Sayansi ya uumbaji ndani ya Qur'an/Koran: Sehemu ya 01

Sayansi ya uumbaji ndani ya Qur'an/Koran: Sehemu ya 01

Injili.haikuhifadhiwa,mahubiri ya Yesu yalikuwepo,Lakini hayakuhifdhiwa..
Sio kwamba hakikuwepo, kilikuwepo isipokuwa wana wa Israel kwa uharibifu wao walifanya mipango ya kubadilisha maandiko sababu hawakupenda ya mungu
Hivi akili zenu huwa mnaziweka wapi ninyi waislam wafuasi wa mwamedi?

Mbona wagumu sana kuelewa?

Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
 
Alicopy vipi wakati alikuwa hajui kusoma wala kuandika ?
Kwani aliandika Quran?yeye si alikuwa mzee wa kusikia na kusema alichosikia..ndomaana watu kipindi kile walimtania na kumuita 'sikio' maana kila analolisikia mtaani linaishia kwenye Quran
 
Ngoja tukukamate unafikiri watu ni mazuzu! Hiyo hadithi ipo kwenye mlango gani? Tupatie jina la scholar ambaye ni mufassiruun na kufafanua kama wewe ulivyofafanua hapo juu!
Hadith ipo sawa sema Yule ni jahili ivyo usisumbuke
 
Hadith ipo sawa sema Yule ni jahili ivyo usisumbuke
Upo sahihi.
Nimeiangalia kwenye Tafsiri ya Ibn Kathiir ipo kama alivyoiweka na ikazamwa ndani kwa kunyambulishwa na rai nyengine ikifafanua maana ya hiyo aya.

Uwasilishaji wa huyo jamaa haukuwa na mlengo wa kuitanbaisha maana ya hiyo aya kwa maana ni ipi bali aliiwasilisha kwa matamanio yake anayoyajua mwenyewe.

Nilimuahidi nitamjibu. Ahadi ni yenye kuulizwa, nitamjibu ili kulinda ahadi.
 
Kwani aliandika Quran?yeye si alikuwa mzee wa kusikia na kusema alichosikia..ndomaana watu kipindi kile walimtania na kumuita 'sikio' maana kila analolisikia mtaani linaishia kwenye Quran
Tupe ushahidi wa kila alilolisikia mtaani linaishia kwenye Qur'aan ?

Swali alichosikia klikuwa kinatoka kwa nani au kinatika wapi ?
 
kwahyo hadith nimetunga sio
Screenshot_20210117-212345.png

Najibu kutokana na namba 2 ilivyosema tuchunge ahadi. Niliweka ahadi kwa mlengo nitakuwepo hapahapa kwa maana nitajibu, naitimiza muda huu.

Hadithi uliyoiweka ni sahihi lakini haikuwa na uelekea uliyokuwa unauelekezea wewe. Aya ilikuwa inasema:

"Wa sh' shamsi tajrii limustaqarrin llaha dhaalika taqdiirul aziizil aliim"

Ikiwa na maana: "Na jua linakwenda kwa kiwango chake. Hayo ni makadirio ya mwenye nguvu, mwenye kujua"

Hadithi uloyoitoa ni sahihi, inayoelezea Mtume Muhammad s.a.w alivyokuwa akilizungumzia Jua. Lakini usahihi huo haukuwa sahihi kwenye kuitafsiri hiyo aya kama ulivyouelekezea wewe. Kwani hiyo aya ina rai mbili kwenye kuifasiri haswa mahali panaposema "Limustaqarrin llaha" ndipo zikaja hadithi za Mtume zinazoelezea mwenendo wa jua linazama. Miongoni mwa hadithi zinazoelezea hayo mazingira ni hiyo hadithi uliyoiweka.

Kwa muktadha huo; Hadithi ipo sahihi lakini hiyo aya tafsiri yake haikujikita kwa hiyo hadithi uliyoiweka pekee bali kuna tafsiri zaidi ya hiyo hadithi uliyoiweka kwenye kuifafanua hiyo aya maana yake haswa ni ipi! Na huo ndiyo ulikuwa mlengo wangu mimi.

Ukihitaji ufafanuzi na ushahidi kwa hili nililoandika njia rahisi ni kwamba unaweza uka google Tafsir ya Ibn Kathir kwa tafsir ya Surat Yaseen, aya kuanzia 37-40 ikiwemo aya tunayoijadili hapa ya 38.
 
Tupe ushahidi wa kila alilolisikia mtaani linaishia kwenye Qur'aan ?

