Sauti ya Hayati Magufuli ikisema "Mtanikumbuka" yasikika tena, safari hii kwenye Uviko

Sauti ya Hayati Magufuli ikisema "Mtanikumbuka" yasikika tena, safari hii kwenye Uviko

Magufuli alikufa Kwa ujinga, upumbavu na ubishi uliokithiri ametuangusha sana sana, deep state walikuwa wanampa kila tahadhari na kila taarifa ila ubishi,uzuzu, na ubazazi wake alianguka nao.

TISS walifanya kazi yao yeye alileta ubishi na ujuaji wa kichifu wa kisukuma ndio shida, he bahaved as father house and Chief badala ya kubehave kama president, hata diplomatic tuition sidhani kama alihitimu na kuipa thamani kama induction akiwa Ikulu.

Magufuli died of his own stupidity he acted foolishly as a messiah of his own making.

But generally speaking had he borrowed some advice and humbleness he was such a huge potential with prolific endowment in his brain, dedication, commitment, focus, determination, goal oriented, inclusive oriented, future generational mindset.

Who knows you enter by your own tongue and you exit by your tongue.

"Nothing and no one special than God himself" wadiz, 2023
 
Nimekutana na habari hii hapa jamvini,

Ndugu zangu, mabibi na mabwana, vijana na watoto, "Siku moja mtanikumbuka, najua mtanikumbuka kwa mazuri si kwa mabaya, kwa sababu nime 'sacrifice' maisha yangu kwa ajili ya Watanzania maskini."

Hayo yalikuwa maneno ya aliyekuwa Raisi wa Tanzania mpendwa Hayati John Pombe Magufuli.

Ni hivi, mwishoni mwa mwezi uliopita, uchambuzi makini na wa kina wa tafiti za kisayansi zinazoangalia ufanisi wa barakoa zilichapishwa na mtaalamu wa magonjwa ya Oxford ambaye alikiri kuwa katu katu kuwa, mdomo uliowekwa plastiki na pazia za pua (barakoa) hazina maana (Certifiably Useless).

"Hakuna ushahidi wowote kwamba yanafanya chochote." Mtakumbuka Hayati alifanya utafiti wake ambao ulikemewa, ulikejeliwa na kudumazwa kwa nguvu kubwa kutoka ndani na nje ya nchi, famously mbuzi ana korona!

Hivi karibuni Mtaalam wa Magonjwa ya Kuambukiza wa Oxford Jefferson na wenzake 11 kwa pamoja na Shirika la Uingereza Cochrane(a non-profit org) ambalo linachukuliwa kuwa la kiwango cha dhahabu cha ukaguzi wa data za huduma za afya walisema;

"Tafiti" ambazo serikali ilizitaja kama "ushahidi" kwamba barakoa zinafanya kazi, kwamba zote ni fisadi na kamwe hazikupaswa kukubaliwa kama "sayansi nzuri". Alisema Jeferson.

Bwana Jefferson aliulizwa, kuhusu serikali na vyombo vingine vya dola, nabandika hapa kiunagaubaga. Alisema, "Walishawishika na tafiti zisizo na mpangilio, ikiwa na pamoja na masomo ya uchunguzi yenye dosari," alielezea.

Vipi kuhusu kutumia barakoa kwa kushirikiana na miongozo mingine inayopendekezwa kama kunawa mikono kupita kiasi, "social distancing," n.k, "Hakuna ushahidi kwamba mambo haya yanaleta mabadiliko yoyote. There’s no evidence that many of these things make any difference.”

Kwa kifupi, ukaguzi ulibaini kuwa mamlaka ya barakoa (mask mandates) hayakuwa bora zaidi katika suala zima la Visa vya Uviko-19 kulazwa hospitalini na vifo. Barakoa ni ishara tu ya kisiasa, kwa maneno mengine, hayapunguzi makali ya Korona wala kusaidia katika matibabu.

Haijalishi ni aina gani ya barakoa anayotumia mtu, madhara yake ni yale yale; hafanyi chochote isipokuwa kufanya upumuaji kuwa mgumu zaidi, bila kusahau sumu yoyote iliyopo katika nyenzo zake.

Mtakumbuka Hayati aligusia kuhusu uwezekano wa hizo barakoa, vipimo na hata kinga kuwa na "Mavitu" ya kila aina ambayo hatuyajui!

Wandugu wote, haya ambayo ninanuku ndiyo yale niliyotaka kusema hapa, kuwa; Lakini 'kufanya kitu' sio sayansi, na haikupaswa kuwa sera ya umma. Na watu waliokuwa na ujasiri wa kusema mengi walistahili kusikilizwa, hawakutendewa haki na wanaweza wasipate msamaha wanaostahili, lakini uthibitisho unapaswa kuwa wa kutosha."

Amani iwafikie nyote

Kwa zaidi bofya hapa
Hivi unajua huyo mungu wenu alikufa kwa kovid hiyohiyo ?
 
Nimekutana na habari hii hapa jamvini,

Ndugu zangu, mabibi na mabwana, vijana na watoto, "Siku moja mtanikumbuka, najua mtanikumbuka kwa mazuri si kwa mabaya, kwa sababu nime 'sacrifice' maisha yangu kwa ajili ya Watanzania maskini."

