East African Gateway Tanzania ya Adani Ports kununua gati za TICTS bandari ya Dar es Salaam hivyo gati zote za Dar es Salaam zipo chini ya mmiliki yule moja.
Na sasa bandari ya Bagamoyo ambayo ni ya DP World kwa mkataba ule uliopigiwa kelele unafichwa kwa kisingizio upewa mwekezaji mpya yaani Saudi African Investment and Development Co. (SADC)
Je nyuma ya pazi ni yuleyule aliyepewa bandari zote kwa mkataba mbovu usio na kikomo ndiyo anatumia kuingia mkataba na kampuni hizi na zingine kuhitimisha kuchukua bandari zote kiaina bila mtanganyika kufahamu ni yuleyule ya yeye aliyekabidhiwa bandari zote ndiyo anakamilisha kiini macho hiki.
It makes no difference; whether owner ni Mzungu au Mwarabu, national security concern iko pale pale. Ni kitu ambacho ni rare sana kwa mataifa yanayojitambua. Africa in general na Tanzania in particular inaongozwa na wapumbavu. Hata wewe unaweza kupigwa mnada. Ndiyo maana African chiefs waliuza subjects wao wakati wa biashara ya watumwa!Wewe unaumwa eti? Si u google hapo nani akupe? Kwamba 🇹🇿 ndio wajinga saaaana ila wewe unajua si ndio?
Huo uzushi si ndio mlikuwa mnashadidia wakati wa DP World? Kiko wapi? Shida hapa sio uwekezaji shida ni kuwa Mwarabu basi Wazungu na wahindi Kuna shida ? 😁😁
MihemkoIt makes no difference; whether owner ni Mzungu au Mwarabu, national security concern iko pale pale. Ni kitu ambacho ni rare sana kwa mataifa yanayojitambua. Africa in general na Tanzania in particular inaongozwa na wapumbavu. Hata wewe unaweza kupigwa mnada. Ndiyo maana African chiefs waliuza subjects wao wakati wa biashara ya watumwa!
Tangu lini mikataba inawekwa Hadharani?
Msaudia ana pesa ! Swala la kushindwa kuendeleza mradi mdogo kama huo wa bandari ni ndoto!.
Huko ulaya na Amerika ana uwekezaji wa miradi miikubwa sana kuliko huu wa bandari.
Reforms and Rebuild.Mapinduzi.
Eneo la uwekezaji la Bagamoyo iliwepo Bandari limepata mwekezaji Mpya ambae ataliendeleza, kampuni ya SADC kutoka Saudi Arabia baada ya China na Oman Kushindwa Kuendeleza. Pia soma Serikali yafufua mchakato ujenzi Bandari ya Bagamoyo
Swali ni Je mfupa ulimshinda fisi, saizi utatekelezeka? Tusubirie tuone.
My Take
Hawa wajenge Bandari from scratch na wakishindwa watimuliwe kama mbwa bila fidia
====
Saudi Arabia ilitangaza uwekezaji wa Bandari ya Bagamoyo nchini Tanzania, kama sehemu ya mradi wa “East Gate,” ambao unalenga kuboresha nafasi ya Saudi Arabia kama kitovu cha biashara duniani.
Uwekezaji huu mkubwa una lengo la kufungua kufungua fursa mpya za uwekezaji kwa kampuni za Saudi Arabia katika sekta muhimu, na kutoa fursa za masoko kwa kusafirisha bidhaa za Saudi kwenda katika masoko ya Afrika.
****
In a major strategic move, the Kingdom of Saudi Arabia announced its acquisition of Bagamoyo Port in Tanzania, as part of the “East Gate” project, which aims to enhance the region’s position as a global trade hub.
This huge investment comes within the framework of the Kingdom’s efforts to open new investment horizons for Saudi companies in vital sectors, and provide marketing outlets for exporting Saudi products to African markets.
Project details
Port location: Bagamoyo Port is located on the eastern coast of Tanzania, and is considered one of the most important ports in East Africa.
Total area: The project area is 800 hectares, making it one of the largest maritime projects in the region.
Capacity: The port will be able to accommodate 20 million containers annually upon completion, making it a strong competitor to major ports in the region such as Mombasa Port in Kenya and Dar es Salaam Port in Tanzania.
