Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
Kama marehemu aliweza mpaka kutuma sms maana yake unaweza/tungeweza kulocate point alipo na kufanya rescue.
Kale kaghorofa ni kadogo sana kushindwa kuokoa watu wote ndani ya siku tatu.
Kuna gaps kwenye rescue team yetu na mfumo mzima kwenye majanga kama haya.
Hatuwezi kutumia wiki mbili kufanya rescue na kutoa miili kwenye ajali ndogo kama ile, sidhani kama tunahitaji zaidi ya siku tatu kuokoa walio hai kwenye jengo kama like.
TUJITAFAKARI.
Kale kaghorofa ni kadogo sana kushindwa kuokoa watu wote ndani ya siku tatu.
Kuna gaps kwenye rescue team yetu na mfumo mzima kwenye majanga kama haya.
Hatuwezi kutumia wiki mbili kufanya rescue na kutoa miili kwenye ajali ndogo kama ile, sidhani kama tunahitaji zaidi ya siku tatu kuokoa walio hai kwenye jengo kama like.
TUJITAFAKARI.