Sawa tumefika mbinguni. Je! tutakuwa tunaongea lugha Gani?

Swali la kipuuzi maana jibu lake umeshaliandika... Hapo kwenye huo mstari uliouandika umesema mwenyewe walikuwa wanazungumza lugha moja halafu Mungu akawabadili usemi wao basi ni yeye mwenyewe Mungu ndiye atakayerejesha ule usemi wa awali.
 
Njaa kitu kingine mkuu ooooh ooooh sema huko kaburini show yake ni too heavy ujue yaan
 
🤣🤣🤣🤣🏃🏃🏃
 
Mtakuja kutufanya tusilimu ohooo! 😁
 
Kama hapa duniani tu mmeshindwa kujifunza lugha tukufu ya kizaramo. Ndio mtaweza lugha za motoni na mbinguni ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…