Holly Star
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 4,327
- 8,142
Angekuwa mzungu akepona ila kwa vile mwafrica na ana mafsnikio lazima wamnyoshe kama Rkelly
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angekuwa mzungu akepona ila kwa vile mwafrica na ana mafsnikio lazima wamnyoshe kama Rkelly
Afe baba yakoSasa ukishakufa habar yako siimeisha hizi drama zote za nn?
Hakuna mwafrikaAngekuwa mzungu akepona ila kwa vile mwafrica na ana mafsnikio lazima wamnyoshe kama Rkelly
Akili ya mtu asiye na akiliSasa ukishakufa habar yako siimeisha hizi drama zote za nn?
Faiza foxy hajuagi slang yy anajua kiarabu tuYeye anadai siye aliyefyatua risasi Bali alimpa mpwa yake bunduki ndiye aliyepurua risasi,mpwa wake aliuawa miaka miwili baada ya kumua Tupac
Umepotoka 2pac alitangulia kufa kabla ya BIG2Pac alihusika kwenye mauwaji ya B.I.G Pac tayari keshavuna alichopanda,Suge Knight kavuna,Puffy nae atavuna,muhanga ni B.I.G.
Ili iweje!?hizi comments 2pac mwenye akiziona huko lazima acheke
Kuna uwezekano kabisa kua jamaa kesha changanyikiwa sasa anamtaja tu mtu yoyoteSakata la kifo cha Rapa maarufu duniani kutoka Marekani, Tupac Amaru Shakur au kwa jina maarufu 2Pac au Makaveli linaenda kuchukua sura mpya baada ya leo mshukiwa namba moja Keefe D kukiri mbele ya polisi kwamba alihusika na mauaji hayo lakini alitumwa na Rapa P. Diddy kwa ahadi ya dola za Kimarekani milioni moja.
Mapema leo mshukiwa Keefe D amenyoosha maelezo kuwa kweli alihusika na mauaji hayo, na kwamba endapo angefanikisha basi Rapa P. Diddy angemlipa hiko kiasi cha pesa..
Rapa 50 Cent aliwahi kunukuliwa hadharani akisema Rapa P. Diddy ndiye muhusika mkuu wa kifo cha 2Pac, kauli ambayo ameirudia hivi karibuni baada ya Keefe D kutiwa nguvuni..
View attachment 2779948
View attachment 2779949
View attachment 2779950
View attachment 2779951
Alocation za wafungwa magerezani zinazingatia yote hayo kwajili ya usalama wa Wafungwa so usiulize.Watajuaje Hili gereza akuna mashabik zake na Hili wapo?
Kwa slang humuweziFaiza foxy hajuagi slang yy anajua kiarabu tu
Labda slang ya kiarabuKwa slang humuwezi
Amini humuweziLabda slang ya kiarabu
Wale vijana wa OutLaws walio baki hai ni Napoleon wake wakina Kadafi,Kastro, Saddam Hussein, E.D.I.Mean na wengine walio nje ya hiyo Mobb waliuawa tena wengine waliuawa mwaka huo huo aliokufa Pac ndio maana ushahidi wa kweli umechelewa huyu jamaa alikua anaweweseka mwenyewe kila akiongea kwenye media kuhusu hayo mauaji ndio maana ikawa rahisi kupata ukweli...50 Cent aliwahi mwambia Diddy yafuta Lawyer kwenye Murder Case ya Pac kitambo kidogo na Eminen ashawahi kuimba kipande akizungumzia Diddy kuhusika na hayo mauaji enzi hizo Sugar Night ndio anasumbuliwa na Uchunguzi ikabidi awekwe kiporo ili wafanye uchunguzi zaidi na kila wakiangalia video za barabarani hawaoni picha ya aliepiga risasi kumuua Pac ngoja tuendelee kusubiri Diddy ataeleza yote...
Diddy siku zote yupo straight forward and firm kuhusu kuhusika kwake na kifo cha Makaveli kwamba hausiki. Tujipe muda, muda utazungumza
Mno. Nimeangalia documentary moja, jamaa ni mafia sana. Kadhulumu sana wasanii wengi waliokuwa chini ya labe yake akiwemo Mase.P didy mshenzi sana