Sayansi ya uumbaji ndani ya Qur'an/Koran: Sehemu ya 01

Ninyi wafuasi wa mwamedi mna uelewa mdogo sana

Unaulizwa suala hili unaleta jambo ambalo halihusiani

Ndio maana hata management hamjui, hata shule zenu zimejaa ZERO kama vichwa vyenu

Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
Hapa Tanzania,waislam waliosoma ni kutoka Zanzibar,..

Kama sio Kigoma Malima kuleta mfumo wa namba basi Waislam kutoka Tanganyika asingelipasi hata mmoja..

Mfumo wa kikatoliki umejaa chuki kwa Waislamu..

Bila Waislamu mpaka leo tungelikuwa tunatawaliwa...

Mzungu kakuleteeni dini yake,akaweka picha yake halafu akakwambieni,huyu ndie Mungu..
 
Soma tena uelewe...kuna mifano mi3 hapo nimesema..miwili ya Quran mmoja wa hadith.
(And btw hiyo Hadith inasema Allah ndo alisema....kwahyo kuna baadhi ya maneno ya Allah hayapo kwenye Quran au ndo zile aya zilizopotea?)
Sasa unaniuliza mimi tena ? Wewe si ndiyo umedai hayo, kwahiyo yathibitishe, naona unajiongezea mzigo mwingine. Maliza hili,sijaona mfano wa aya ulio uweka zaidi ya ile hadithi ukailinganisha na kisicholinganishika, sasa nasubiri hizo aya ambazo alizisikia mtaani kisha akatuwekea.

Pili, kwanini hujibu maswali ninayo kuuliza ?
 
[emoji38][emoji38]Nacheka sana....uko slow sana kuelewa..Rudi juu kuna mifano tushaiongelea huu uzi..na nilikutajia kwenye hio post..kama hadi picha huoni basi sio kosa langu

Swali gani sijakujibu?
 
[emoji38][emoji38]Nacheka sana....uko slow sana kuelewa..Rudi juu kuna mifano tushaiongelea huu uzi..na nilikutajia kwenye hio post..kama hadi picha huoni basi sio kosa langu

Swali gani sijakujibu?
Kwanza hapa hakuna uhusianowa kutokuweka jibu la swali langu na kuelewa kwangu, ungekuwa umeweka jibu la swali langu ningeelewa sababu haya mambo mepesi sana.

Mimi hiyo mifano sijaiona, kama umeiweka iweke tena hapa, usipoteze muda.

Swali ambalo hujajibu ndiyo hilo la ushahidi wa kuonyesha kwamba kila kitu alichokuwa anasikia mtume mtaani anakiweka kwenye Qur'aan ? Sasa unashibdwa nini kuweka hizo aya za mtaani ?
 
uhusiano upo maana naweka jibu halafu
huelewi kama nimejibu..si napoteza mda wangu
sasa mimi sifanyagi kazi ya kanisa ya kurudiarudia kwa hilo nakupa pole...
angalia pale ulipouliza kama sikukujibu ryt away.


Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Nimecheka sana. Hili nilijua wazi kwamba nalo huliwezi.

Sisi tunaandika elimu wewe unaandika unachojisikia.

Kazi yangu nimemaliza.
 
Hii nimeipenda aisee, kuna mdada alikuwa na mimba pale ofisini kwetu, akawa anaisema vibaya kila mara, alipojifungua mtoto akaendeleza kumsema vibaya. Mtoto alizira kunyonya, alitembea kwenye vikundi vya Maombi wapi,

Tulimshauri amuombe msamaha mtoto na asirudie tena.
 
Sasa ikawaje hizo theory zote zigunduliwe na 'wazungu' na sio waarabu walioteremshiwa Quran? Mf big bang theory imeasisiwa na George Lemaitre na sio Muhamad au Hussein au Saadam au malik.

pili kwanini jamii za waarabu hadi leo ziko nyuma sana kisayansi? Mf hata eneo alilozikwa Muhamad (p.b.u.h) ni wazungu ndio walioendeleza hilo taifa.
 
Azarel uko wapi,mwanangu,Je umesoma hiyo mistari ya Biblia niliyokuwekea hapo juu???
 
We jamaa kichwa sana
 
Na yeye ndiye aliyetaka kutuumba hivyo huko kushukuru hakuna maana..
 
Duuuh!! Kwahiyo hiyo nayo ni scientific fact?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…