Sauti: Keefe D akiri kumuua Rapa Tupac kwa kuahidiwa Dola milioni moja na Rapa P. Diddy

Sauti: Keefe D akiri kumuua Rapa Tupac kwa kuahidiwa Dola milioni moja na Rapa P. Diddy

Legends.

_20231012_183304.JPG
 
Usikute label ya bad boy ndio iliazimia mauaji hayo, na didy kama afisa kwenye label hiyo akawa msimamizi wa kazi hiyo.

Jambo silielewi, kuendelea kuwa hai kwa huyu assassin kwa miaka yote hii, ni kinyume kabisa na uenendaji wa mauji ya kukodi.

Bado naona kuna mengi. Sioni pia namna gani diddy atashikwa, unless kama upo ushahidi wa kumuimplicate.

Akiserve hili, atakuwa na hatari zaidi ya kuuliwa na 'wanazi' wa Tupac.
 
P. Didy nae hana akili, kwanini asinge muua huyo jamaa baada ya kumaliza dili?
Hapo ndipo alipo bugi.
Unadhan muuaji wa kuaminika atauwawa kinyemela tena na shalobalo tu kama Didy? Kumbuka baada ya mauaji muuaji alikua chini ya uangalizi wa Askari miaka yote angemuulia wapi kama si9 kutaka kuumbuka kabla ya muda.
 
Huu ni mpango wa kuwamaliza blacks wote marekani kutoka kwenye umaarufu...

No more Whitney...
No more Michael...
No more R Kelly...

Soon Diddy is gonna be no more..

No more will come and come for blacks..

Ubaguzi wa rangi ni mkubwa Sanaa.....

Shtukenii.
 
Achq hizo babu, Wapuuzi weusi wa Marekani wanauana wenyewe, Wengi ni Watu wasio na Misingi mizuri ya Makuzi so hata matendo yao ni ya hovyo hovyo. Msiwasingizie Whites.
Huu ni mpango wa kuwamaliza blacks wote marekani kutoka kwenye umaarufu...

No more Whitney...
No more Michael...
No more R Kelly...

Soon Diddy is gonna be no more..

No more will come and come for blacks..

Ubaguzi wa rangi ni mkubwa Sanaa.....

Shtukenii.
 
Back
Top Bottom