Swali alichosikia klikuwa kinatoka kwa nani au kinatika wapi ?
kinatoka mtaani kwa watu wa aina mbalimbali,wayahudi,waquraysh,Waajemi wazoroastra,wagiriki.kumbuka muhammad kazurula sana kibiashara na kama 'mecca'ilikuwa kitovu cha biashara(ingawa siliamini hili) basi kulikuwa na mchanganyiko wa jamii mbalimbali zenye story mbali mbali
mifano ipo mingi tu hata hapo juu tulkwa
tunadiscuss alivyokopi story ya uongo ya jinsi mtoto anapatikana.
mfano mwingine ni zile story za watu kugeuzwa nyani ambazo zipo kwenye Talmud
au hapa alipomkopi paulo

Sahih bukhari 7498
the Prophet (ﷺ) said, "Allah said, "I have prepared for My righteous slaves (such excellent things) as no eye has ever seen, nor an ear has ever heard nor a human heart can ever think of.'

Corinthians 2:9 KJV
... Eye hath not seen, nor ear heard, neither have entered into the heart of man, the things which God hath prepared for them that love him.

keep in mind kaiga hata sequence ya maneno alotumia Paulo.
paulo yeye alimquote isaiah lakini akabadilisha maneno ila muhamad akaona
uvivu...
 
Hadithi uliyoiweka ni sahihi lakini haikuwa na uelekea uliyokuwa unauelekezea wewe.
nimekosea wapi kuelezea hio hadith?

Hadithi uloyoitoa ni sahihi, inayoelezea Mtume Muhammad s.a.w alivyokuwa akilizungumzia Jua. Lakini usahihi huo haukuwa sahihi kwenye kuitafsiri hiyo aya kama ulivyouelekezea wewe.
hadith iko sahih na mufasir ibn kathir anasema inatumika kuelezea hiyo aya....wewe unabisha nini tena? hiyo hadith haitUmiki kutafsir hiyo aya au?
View attachment 1683363

Kwa muktadha huo; Hadithi ipo sahihi lakini hiyo aya tafsiri yake haikujikita kwa hiyo hadithi uliyoiweka pekee bali kuna tafsiri zaidi ya hiyo hadithi uliyoiweka kwenye kuifafanua hiyo aya maana yake haswa ni ipi! Na huo ndiyo ulikuwa mlengo wangu mimi.
kwanza.. tafsiri niliyoisema kwanza iko sahihi hilo jambo inabidi ukubali..tafsir ya pili sikutaka kuizungumzia maana sikuona kama inaongeza au inapunguza chochote kwenye huu mjadala.
Tatu..mlengo wako haukuwa huo..mlengo wako ilikuwa unapinga usahihi wa hadith na kama inatumika kuelezea hiyo aya..... labda kama umebadili gia angani.
 
nimekosea wapi kuelezea hio hadith?

hadith iko sahih na mufasir ibn kathir anasema inatumika kuelezea hiyo aya....wewe unabisha nini tena? hiyo hadith haitUmiki kutafsir hiyo aya au?
kwanza.. tafsiri niliyoisema kwanza iko sahihi hilo jambo inabidi ukubali..tafsir ya pili sikutaka kuizungumzia maana sikuona kama inaongeza au inapunguza chochote kwenye huu mjadala.
Tatu..mlengo wako haukuwa huo..mlengo wako ilikuwa unapinga usahihi wa hadith na kama inatumika kuelezea hiyo aya..... labda kama umebadili gia angani.
Sawa!
Nakubali tafsiri ipo sahihi.

Nimeridhia pia rai ya pili haikuwa ni yenye kuongeza wala kupunguza chochote kwenye mjadala.

Pia, mlengo wangu haukuwa huo. Mlengo wangu ulikuwa unapinga usahihi wa hadithi na kama inatumika kuelezea hiyo aya.

Simpingi Ibn Kathiir.

Na ni kweli hadithi ipo wazi.

Na hadithi inatumika kuelezea hiyo aya.

Bado kuna mahali nimekosea?
 
Sawa!
Nakubali tafsiri ipo sahihi.

Nimeridhia pia rai ya pili haikuwa ni yenye kuongeza wala kupunguza chochote kwenye mjadala.

Pia, mlengo wangu haukuwa huo. Mlengo wangu ulikuwa unapinga usahihi wa hadithi na kama inatumika kuelezea hiyo aya.

Simpingi Ibn Kathiir.

Na ni kweli hadithi ipo wazi.

Na hadithi inatumika kuelezea hiyo aya.

