Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Black killing Black.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marapa wa Marekani wa kizazi hicho wengi walikuwa ni mafia kutia ndani Sean Combs, Diddy.Kweli usiangalie muonekano wa mtu, angefanya buster rhymes na jinsi alivyo ingeendana.
Angekuwa hajampa nae angekuwa ameshazikwa mapema sana!Pdidy hakumpa pesa jamaa nini aliyomuahidi
Ova
Mkuu, sisi wenye sura ya mbuzi ndio wenye roho safi.Kweli usiangalie muonekano wa mtu, angefanya buster rhymes na jinsi alivyo ingeendana.
Kwa asili ya hao jamaa kama didy angetaka kubaki hai asingethubutu kuacha kummalizia hiyo hela.Dzaini hakumaliza
P. Didy nae hana akili, kwanini asinge muua huyo jamaa baada ya kumaliza dili?Hata chiddy benz miaka ya juzi hapa alisema amefanya ngoma na 2pac[emoji28][emoji28].
Ila p diddy tumbo joto sidhani kama alitegemea kwamba hili litaibuka.
Naunga mkono hoja 👍👏
Nadhani ilitakiwa kuwa hivyo.P. Didy nae hana akili, kwanini asinge muua huyo jamaa baada ya kumaliza dili?
Hapo ndipo alipo bugi.
KabisaP. Didy nae hana akili, kwanini asinge muua huyo jamaa baada ya kumaliza dili?
Hapo ndipo alipo bugi.
B.I.G alikufa baada ya 2pac mkuu2Pac alihusika kwenye mauwaji ya B.I.G Pac tayari keshavuna alichopanda,Suge Knight kavuna,Puffy nae atavuna,muhanga ni B.I.G.
2pac kahusika vipi katika mauaji ya B.I.G wakati yeye ndiye aliyetangulia kuuwawa kabla ya Notorios? Labda useme outlawz wamehusika katika mauaji ya B.I.G kidogo inaweza make sense!!!2Pac alihusika kwenye mauwaji ya B.I.G Pac tayari keshavuna alichopanda,Suge Knight kavuna,Puffy nae atavuna,muhanga ni B.I.G.
Hata me nahisi hivyo.Dzaini hakumaliza
We endelea kufuatilia SIHASA tu, haya mambo mengine kubali yakupite.2Pac alihusika kwenye mauwaji ya B.I.G Pac tayari keshavuna alichopanda,Suge Knight kavuna,Puffy nae atavuna,muhanga ni B.I.G.