Sauti: Keefe D akiri kumuua Rapa Tupac kwa kuahidiwa Dola milioni moja na Rapa P. Diddy

Sauti: Keefe D akiri kumuua Rapa Tupac kwa kuahidiwa Dola milioni moja na Rapa P. Diddy

Sakata la kifo cha Rapa maarufu duniani kutoka Marekani, Tupac Amaru Shakur au kwa jina maarufu 2Pac au Makaveli linaenda kuchukua sura mpya baada ya leo mshukiwa namba moja Keefe D kukiri mbele ya polisi kwamba alihusika na mauaji hayo lakini alitumwa na Rapa P. Diddy kwa ahadi ya dola za Kimarekani milioni moja.

Mapema leo mshukiwa Keefe D amenyoosha maelezo kuwa kweli alihusika na mauaji hayo, na kwamba endapo angefanikisha basi Rapa P. Diddy angemlipa hiko kiasi cha pesa..

Rapa 50 Cent aliwahi kunukuliwa hadharani akisema Rapa P. Diddy ndiye muhusika mkuu wa kifo cha 2Pac, kauli ambayo ameirudia hivi karibuni baada ya Keefe D kutiwa nguvuni..

View attachment 2779948

View attachment 2779949

View attachment 2779950

View attachment 2779951
Kuna uwezekano kabisa kua jamaa kesha changanyikiwa sasa anamtaja tu mtu yoyote
 
Wale vijana wa OutLaws walio baki hai ni Napoleon wake wakina Kadafi,Kastro, Saddam Hussein, E.D.I.Mean na wengine walio nje ya hiyo Mobb waliuawa tena wengine waliuawa mwaka huo huo aliokufa Pac ndio maana ushahidi wa kweli umechelewa huyu jamaa alikua anaweweseka mwenyewe kila akiongea kwenye media kuhusu hayo mauaji ndio maana ikawa rahisi kupata ukweli...50 Cent aliwahi mwambia Diddy yafuta Lawyer kwenye Murder Case ya Pac kitambo kidogo na Eminen ashawahi kuimba kipande akizungumzia Diddy kuhusika na hayo mauaji enzi hizo Sugar Night ndio anasumbuliwa na Uchunguzi ikabidi awekwe kiporo ili wafanye uchunguzi zaidi na kila wakiangalia video za barabarani hawaoni picha ya aliepiga risasi kumuua Pac ngoja tuendelee kusubiri Diddy ataeleza yote...

Diddy siku zote yupo straight forward and firm kuhusu kuhusika kwake na kifo cha Makaveli kwamba hausiki. Tujipe muda, muda utazungumza.
 
Damu ya mtu haipote bure aisee hata mika mingapi alakini pataa tokezea ukweli tu na mambo yatakuwa hadhari kama hivi, kwa wenzetu Mwamba atatiwa ndani tu.
 
Back
Top Bottom