Hayo yalikuwa maneno ya aliyekuwa Raisi wa Tanzania mpendwa Hayati John Pombe Magufuli.

Ni hivi, mwishoni mwa mwezi uliopita, uchambuzi makini na wa kina wa tafiti za kisayansi zinazoangalia ufanisi wa barakoa zilichapishwa na mtaalamu wa magonjwa ya Oxford ambaye alikiri kuwa katu katu kuwa, mdomo uliowekwa plastiki na pazia za pua (barakoa) hazina maana (Certifiably Useless).

"Hakuna ushahidi wowote kwamba yanafanya chochote." Mtakumbuka Hayati alifanya utafiti wake ambao ulikemewa, ulikejeliwa na kudumazwa kwa nguvu kubwa kutoka ndani na nje ya nchi, famously mbuzi ana korona!

Hivi karibuni Mtaalam wa Magonjwa ya Kuambukiza wa Oxford Jefferson na wenzake 11 kwa pamoja na Shirika la Uingereza Cochrane(a non-profit org) ambalo linachukuliwa kuwa la kiwango cha dhahabu cha ukaguzi wa data za huduma za afya walisema;

"Tafiti" ambazo serikali ilizitaja kama "ushahidi" kwamba barakoa zinafanya kazi, kwamba zote ni fisadi na kamwe hazikupaswa kukubaliwa kama "sayansi nzuri". Alisema Jeferson.

Bwana Jefferson aliulizwa, kuhusu serikali na vyombo vingine vya dola, nabandika hapa kiunagaubaga. Alisema, "Walishawishika na tafiti zisizo na mpangilio, ikiwa na pamoja na masomo ya uchunguzi yenye dosari," alielezea.

Vipi kuhusu kutumia barakoa kwa kushirikiana na miongozo mingine inayopendekezwa kama kunawa mikono kupita kiasi, "social distancing," n.k, "Hakuna ushahidi kwamba mambo haya yanaleta mabadiliko yoyote. There’s no evidence that many of these things make any difference.”

Kwa kifupi, ukaguzi ulibaini kuwa mamlaka ya barakoa (mask mandates) hayakuwa bora zaidi katika suala zima la Visa vya Uviko-19 kulazwa hospitalini na vifo. Barakoa ni ishara tu ya kisiasa, kwa maneno mengine, hayapunguzi makali ya Korona wala kusaidia katika matibabu.

Haijalishi ni aina gani ya barakoa anayotumia mtu, madhara yake ni yale yale; hafanyi chochote isipokuwa kufanya upumuaji kuwa mgumu zaidi, bila kusahau sumu yoyote iliyopo katika nyenzo zake.

Mtakumbuka Hayati aligusia kuhusu uwezekano wa hizo barakoa, vipimo na hata kinga kuwa na "Mavitu" ya kila aina ambayo hatuyajui!

Wandugu wote, haya ambayo ninanuku ndiyo yale niliyotaka kusema hapa, kuwa; Lakini 'kufanya kitu' sio sayansi, na haikupaswa kuwa sera ya umma. Na watu waliokuwa na ujasiri wa kusema mengi walistahili kusikilizwa, hawakutendewa haki na wanaweza wasipate msamaha wanaostahili, lakini uthibitisho unapaswa kuwa wa kutosha."

Amani iwafikie nyote

Kwa zaidi bofya hapa
Yeye ambaye hakuvaa na tuliovaa "vidudu"vimemsomba nani?
 
Magufuli alikufa Kwa ujinga, upumbavu na ubishi uliokithiri ametuangusha sana sana, deep state walikuwa wanampa kila tahadhari na kila taarifa ila ubishi,uzuzu, na ubazazi wake alianguka nao.

TISS walifanya kazi yao yeye alileta ubishi na ujuaji wa kichifu wa kisukuma ndio shida, he bahaved as father house and Chief badala ya kubehave kama president, hata diplomatic tuition sidhani kama alihitimu na kuipa thamani kama induction akiwa Ikulu.

Magufuli died of his own stupidity he acted foolishly as a messiah of his own making.

But generally speaking had he borrowed some advice and humbleness he was such a huge potential with prolific endowment in his brain, dedication, commitment, focus, determination, goal oriented, inclusive oriented, future generational mindset.

Who knows you enter by your own tongue and you exit by your tongue.

"Nothing and no one special than God himself" wadiz, 2023
Umeyasema yoote hayo, mwisho wa siku ni irrelevant. Umeonyeaha chuki badala kupambana na beberu mwenzenu na utafiti wake.
So what kama alikufa? Nani asiyejua kama amekufa, tena kwa corona....shida yako nini sasa?

Umejiumauma mwishowe umetapika. Oh mara korona, oh mara 'Mungu' oh mara his 'tongue' yaani vijisababu lukuki huku mkijua mmetumwa kuja kufanya ugaidi tu mtandaoni. Sidhani kama mna huo mshipa wa kuyasema haya mtaani.

Tutawafunga kwenye matenga tuwazungushe na singeli mtaani.

Poleni kwa huzuni
 
Back
Top Bottom