Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hapa nilipo nimecheka kwa nguvu. Wenye sura mbaya tunahisiwa kwa mengi ya ovyo tusiyo nayo.Kweli usiangalie muonekano wa mtu, angefanya buster rhymes na jinsi alivyo ingeendana.
Hata chiddy benz miaka ya juzi hapa alisema amefanya ngoma na 2pac😅😅.Kuna zile taarifa zilivumaga sana kwamba 2pac hakufa, bali alifanya Fake death, kisha Akakimbilia Cuba na akabadilisha Sura na ID.
Now day tunaambiwa P. Diddy ndie muhusika wa kifo chake.
Which is which hapa?
Hizi ni Hollywood drama , Rest in Peace 2pac Shakur 🙏🏾
Unahisi hizi ni drama!?Sasa ukishakufa habar yako siimeisha hizi drama zote za nn?
Acha kuamini stori za vijiweniKuna zile taarifa zilivumaga sana kwamba 2pac hakufa, bali alifanya Fake death, kisha Akakimbilia Cuba na akabadilisha Sura na ID.
Now day tunaambiwa P. Diddy ndie muhusika wa kifo chake.
Which is which hapa?
Hizi ni Hollywood drama , Rest in Peace 2pac Shakur 🙏🏾
Damu ya mtu haiendi bureSasa ukishakufa habar yako siimeisha hizi drama zote za nn?
Mbona amekataa hapo mwisho anasema "it wasn't me".Sakata la kifo cha Rapa maarufu duniani kutoka Marekani, Tupac Amaru Shakur au kwa jina maarufu 2Pac au Makaveli linaenda kuchukua sura mpya baada ya leo mshukiwa namba moja Keefe D kukiri mbele ya polisi kwamba alihusika na mauaji hayo lakini alitumwa na Rapa P. Diddy kwa ahadi ya dola za Kimarekani milioni moja.
Mapema leo mshukiwa Keefe D amenyoosha maelezo kuwa kweli alihusika na mauaji hayo, na kwamba endapo angefanikisha basi Rapa P. Diddy angemlipa hiko kiasi cha pesa..
Rapa 50 Cent aliwahi kunukuliwa hadharani akisema Rapa P. Diddy ndiye muhusika mkuu wa kifo cha 2Pac, kauli ambayo ameirudia hivi karibuni baada ya Keefe D kutiwa nguvuni..
View attachment 2779948
View attachment 2779949
View attachment 2779950
View attachment 2779951
Katukosesha mistari konkiP didy mshenzi sana
Yeye anadai siye aliyefyatua risasi Bali alimpa mpwa yake bunduki ndiye aliyepurua risasi,mpwa wake aliuawa miaka miwili baada ya kumua TupacMbona amekataa hapo mwisho anasema "it wasn't me".
Dzaini hakumalizaPdidy hakumpa pesa jamaa nini aliyomuahidi
Ova