Scars haaamini kwenye uwepo wa Mungu lakini anaomba dua na kufanya maombi

Huyo hayupo familia na mpira

Yeye anajua maswala ya hija ya kumrushia mawe shetani wakati kiuhalisia lile ni jiwe
sasa yeye kachukulia mfano,
Na mimi nikamwambia chukulia mfano within30 sec likapigwa bomu au mashabiki wakaingia uwanjani kufanya vurugu,

Alikuwa na hakika mpira utaisha?
Mfano wake yeye anaona sawa ila hataki wa mwenzake as if kuna limitation ya vitu vya probability kutokea!
 
Kwani hilo tukio halijafanywa na Atheist ku debubk nadharia potofu iliyokuwa ina mea katika jamii?

Na sijakuongezea

Kuna challenge ya 1M dollar iliwekwa na huyo huyo James Randi. Kwa watu wote wanaodai kuwa uchawi upo basi wakiweza kuthibitisha uchawi upo watapokea hizo pesa.

Shindano lilianza mwaka 1964 huku maelfu ya watu wakijitokeza kufanya challenge lakini mpaka 2015 shindano linakuja kuwa terminated hakuna hata mmoja aliyeweza kuthibitisha uchawi.

Shindano limedumu kwa miaka zaidi ya 50 lakini hakuna hata mmoja aliyeweza kuthibitisha uchawi upo.

Je hiyo sio advantage ya atheism katika jamii kutoa mwangaza kwa watu ambao wamekuwa wakidanganyika na mambo ya kishirikina?
 
Si kweli, binaadamu tunatofautiana na tuna mapungufu hivyo uhalisia huwezi kutegemea kila mtu atamtendea mema jirani yake lazima tu wawepo wa kukutendea mabaya.

Kila mafanikio hapa duniani ni kuwa na positive mindset+

Hata kuanzishwa Kwa jamiiforum ilikuwa Kwa ajili ya +mindset
 
Chochote unachokiabudu ni mungu kwako.
 
Neno lake lipi?

Kuna maandiko mengi sana yanayo daiwa ni maneno ya huyo Mungu yanayo tofautiana maelezo ya chanzo cha uhai.

Kuna Biblia ya wakristo, Quran ya waislamu, Veda ya wahindu,Tiptaka ya wabudha, Kojik ya washinto n.k
Miungu ipo mingi ila Mungu wa kweli ni mmoja tu. Ni muumba wa ulimwengu wote.
Hakuna neno la Mungu zaidi ya hadithi za kutungwa na kusadikika sawa na Hekaya za Abunuwasi au riwaya za Alfu Lela ulela.

Haiwezekani Mungu huyo awe na maandiko mengi mengi yanayo daiwa ni maneno yake.
Hayo sio maandiko ya Mungu mmoja wa kweli bali miungu mingi pia imeandika.
Mara wakristo wadai biblia ndio neno la Mungu na waislamu wadai Quran ndio neno la Mungu huyo.
Sio Mungu huyohuyo, ni miungu tofauti.
Haya ni maoni yako, mimi nayaheshimu.
 
Na sio neno dua tu

Hata katika surprise naweza kusema "oh my god"

Just kama wewe unavyokuwa comfortable kutumia neno Thursday bila kujali kuwa umetaja jina la Mungu wa Thor.

Sidhani kama kwa kutaja kwako neno hilo unakuwa ni muumini wa huyo Mungu
Wewe ni muumini katika imani ya atheist. Nyie pia mna mungu wenu anayewaongoza huko na mnamuabudu kwelikweli.
 
Kama roho haionekani, Wewe uli iona wapi ukajua ipo?

Roho isiyo onekana, ilifahamikaje ipo?

Aliyesema roho ipo, Ali iona wapi akajua ipo?

Mtu huyo aliwezaje kuiona roho isiyo onekana?
Aliyesema roho ipo ni Mungu ambaye ndio aliiumba na kuiweka hapo kwenye moyo. Mimi nafahamu ipo kwa imani.
 
Suala la kanisani nani kazungumzia? Kuna mahala nimezubgumza habari ya kanisa?
 
Huu ni ukweli kwa asilimia mia moja.
 
Tuambie maombi yako ulikuwa unayaelekeza kwa nani.
 
Hapa ni sawa na kusema ndege, gari au treni ikipata ajali basi ndege zote, gari zote na treni zote hazina maana na hazina faida.
 
Hapo kwenye gravitational forces acha kuongopa na acha kujifanya mjuaji wa kila kitu. Unaelewa kwamba kuna sehemu nguvu ya uvutano haipo?
Acha propaganda kijana, gravitational force ipo kila mahali.
 
Basi kumbe unajadili kitu chengine kabisa ndio maana hatuelewani, suala la mpira kukatishwa kwa dharula yeyote hicho sicho nachojadili mimi bali mie uhakika wangu upo ndani ya mchezo wenyewe. Hayo kupigwa bomu yapo nje kabisa ya mchezo ndio maana nikasema kama mechi ingekuwa inachezwa huko Gaza kweli ningelizingatia hilo la bomu.
 
Yaani nashangaa kwanini unaweka limitation mkuu,
Kwamba ingekuwa gaza ungezingatia hilo? Lakini masheikh waliotuhumiwa kurusha bomu hotel arusha? Je bomu kanisani kule arusha?

Acha kujilimit na hii ni sababu swali lako limekuja chukulia mfano probability haina limitation lolote linaweza kutokea ndani ya sekunde hizo.

Ukitaka toka huko jadili mada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…