Bado kuna mahali nimekosea?

kama sio sarcasm basi kongole kwa kuwa jamvinikujadili sio kubishana kama huyo anayejiita zurri
 
kinatoka mtaani kwa watu wa aina mbalimbali,wayahudi,waquraysh,Waajemi wazoroastra,wagiriki.kumbuka muhammad kazurula sana kibiashara na kama 'mecca'ilikuwa kitovu cha biashara(ingawa siliamini hili) basi kulikuwa na mchanganyiko wa jamii mbalimbali zenye story mbali mbali
mifano ipo mingi tu hata hapo juu tulkwa
tunadiscuss alivyokopi story ya uongo ya jinsi mtoto anapatikana.
mfano mwingine ni zile story za watu kugeuzwa nyani ambazo zipo kwenye Talmud
au hapa alipomkopi paulo

Sahih bukhari 7498
the Prophet (ﷺ) said, "Allah said, "I have prepared for My righteous slaves (such excellent things) as no eye has ever seen, nor an ear has ever heard nor a human heart can ever think of.'

Corinthians 2:9 KJV
... Eye hath not seen, nor ear heard, neither have entered into the heart of man, the things which God hath prepared for them that love him.

keep in mind kaiga hata sequence ya maneno alotumia Paulo.
paulo yeye alimquote isaiah lakini akabadilisha maneno ila muhamad akaona
uvivu...
Kijana uwe unatuliza akili na ujue nini tunakiongelea. Tunaongelea Qur'aan unaleta hadithi za mtume. Tumalize kwanza hili la Qur'aan kisha tuje kwenye hadithi.

Au ushasahau mara hii tunaongelea nini ?
 
kama sio sarcasm basi kongole kwa kuwa jamvinikujadili sio kubishana kama huyo anayejiita zurri
Kwa nini unahisi nikufanyie hivyo? Sarcasm?

Moyo wangu una amani na iwe kwako pia!

Kuhusu Zurri sidhani kama ni vyema kumhusisha kilichokuwa baina yangu na yako. Kilichokuwa baina yenu ni vyema mkakijadili baina yenu.

Dini ni elimu. Kuna uwezekano nikawa ni mwenye elimu zaidi yake au akawa ni mwenye elimu zaidi, zaidi ya mimi. (Simaanishi kuwa nina vazi la elimu bali ninamaanisha kiwango cha elimu).

Baina yenu mjadala ni mengi tutajifunza na tunajifunza.
 
Kijana uwe unatuliza akili na ujue nini tunakiongelea. Tunaongelea Qur'aan unaleta hadithi za mtume. Tumalize kwanza hili la Qur'aan kisha tuje kwenye hadithi.

Au ushasahau mara hii tunaongelea nini ?
nimeongea vingi kama wewe umeona part ya hadith tu basi sio kosa langu..(BTW kwangu mimi sioni tofauti ya Quran na hadith....moja ni hadith za waislam wa kale wakisema kuwa hayo yalikuwa matendo na maneno ya mtume wao. nyingine ni hadith za haohao waislam wa kale wakisema hayo ni maneno ambayo huyo mtume wao alisema yanatoka kwa mungu....All in all zote ni hadith za hao waislam wa kale all the same)
 
Kwa nini unahisi nikufanyie hivyo? Sarcasm?

Moyo wangu una amani na iwe kwako pia!

Kuhusu Zurri sidhani kama ni vyema kumhusisha kilichokuwa baina yangu na yako. Kilichokuwa baina yenu ni vyema mkakijadili baina yenu.

Dini ni elimu. Kuna uwezekano nikawa ni mwenye elimu zaidi yake au akawa ni mwenye elimu zaidi, zaidi ya mimi. (Simaanishi kuwa nina vazi la elimu bali ninamaanisha kiwango cha elimu).

Baina yenu mjadala ni mengi tutajifunza na tunajifunza.
Sawa
 
nipe muujiza mmoja wa kisayansi wa Quran nisilim
Quran imeelezea habari za 'finger prints ' kwa maana ya ile uniqueness yake baina ya mtu na mtu. Allah anatuhakikishia wote, tunaomuamini na msiomuamini kwamba atatufufua siku ya kiyama na ataturudisha 'sawa sawa' mpaka 'ncha za vidole'! Wallahu aalam.
 
nimeongea vingi kama wewe umeona part ya hadith tu basi sio kosa langu..(BTW kwangu mimi sioni tofauti ya Quran na hadith....moja ni hadith za waislam wa kale wakisema kuwa hayo yalikuwa matendo na maneno ya mtume wao. nyingine ni hadith za haohao waislam wa kale wakisema hayo ni maneno ambayo huyo mtume wao alisema yanatoka kwa mungu....All in all zote ni hadith za hao waislam wa kale all the same)
Tofauti ipo, umeandika mengi, ila katika munasaba wa kitabu uliongelea hasa, na si yote ndiyo maana nakurudisha katika hoja ya msingi. Acha uoga jikite kwenye hoja ya msingi.

