blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Tafiti...Achq hizo babu, Wapuuzi weusi wa Marekani wanauana wenyewe, Wengi ni Watu wasio na Misingi mizuri ya Makuzi so hata matendo yao ni ya hovyo hovyo. Msiwasingizie Whites.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafiti...Achq hizo babu, Wapuuzi weusi wa Marekani wanauana wenyewe, Wengi ni Watu wasio na Misingi mizuri ya Makuzi so hata matendo yao ni ya hovyo hovyo. Msiwasingizie Whites.
P. Diddy Kwaheri, maana jamaa mambo mawili yaweza kumkuta: Moja kuuwawa Kiaina 2. Kwenda jela na kukutana na mashabiki wa 2Pac alafu wakamshughulikia. Kazi kwake
Mletaji wa habari yupo shallow,sisi wahuni wa tisini tunafuatilia Sana hilo suala,Tupac alitufanya tuvae milegezo na kupenda rapUmeona bichwa la hii habari limesemaje?
Ngumu kumfunga didy, sababu mashahidi wengi wamekufa, mpaka umpate mtu atayesema nilikuwepo wakati wa malipo nk..hao watu hawapoMagereza zipo nyingi mkuu si lazima akafungww walipo maadui zake hiyo si movie. Ila kufa atafia mtaani pona yake aende gerezani.
Keffe d na mpwae walikua na genge lao la uhalifu,aliuawa kwa suala tofauti na hiloKama mpwa aliuwawa inawezekana nia ni kumziba mdomo asije akaongea
Ndo habari zilizopo mitandaoniHata me nahisi hivyo.
Okay ..thanksKeffe d na mpwae walikua na genge lao la uhalifu,aliuawa kwa suala tofauti na hilo
Huyo mpwae alipigwa na Tupac siku ya pambano la Tyson,video ipo mtandaoni,kisa alimuibia chain mwana genzi wa TupacOkay ..thanks
Didy alitoa Dola laki tano tuKwa asili ya hao jamaa kama didy angetaka kubaki hai asingethubutu kuacha kummalizia hiyo hela.
Shida hakujipanga vizuri ilibidi atafute msiri mwengine amuue huyu na anayemuua nae auawe ili kujenga chain ndefu ya investigation,yaani mpaka waje kung'amua yupi ni yupi isingekuwa leo.
Alipigwa katika ugomvi au ilikuwa pambano la ngumi?Huyo mpwae alipigwa na Tupac siku ya pambano la Tyson,video ipo mtandaoni,kisa alimuibia chain mwana genzi wa Tupac
Hii kesi didy atachomoka kama kweli akiensa mahakamani. Anayemhoji is leading him nadhani kwenye cross examination haiwezi stand.Sakata la kifo cha Rapa maarufu duniani kutoka Marekani, Tupac Amaru Shakur au kwa jina maarufu 2Pac au Makaveli linaenda kuchukua sura mpya baada ya leo mshukiwa namba moja Keefe D kukiri mbele ya polisi kwamba alihusika na mauaji hayo lakini alitumwa na Rapa P. Diddy kwa ahadi ya dola za Kimarekani milioni moja.
Mapema leo mshukiwa Keefe D amenyoosha maelezo kuwa kweli alihusika na mauaji hayo, na kwamba endapo angefanikisha basi Rapa P. Diddy angemlipa hiko kiasi cha pesa..
Rapa 50 Cent aliwahi kunukuliwa hadharani akisema Rapa P. Diddy ndiye muhusika mkuu wa kifo cha 2Pac, kauli ambayo ameirudia hivi karibuni baada ya Keefe D kutiwa nguvuni..
View attachment 2779948
View attachment 2779949
View attachment 2779950
View attachment 2779951
Akina Tupac walimuona nje,Suge knight akamwambia Tupac yule k.ma si ndo huyu,Tupac alipiga Kama anajua mwizi,dogo alianguka chini,yaani alikua anakita so mchezo,dogo aliitwa OrlandoAlipigwa katika ugomvi au ilikuwa pambano la ngumi?
Nashukuru kufahamu hayo😀Akina Tupac walimuona nje,Suge knight akamwambia Tupac yule k.ma si ndo huyu,Tupac alipiga Kama anajua mwizi,dogo alianguka chini,yaani alikua anakita so mchezo,dogo aliitwa Orlando
Poa,wahuni wa tisini tulikua tunaamini serikali ilihusika kuwaua Tupac na Big ili kuzima ushawishi wa muziki wa mtu mweusi,rap... FBI walikua wanazunguka tu na Kuna police black alikua akiwekewa vizingiti kuchunguza,nimeona habari kwamba didy aliwahonga FBI wasichunguzeNashukuru kufahamu hayo😀
Duuh!Poa,wahuni wa tisini tulikua tunaamini serikali ilihusika kuwaua Tupac na Big ili kuzima ushawishi wa muziki wa mtu mweusi,rap... FBI walikua wanazunguka tu na Kuna police black alikua akiwekewa vizingiti kuchunguza,nimeona habari kwamba didy aliwahonga FBI wasichunguze
Inawezekana pia.Poa,wahuni wa tisini tulikua tunaamini serikali ilihusika kuwaua Tupac na Big ili kuzima ushawishi wa muziki wa mtu mweusi,rap... FBI walikua wanazunguka tu na Kuna police black alikua akiwekewa vizingiti kuchunguza,nimeona habari kwamba didy aliwahonga FBI wasichunguze