Scars haaamini kwenye uwepo wa Mungu lakini anaomba dua na kufanya maombi

Scars haaamini kwenye uwepo wa Mungu lakini anaomba dua na kufanya maombi

Basi kumbe unajadili kitu chengine kabisa ndio maana hatuelewani, suala la mpira kukatishwa kwa dharula yeyote hicho sicho nachojadili mimi bali mie uhakika wangu upo ndani ya mchezo wenyewe. Hayo kupigwa bomu yapo nje kabisa ya mchezo ndio maana nikasema kama mechi ingekuwa inachezwa huko Gaza kweli ningelizingatia hilo la bomu.
Game ya Bournemoutn na Luton masaa yaliyopita imekuwa abandoned/imeahirishwa baada ya mchezaji kuanguka uwanjan na kuzimia dakika ya 65, yanatokea acha kukaza kichwa
 
Ok nimekuelewa kwamba ndani ya sekunde 30 dharula inaweza kutokea au bomu linaweza kupigwa.

Kuhusu kuwa na uhakika mechi kuisha? Najua mechi inaisha ndani ya dk 90 labda itokee ziongezwe dakika, kinyume na hapo labda itokee dharula.

Dakika haziongezwi ila zinafidiwa zilizopotea kukamilisha zile 90, ni dakika za fidia sio nyongeza..zipo ndani ya zile 90
 
Huyu jamaa ni mtu wa dua na maombi lakini anasema hakuna Mungu. Ninaamini alipitia changamoto za kimaisha hadi akamchukia Mungu lakini deep down anafahamu uwepo wake.
Scars

So Scars kutumia neno dua maana yake anaamini Mungu?

Maana yake na mimi nitakuwa sahihi kusema hata Wakristo na Waislamu watakuwa wanaabudu Miungu ya kigiriki iwapo tutabaini kuna maneno fulani yamayopingana na dini zenu mkiyatumia?

Kwasababu wamekuwa wakitaja miezi ya mwaka kwa kuiita Januari ambapo kimsingi Januari ni jina la Mungu wa kigiriki aitwaye Janus.

Au niseme mnaabudu miungu ya kirumi kwasababu mmekuwa mkiita mwezi wa tatu "March" wakati hilo ni jina la Mungu wa kivita wa kirumi?

Vipi kuhusiana na siku za wiki Monday, Tuesday, Wednesday, Friday, Thursday, Saturday hadi Sunday ambaye ni Mungu jua?

Hujui kwamba hiyo ni Miungu?

Kwahiyo tunapokuona ukitamka tusemeje sasa? Tuseme unatamka hayo maneno kwasababu unaamini hiyo Miungu?

Au tuseme na nyie mnatuektia kusema mnaamini Mungu na wakati tunawaona mnatumia Dollar ya marekani ambayo ina chata ya kishetani ambayo imeelezwa kwenye vitabu vyenu?


****************************
Kujibu swali lako

Kwa bahati mbaya unaonekana kushindwa kuelewa baadhi ya maneno yana double meaning kwa kuchukua maana ile iliyo kaririwa ambayo imekuwa ikitumika sana kimazoea

Neno dua linaweza kuwa na maana nyingine na kutumika kama "wish" au "hope"

Kumtakia mtu heri ya jambo lolote linaloenda kufanyika mbele hiyo sio dua kwa mtazamo wa kidini ni jambo la kiutu katika morality

Lakini kama upo katika circle ya udini lazima uwe na perception ya tofauti unaweza kusema ni dua

Kwa hiyo hayo ni maswala tu ya utata wa maneno hususani pale inapotokea neno kuwa na maana zaidi ya moja huku maana fulani ndio ikiwa inatumika kimazoea kwenye jambo fulani.
Uzi ufungwe....
 
Game ya Bournemoutn na Luton masaa yaliyopita imekuwa abandoned/imeahirishwa baada ya mchezaji kuanguka uwanjan na kuzimia dakika ya 65, yanatokea acha kukaza kichwa
Hiyo ni sawa na ajali ni nje kabisa ya upeo wangu, mimi sijasema kwamba najua haitotokea ajali na mechi lazima iishe na itaisha salama. Sijajua mnashindwa wapi kuelewa?

Hebu nipe mifano kwa kutumia hilo neno "hakika" ambavyo wewe unaona ni sahihi kutumika.
 
Dakika haziongezwi ila zinafidiwa zilizopotea kukamilisha zile 90, ni dakika za fidia sio nyongeza..zipo ndani ya zile 90
Ingekuwa hivyo basi ingekuwa zinafidiwa humo humo hadi kukamilisha dk 90 kisha ndio mechi iishe ili tusiite dk za nyongeza.
 
Nazungumzia atheism.
Simba imeshinda dhidi ya Wydad kama nilivyokuwa natumai

Saizi sina imani tena kuhusu matokeo ya Simba na Wydad

Imani ishakuwa transformed kuwa uhakika

Kuna possibility yeyote ya uhakika huu kubadilika na kuja kivingine?
 
Hivi dua na maombi kuna tofauti?
Dua ni sort of wishing or hope for something.

Application nayo ni maombi watu wanaomba nafasi za kazi.

Mtu akikuambia nimefanya maombi usikurupuke tu kumjibu "Mashaalah Allahu Akbar" muulize maombi gani isije ikawa anazungumzia kafanya maombi ya mkopo wa HESLB
 
Simba imeshinda dhidi ya Wydad kama nilivyokuwa natumai

Saizi sina imani tena kuhusu matokeo ya Simba na Wydad

Imani ishakuwa transformed kuwa uhakika

Kuna possibility yeyote ya uhakika huu kubadilika na kuja kivingine?
Ulikuwa unaamini simba itaifunguka wydad au mechi ya simba na wydad itaisha salama bila kutokea ajali wala mabomu?
 
Dua ni sort of wishing or hope for something.

Application nayo ni maombi watu wanaomba nafasi za kazi.

Mtu akikuambia nimefanya maombi usikurupuke tu kumjibu "Mashaalah Allahu Akbar" muulize maombi gani isije ikawa anazungumzia kafanya maombi ya mkopo wa HESLB
Maombi ni nini? umesema Dua ni wishing au Hope, je maombi ni nini?
 
Ulikuwa unaamini simba itaifunguka wydad au mechi ya simba na wydad itaisha salama bila kutokea ajali wala mabomu?
Imani yangu niliwekeza kwenye matokeo ya ushindi sio dharula
 
Back
Top Bottom