Sauti za waliofukiwa na Ghorofa Kariakoo: "Tuko hai lakini tunateseka, tusaidieni tutakufa"

Sauti za waliofukiwa na Ghorofa Kariakoo: "Tuko hai lakini tunateseka, tusaidieni tutakufa"

Kusitisha evacuation ndio safe way?
Umeambiwa huna akili huko ju. No kweli huna. Nimekujibu kulingana na upuuzi ulioandika kwa wachangiaji..
Wewe ni mpuuzi 1 hivi
wapi ulipoambiwa evacuation imesitishwa??
Yaani unaokoteza taarifa za Instagram halafu unakuja kuchangia mada?acheni utani please!
 
Ayo TV imeongea kwa njia ya simu na mtu aliyepo chini na wenzake tangu asubuhi Novemba 16,2024 ghorofa lilipoporomoka ambapo amesema yeye na wenzie 10 wapo hai lakini hali zao ni mbaya.


Pia, Soma: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Majeruhi 63 kati ya 70 waruhusiwa, uokozi bado unaendelea, zoezi halijasitishwa


"Tupo chini tupo 10 toka asubuhi, tuko upande wa Don Touch, piga hata kwa Mama Samia, tuko toka jana,"

Kwa upande mwingine amesikika Mwanamke mmoja akisema wana hali mbaya.
View attachment 3154074
Tati
Ayo TV imeongea kwa njia ya simu na mtu aliyepo chini na wenzake tangu asubuhi Novemba 16,2024 ghorofa lilipoporomoka ambapo amesema yeye na wenzie 10 wapo hai lakini hali zao ni mbaya.


Pia, Soma: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Majeruhi 63 kati ya 70 waruhusiwa, uokozi bado unaendelea, zoezi halijasitishwa


"Tupo chini tupo 10 toka asubuhi, tuko upande wa Don Touch, piga hata kwa Mama Samia, tuko toka jana,"

Kwa upande mwingine amesikika Mwanamke mmoja akisema wana hali mbaya.
View attachment 3154074
Tatizo la wanahabari wetu cjui wamesomea wapi unaona mtu ana hali mbaya bado unarudia rudia hali zenu zikoje lakin, ndo wale wakuhoji misiban huu msiba umeuchukuliaje, 😢 feel their pain.
 
Toka ghorofa limeanguka saa 3 mpka mda huu watu hawajapata msaada wa kuokolewa

Unakufa kwa kukosa msaada sio jengo kuanguka.

Nasikitka sana, leo hii vijana wanakosa ajira wakati kuna sekta kibao ikiwemo hii ya uokoaji haina wafanyakazi wa kutosha, tujitafakari.
Na badokuna jinga linasema mama kaupiga mwingi
 
Ayo TV imeongea kwa njia ya simu na mtu aliyepo chini na wenzake tangu asubuhi Novemba 16,2024 ghorofa lilipoporomoka ambapo amesema yeye na wenzie 10 wapo hai lakini hali zao ni mbaya.


Pia, Soma: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Majeruhi 63 kati ya 70 waruhusiwa, uokozi bado unaendelea, zoezi halijasitishwa


"Tupo chini tupo 10 toka asubuhi, tuko upande wa Don Touch, piga hata kwa Mama Samia, tuko toka jana,"

Kwa upande mwingine amesikika Mwanamke mmoja akisema wana hali mbaya.
View attachment 3154074
Pumbavuu mwandishi Hali zenu Hali zenu wenzio wapo chin ya Tani za kifusi kwa akili yako wangekwambia wapo vizur wanapunga upepo ama
 
Huyo mtu wa kusimamia uhai wao anaelekea Brazil.

Ajabu safari hii akwenda kwenye COP29 Azerbaijan (itakuwa uchovu wa ziara ya Marekani)

Mungu awape nguvu ya kupambana kutetea uhai wao waliokuwa hai.

Tanzania kwa serikali yetu kudondoka kwa ghorofa sio habari kuu. Ingelikuwa ni huku tunapoishi sisi kwenye vijiji vyetu vya mpakani hiyo sio habari ndogo kwa nchi jirani na jitihada za uokozi. Mafanikio ya uokozi ni political mileage sio swala la mzaha kabisa,

Hatuwezi kujifananisha na wazungu, watu wanaoendesha nchi zao akili zao sio za mzaha-mzaha kabisa.
 
Ayo TV imeongea kwa njia ya simu na mtu aliyepo chini na wenzake tangu asubuhi Novemba 16,2024 ghorofa lilipoporomoka ambapo amesema yeye na wenzie 10 wapo hai lakini hali zao ni mbaya.


Pia, Soma: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Majeruhi 63 kati ya 70 waruhusiwa, uokozi bado unaendelea, zoezi halijasitishwa


"Tupo chini tupo 10 toka asubuhi, tuko upande wa Don Touch, piga hata kwa Mama Samia, tuko toka jana,"

Kwa upande mwingine amesikika Mwanamke mmoja akisema wana hali mbaya.
View attachment 3154074
Dah. Mama hayupo😭
downloadfile-2.jpg
 
Toka ghorofa limeanguka saa 3 mpka mda huu watu hawajapata msaada wa kuokolewa

Unakufa kwa kukosa msaada sio jengo kuanguka.

Nasikitka sana, leo hii vijana wanakosa ajira wakati kuna sekta kibao ikiwemo hii ya uokoaji haina wafanyakazi wa kutosha, tujitafakari.

Tuendelee kuikumbatia CCM
 
Mimi usingizi umeshindikana kbs Kwa Leo!Kuna yule dada Instagram anaitwa bintimohammed28 ameniliza Kwa jinsi walivyo banwa!Hivi ule muda waziri mkuu anapoteza kuhutubia si ungefaa kuendelea na kazi?Yaan mtu anakuja kwenye majanga badala apige kazi ndio kwanza anakuja na msafara wa maV8 na kupoteza muda tu!Tunaongozwa na watu wa ajabu sana
 
Kuna wadau humu mchana walisema wanaotuma ujumbe kutoka kwenye kifusi ni attention seeker, kwamba huwezi kutuma ujumbe ukiwa ndani ya kifusi na huo ujasiri inapata wapi, sasa hadi wanazungumza kwenye simu... Nadhani wameelewa kwamba kuna watu huko chini wanateseka....

Jinsi muda unavyokwenda na probability ya kuwakuta hai hao ndugu zetu nayo inapungua...
Mad Max , Poor Brain
 
Back
Top Bottom