Skull dance
JF-Expert Member
- Mar 11, 2021
- 230
- 426
Lugha ni moja! Japo sijajua ni ipiTuta speak in tongue’s lkn tutakuwa tunaelewana
Njaa kitu kingine mkuu ooooh ooooh sema huko kaburini show yake ni too heavy ujue yaanni kama ukienda china kule ndani ndani kabisaa vijijini, hawajui lugha nyingine zaidi ya kichina. ukiskia kiu na njaa ya haki lazima utajua tu namna ya kuwasilina nao ili upate maji na chakula, na matokeo yake utajikuta ni sehemu ya jamii ile 🐒
Lugha moja ni lugha ya kiarabu maana ya holy language ni ya kiarabu mkuuKwahiyo hakuna lugha maalumu itakayokuwepo?
Lugha ni moja! Japo sijajua ni ipi
Kuna sehemu walisema we will speak the holy language of the Angels..
Tutajua tukifika😅😅tumrudie mungu tu!
Wee mwamba utakagi kuskia habari za pepo wala moto yaani weee...Kwanza thibitisha huko peponi kupo, kabla ya habari nyingine zozote kuhusu raha za peponi.
😂sawaaLugha moja ni lugha ya kiarabu maana ya holy language ni ya kiarabu mkuu
Huko tutakua tunaimba na kuabudu na kuinjoi mkuu😂sawaa
Huko kuna mito ya maziwa😂sawaa
Kuna mito ya pombe😂sawaa
Huko ni raha tu hakuna shida wala nini😂sawaa
🤣🤣🤣Mkuu hizi hadithi ungetakiwa uziache ulivyo maliza tu darasa la saba, sasa wewe umezibeba hadi ukubwani 😁😁😁,hizo ni kwa ajili ya mafundisho ya watoto kuwakuza katika tabia njema kwa hadithi za namna hiyo na za kina juma na uledi .
🤣🤣🤣🤣🏃🏃🏃Kama akili zako kweli ziko sawa,swali la kwanza lilitakiwa liwe utapanda bus gani kuelekea mbinguni,au itakuwa bajaji,train au boat kama za azam may be!!!
Umerukia swali section B,wakati majibu ya section A yanahitajika huko,pata majibu ya A kwanza😄
Nitajipigia sana wake za watu peponi kama hakuna wivu mbona fureshHapana ila inategemea kama mkeo nae atafanikiwa kuingia peponi utakua naye mkuu huko hakuna kitu kinaitwa wivu
Mtakuja kutufanya tusilimu ohooo! 😁Lugha ni moja tuu kiarabu..
Alafu wote tutakua katika umri mmoja yaani vijana mashabab...
Hakutokua na mtoto..
Kila mwanaume utapewa wadada mia ambao hao utawatumia kadri utakavyo tena Mungu mwingi wa rehma atakupa na nguvu za kuwakanda hao warembo.
Mkuu ni hatare sana unaambiwa
Kama hapa duniani tu mmeshindwa kujifunza lugha tukufu ya kizaramo. Ndio mtaweza lugha za motoni na mbinguni ?Wakuu Bwana ni mwema!!
Maandiko yanatuambia ya kuwa👇👇Mwanzo 11:1-7 (KJV) Nchi yote ilikuwa na lugha moja na usemi mmoja.
Ikawa watu waliposafiri pande za mashariki waliona nchi tambarare katika nchi ya Shinari; wakakaa huko.
Wakaambiana, Haya, na tufanye matofali tukayachome moto. Walikuwa na matofali badala ya mawe, na lami badala ya chokaa.
Wakasema, Haya, na tujijengee mji, na mnara, na kilele chake kifike mbinguni, tujifanyie jina; ili tusipate kutawanyika usoni pa nchi yote.
Bwana akashuka ili auone mji na mnara waliokuwa wakiujenga wanadamu.
Bwana akasema, Tazama, watu hawa ni taifa moja, na lugha yao ni moja; na haya ndiyo wanayoanza kuyafanya, wala sasa hawatazuiliwa neno wanalokusudia kulifanya.
Haya, na tushuke huko, tuwachafulie usemi wao ili wasisikilizane maneno wao kwa wao.
Vilevile yanatuambia baada ya taabu zetu hapa duniani basi tutaenda mbinguni Kwa Mungu wetu.
Huko mbinguni nikustarehe na kula Bata tu Hadi basi
Swali ambalo Huwa najiuliza Kila mara NI SAWA TUMEFIKA MBINGUNI JE TUTATUMIA LUGHA GANI?
imagine hii Dunia Ina lugha nyingi mno huenda ni maelefu ya lugha je TUTATUMIA LUGHA ipi kuwasiliana au tutatengwa?
Mfano sisi waswahili tunakuwa na kamkoa ketu. Vivyo hivyo na wakenya,Japan, USA,nk?
Kwa upande wa wenzetu mi naona lugha Yao ni Moja tu yaani kiaarabu pekee je sisi ambao Hadi Kuna bible zenye lugha ya kichagana kisukuma itakuaje?
Karibuni.
Mkuu ipo hvi huwezi kula mke wa mtu wakati kila mtu atakua na mke wake...Nitajipigia sana wake za watu peponi kama hakuna wivu mvona furesh
Ndio maana sijatoa darasa zima hapa kwa kuogopa watu kama nyie kuja kutokea mkuu...Mtakuja kutufanya tusilimu ohooo! 😁
VIpi kama mke wa solomon akiwa pisi kali ya kwenda ina mzigo wa maana huwezi kuutamani??Mkuu ipo hvi huwezi kula mke wa mtu wakati kila mtu atakua na mke wake...
Pia huko hutokua na tamaa ya kula cha mtu
Daaa🤣🤣🤣🏃🏃🏃Hao wako wengi kama njugu...na kila kitu wao wanaweza..sisi ni kula tuu na kunywa...
Kwa wenzetu waleku waislamu watakuwa wako busy na mabikra 70...yani huko sipati picha...