Project cost: The total cost of the project is $10 billion, which includes the development of infrastructure and logistics facilities.
Dokezo:
Zingatia Taarifa ya Serikali ya Tanzania & Saudia kwamba Bandari ya Bagamoyo Haijuzwa Wala Kutolewa popote.
View: https://www.instagram.com/p/DGBF7YZo7h9/?igsh=c2JjbGMwdGdoY2Z2
View: https://x.com/thomasjkibwana/status/1890089386781315532?t=gFMbvcGHOi-v1H8TFh8v4g&s=19
Source: Archup.net
Katabqbwq Chinqnulikuwa Wach7nqbwaonni technology na ujenzi, Oman financing, Tanzania walambe kodi tu.Tatizo sio pesa hata China ilikuwa na pesa. Tatizo mkataba uko wapi? hizi 10% zitauza nchi hii. Sasa mtasikia mkataba wa siri wa gas . Norway wamegoma kutoa rushwa kesho mtasikia wamepewa waarabu. Machawa hapa wamekuwa kama misukule. Mnafikiri mikataba kujua mnasadia Chadema ni ujinga sana.
Eneo la uwekezaji la Bagamoyo iliwepo Bandari limepata mwekezaji Mpya ambae ataliendeleza, kampuni ya SADC kutoka Saudi Arabia baada ya China na Oman Kushindwa Kuendeleza. Pia soma Serikali yafufua mchakato ujenzi Bandari ya Bagamoyo
Swali ni Je mfupa ulimshinda fisi, saizi utatekelezeka? Tusubirie tuone.
My Take
Hawa wajenge Bandari from scratch na wakishindwa watimuliwe kama mbwa bila fidia
====
Saudi Arabia ilitangaza uwekezaji wa Bandari ya Bagamoyo nchini Tanzania, kama sehemu ya mradi wa “East Gate,” ambao unalenga kuboresha nafasi ya Saudi Arabia kama kitovu cha biashara duniani.
Uwekezaji huu mkubwa una lengo la kufungua kufungua fursa mpya za uwekezaji kwa kampuni za Saudi Arabia katika sekta muhimu, na kutoa fursa za masoko kwa kusafirisha bidhaa za Saudi kwenda katika masoko ya Afrika.
****
In a major strategic move, the Kingdom of Saudi Arabia announced its acquisition of Bagamoyo Port in Tanzania, as part of the “East Gate” project, which aims to enhance the region’s position as a global trade hub.
This huge investment comes within the framework of the Kingdom’s efforts to open new investment horizons for Saudi companies in vital sectors, and provide marketing outlets for exporting Saudi products to African markets.
Project details
Port location: Bagamoyo Port is located on the eastern coast of Tanzania, and is considered one of the most important ports in East Africa.
Total area: The project area is 800 hectares, making it one of the largest maritime projects in the region.
Capacity: The port will be able to accommodate 20 million containers annually upon completion, making it a strong competitor to major ports in the region such as Mombasa Port in Kenya and Dar es Salaam Port in Tanzania.
Project cost: The total cost of the project is $10 billion, which includes the development of infrastructure and logistics facilities.
Dokezo:
Zingatia Taarifa ya Serikali ya Tanzania & Saudia kwamba Bandari ya Bagamoyo Haijuzwa Wala Kutolewa popote.
View: https://www.instagram.com/p/DGBF7YZo7h9/?igsh=c2JjbGMwdGdoY2Z2
View: https://x.com/thomasjkibwana/status/1890089386781315532?t=gFMbvcGHOi-v1H8TFh8v4g&s=19
Source: Archup.net
13 February 2025
Kigali, Rwanda
Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyabiashara wa Saudia Hassan Alhwaizy na ujumbe watua nchini Rwanda,
Ujumbe kutoka Shirikisho la Vyama vya Wafanyabiashara wa Saudia, wakiongozwa na Hassan Alhwaizy, wanatembelea #Rwanda kuchunguza fursa za biashara na uwekezaji kati ya Rwanda na #Saudi Arabia.
View: https://m.youtube.com/watch?v=zbpC3ylOcNk
13 Feb2025
A delegation from the Federation of Saudi Chambers of Commerce, led by Hassan Alhwaizy, visits #Rwanda to explore business and investment opportunities between Rwanda and #Saudi Arabia.