Sauti: Keefe D akiri kumuua Rapa Tupac kwa kuahidiwa Dola milioni moja na Rapa P. Diddy

Hata chiddy benz miaka ya juzi hapa alisema amefanya ngoma na 2pac😅😅.

Ila p diddy tumbo joto sidhani kama alitegemea kwamba hili litaibuka.
 
Acha kuamini stori za vijiweni
 
Mbona amekataa hapo mwisho anasema "it wasn't me".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…