Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unavyosema utadhani ni kuua pakaKwa asili ya hao jamaa kama didy angetaka kubaki hai asingethubutu kuacha kummalizia hiyo hela.
Shida hakujipanga vizuri ilibidi atafute msiri mwengine amuue huyu na anayemuua nae auawe ili kujenga chain ndefu ya investigation,yaani mpaka waje kung'amua yupi ni yupi isingekuwa leo.
Her mummy? Mummy to whom? Hizi lugha hizi!Rest Easy Tupac Shakur.
Even her mummy is no more.
Miaka mingi iliyopita nilisikia hiyo ya kumtaja pdidy na mtu mmoja pia ambaye nimemsahau nahisi ndo huyu aliyekamatwa.
Damu ya mtu haipotei hivi hivi.
Tupac alikuwa manzi au hujui [emoji23]Her mummy? Mummy to whom? Hizi lugha hizi!
Kwa hiyo 2Pac aliyeuawa 1996 alipanga mauaji ya BIG aliyeuawa 1997!!!!2Pac alihusika kwenye mauwaji ya B.I.G Pac tayari keshavuna alichopanda,Suge Knight kavuna,Puffy nae atavuna,muhanga ni B.I.G.
Sakata la kifo cha Rapa maarufu duniani kutoka Marekani, Tupac Amaru Shakur au kwa jina maarufu 2Pac au Makaveli linaenda kuchukua sura mpya baada ya leo mshukiwa namba moja Keefe D kukiri mbele ya polisi kwamba alihusika na mauaji hayo lakini alitumwa na Rapa P. Diddy kwa ahadi ya dola za Kimarekani milioni moja.
Mapema leo mshukiwa Keefe D amenyoosha maelezo kuwa kweli alihusika na mauaji hayo, na kwamba endapo angefanikisha basi Rapa P. Diddy angemlipa hiko kiasi cha pesa..
Rapa 50 Cent aliwahi kunukuliwa hadharani akisema Rapa P. Diddy ndiye muhusika mkuu wa kifo cha 2Pac, kauli ambayo ameirudia hivi karibuni baada ya Keefe D kutiwa nguvuni..
View attachment 2779948
View attachment 2779949
View attachment 2779950
View attachment 2779951
Mh; please, elaborate.Tupac alikuwa manzi au hujui [emoji23]
Kama ile lebo ya Naira Marley nchini Nigeria inayohusishwa na kifo cha Mohbad.Lebo za mziki Zina mengi Sana.
Kuna sehemu Google nimesoma ahadi ilikuwa auwe wote PAC na Suge kila kichwa dola laki tano akafanikisha mmoja.Didy alitoa Dola laki tano tu
Hao jamaa ndiyo maisha waliyojichagulia,na usikute hata huyu kubaki mpaka leo kuna wenzake ilibidi wapotezwe ili aendelee kuwa uraiani.Unavyosema utadhani ni kuua paka
Si ndio maana ya huyo mkuu aliyeandika "her mummy" badala ya His mummy nimesaidia tu kuelezea statement yakeMh; please, elaborate.
Acha uongo mkuu BIG na Diddy ndio wamehusika kumlaliza pac (tetesi)2Pac alihusika kwenye mauwaji ya B.I.G Pac tayari keshavuna alichopanda,Suge Knight kavuna,Puffy nae atavuna,muhanga ni B.I.G.
Wamkamate tu brother Love. In 50 cent voiceUsikute label ya bad boy ndio iliazimia mauaji hayo, na didy kama afisa kwenye label hiyo akawa msimamizi wa kazi hiyo.
Jambo silielewi, kuendelea kuwa hai kwa huyu assassin kwa miaka yote hii, ni kinyume kabisa na uenendaji wa mauji ya kukodi.
Bado naona kuna mengi. Sioni pia namna gani diddy atashikwa, unless kama upo ushahidi wa kumuimplicate.
Akiserve hili, atakuwa na hatari zaidi ya kuuliwa na 'wanazi' wa Tupac.
Alikuwa genius kama Bob Marley alivyokuwa