Haya mengine tutayajadili baadae ila tumalize hili la Qur'aan kwamba kila alilosikia mitaani mtume tunalikuta humo, na utupe ushahidi ni lipi hilo.
 
Tofauti ipo, umeandika mengi, ila katika munasaba wa kitabu uliongelea hasa, na si yote ndiyo maana nakurudisha katika hoja ya msingi. Acha uoga jikite kwenye hoja ya msingi.

Haya mengine tutayajadili baadae ila tumalize hili la Qur'aan kwamba kila alilosikia mitaani mtume tunalikuta humo, na utupe ushahidi ni lipi hilo.
Soma tena uelewe...kuna mifano mi3 hapo nimesema..miwili ya Quran mmoja wa hadith.
(And btw hiyo Hadith inasema Allah ndo alisema....kwahyo kuna baadhi ya maneno ya Allah hayapo kwenye Quran au ndo zile aya zilizopotea?)
 
Quran imeelezea habari za 'finger prints ' kwa maana ya ile uniqueness yake baina ya mtu na mtu. Allah anatuhakikishia wote, tunaomuamini na msiomuamini kwamba atatufufua siku ya kiyama na ataturudisha 'sawa sawa' mpaka 'ncha za vidole'! Wallahu aalam.
Kuweni serious kidogo basi

A:Muhamad kwenye hiyo aya hajaongelea 'fingerprints' kaongelea fingertips..jifunze tofauti yake

B:Muhammad hajasema kuwa hizo fingertips ni 'unique' kwa kila mtu(ambayo ndo concept nzima ya fingerprint technology)...yeye kaongelea tu jinsi allah anaweza kumrudishia mtu kama alivyokuwa.
Hata angesema ulimi...kila ulimi ni unique ingawa polisi hawatumii tongueprints....(hata nywele tu..kila nywele ni unique..matter of fact kila kiungo chako ni unique kina DNA zako)

C:hata kama angeongelea 'uniqueness' ya hizo fingerprints hizi habari hazijajulikana leo...civilizations nyingi kitambo zilijua haya (mf. wachina)
Screenshot_2021-01-23-01-39-28.jpg

D:Tukitumia methodology yako basi kila aya ya Quran ni muujiza
cheki mfano huu nmetunga saivi(NB:usiutumie kwenye dawah)

Qraan5:16 "through which Allah guides those who seek His pleasure to the ways of peace, brings them out of darkness and into light by His Will, and guides them to the Straight Path"


(Ngoja tutwist[emoji28])
Hapa muhammad aligundua mwanga unasafiri kwa kunyooka....maana hapa anasema Allah atawaongoza waumini pamoja na mwanga katika njia iliyonyooka...hapo "guides 'them' to the straight path" hao them ni hao beleivers pamoja na Light...Allah 'ahmaq
 
Hivi akili zenu huwa mnaziweka wapi ninyi waislam wafuasi wa mwamedi?

Mbona wagumu sana kuelewa?

Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
Akili zetu zimewekwa kichwani,tunaamini ya Isa aka Yesu na madhumuni yake ya kuletwa na Mungu hapa Duniani

Tunaamini kuwa Yesu aka Isa ni mjumbe wa Mungu kama wajumbe wengine walioletwa na Mungu kuwaongoza binaadamu..

Yesu aka Isa aka Yasu aka Jesus aka Joshua,aliwambia wafuasi wake kuwa yeye kaletwa kwa kuyaendeleza ya Musa..soma Matayo 5:17

Yesu aliwambia wafuasi wake kuwa yeye kaletwa kwa kuwaokoa wana Wa Israeli tu waliopotea(wenye dhambi)..soma Matayo 15:24

Yesu aliwambia wafuasi wake kuwa atarudi duniani kuja kuwasuta wale wanaopotosha jina lake,soma Matayo 7:21-23

Mkuu waislam akili zetu ziko sawa tunaamini na tunayakubali yale aliyoyahubiri na aliyotenda Yesu ..

Waislam hatuli nguruwe,tunakata govi,hayo yote ni mafunzo ya Yesu,na tunamuombea kila tukimtaja

Marehemu Bob Marley aliwahi kuimba kwenye nyimbo yake inayoitwa Get up Stand up..

"We are sick and tired hearing that almighty God is living man

you can fool some people some time but you can't fool all the people all the time"...

Tafakari,jiulize wewe je akili yako iko sawa!!? Kuamini kuwa Binadamu ni Mungu!?

Mbona mgumu sana kuelewa??!!
 
Back
Top Bottom