Mwanamke wa mithali 31
JF-Expert Member
- Apr 10, 2024
- 1,159
- 2,577
Roho yangu inauma ila sina chakufanya zaidi ya kuwaombea hivi toka asubuh kwel
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee jamaa hovyo kabisa pengine unadhani ama kuwaza mleta mada ni mchaga ama Chadema.weka majina ya watu hao vyombo vya uokoaji vifuatilie.
kuna mtu amepostiwa kafa kumbe hakufika kwenye biashara yake.Tuache kupotosha tusaidie watu kwa dhati na kweli
wewe ndio hovyo usiyefikiri kwa kina.Mawasiliano ya mwandishi na wahanga yametokeaje kama hawajuani??Wee jamaa hovyo kabisa pengine unadhani ama kuwaza mleta mada ni mchaga ama Chadema.
ndio ...how come wameweza kufanya mawasiliano na wahanga wakati hapo hapo kuna Team ya uokoaji...kwa nini baada ya kupigiwa simu na wahanga wasiwajulishe Team ya uokoaji?wao wanaarekodi na kuanza kurusha kama tukio la Mandonga !huku ni kukosa utujingalao Upotoshaji unafanywa na ayo TV?
Kabisa, ni bora kufanya juhudi kutoa msaada kuliko kusema "huyo ni attention seeker"... Inauma sana... Ndio aina ya mtu akiwa kiongozi na matukio ya utekaji yanatokea atasema simply tu "ni maigizo" pasipo kujua watu wanaumia..Hawa watu wengine wanaweza kupata nafasi ya kuokoa maisha ya mtu wakasema huyo ni attention seeker tu.
Tulia weweee. Mleta mada siyo Mbowe, mchaga wala Chadema. Usikute ni mataga mwenzako.wewe ndio hovyo usiyefikiri kwa kina.Mawasiliano ya mwandishi na wahanga yametokeaje kama hawajuani??
Nani aliyewaunganisha??
Mungu akusamehe hujui unalolizungumza. .ndio ...how come wameweza kufanya mawasiliano na wahanga wakati hapo hapo kuna Team ya uokoaji...kwa nini baada ya kupigiwa simu na wahanga wasiwajulishe Team ya uokoaji?wao wanaarekodi na kuanza kurusha kama tukio la Mandonga !huku ni kukosa utu
acha unafiki yaani mwanahabari yupo tayari kufanya mahojiano na kurusha mtandaoni badala ya kurelay mawasiliano na waokoaji,??Mungu akusamehe hujui unalolizungumza. .
Nakwambia hujuu unachozungumza, hata hiyo clip hujaisikilizaacha unafiki yaani mwanahabari yupo tayari kufanya mahojiano na kurusha mtandaoni badala ya kurelay mawasiliano na waokoaji,??
Halafu unamtaja Mungu!!
unafiki kiwango cha SGR
Mahojoano na muhanga aliye chini kwenye kifusi yana faida gani kwa sasa kama sio kihatarisha juhudi za uokoaji na maisha ya wahanga ...huu ni uandishi wa wapi?Nakwambia hujuu unachozungumza, hata hiyo clip hujaisikiliza
Kama ungesikiliza ungejua kuwa wameshafikisha taarifa kwa mkuu wa mkoa
Pili ungesikiliza ungejua mwandishi kafikisha taarifa kwa mkuu wa mkoa
Tatu ungekuwa una uelewa hata kidogo, usingeropoka. Haya ni maisha ya watu ambao wamekwama kwenye kifusi toka asibuhi na matumaini yao yanapungua kadri mda unavyosogea. Hawajala, hakuna hewa ya kutosha, kwa sababu hawajakwama baba yako au mama yako, huoni kama wana haki ya kuokolewa.
Hao ni walipa kodi, wanalipa kodi ni haki yao kuuliza kwa nini inachukua nda kutolewa.
You are a bad energy, I dont get it why am arguing with you, sad
Wewe unatiwa dole.Mahojoano na muhanga aliye chini kwenye kifusi yana faida gani kwa sasa kama sio kihatarisha juhudi za uokoaji na maisha ya wahanga ...huu ni uandishi wa wapi?
Tuache unafiki na uhuni inapokuja suala la dharura
Utaishia kutukana tu ...kilaza kaa pembeniWewe unatiwa dole.
hoja sio kufukua kifusi...hoja ni safe evacuation ya watu.Ina maana nchi nzima hakuna vifaa vya kufukua vifusi na kutoa hao watu? 3rd world country indeed.
Mimi siyo level yako. Jingalao wewe.Utaishia kutukana tu ...kilaza kaa pembeni
Kaa pembeni hii sio hoja ya ngwini..kachangie hoja za historia ya vita vya majimaji hukoMimi siyo level yako. Jingalao wewe.