Second President of the Republic of Kenya, Daniel Toroitich Arap Moi dies at 95

Second President of the Republic of Kenya, Daniel Toroitich Arap Moi dies at 95

Jamaa alikuwa mbabe sana hasa baada ya kunusurika kupinduliwa 01/08/1982 ambapo aliamuru waliopanga hizo njama kunyongwa hadi kufa.

Nakumbuka alipobariki kuuwawa kwa the former foreign affairs minister wake Dr. Robert Ouko February 1990, it was very sad.

Alivyowanyanyasa wanaharakati mwaka 1992 wakipigania kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi na alivyomtambia Mkapa pale Sirari kuwa chama tawala kushindwa uchaguzi haiwezekani labda kwa uzembe sana.

Aliwahi kutamba kuwa hakuna kitu kinaitwa demokrasia na kudai demokrasia ni tumbo tu na ndipo alipoanza mkakati unaotumiwa leo hapa na ccm wa kuwanunua wapinzani na wanaharakati kwa fedha kibau.
Otherwise, may Almighty God do the way he deems fit. Amen.
 
Hatimaye amefariki kweli. Kwa hivyo William Rutto hataweza kyhudhuria masiba wake, maana siku za mwisho za uhai wake alimpiga marufuku Rutto kuhudhuria mazishi yake atakapokufa.
 
Hebu soma hapo chini. Inaonekana alikuwa na mke na alikuwa na watoto 7. Jumla wa 8 mmoja wa ku asili. View attachment 1345988

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante leo ndio nimesikia watoto wa Daniel Arap Moi
nilidhani hajajaaliwa, kumbe hakupenda kuishi na wake zake au ni wa kununua tu (adapted)
RIP Moi pumzika Mzee wetu
Hii Nchi wanarithishana tu
1580794834038.png
 
Poleni sana wakenya kwa huu msiba mkubwa. Sijui Mzee Moi atakapokutana na Former Foreign Minister Marehemu Robert Ouko aliyeuwawa na mwili wake kuchomwa kwa moto atamwambia kitu gani?

Natumaini Mzee Moi alishaweka mambo yake sawa Kwa kumpokea Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi wa maisha yake vinginevyo ni huzuni tupu.

Poleni wafiwa wote
 
RIP mzee Moi, pamoja na mambo mengine lakini ulionesha njia kwa viongozi wa Africa ambavyo wanatakiwa kuwa baada ya kishindwa uchaguzi, nakumbuka uliposhindwa uchaguzi na kuulizwa kwanini hujakataa matokeo, ulijibu jibu rahisi kwamba 'hiyo ndiyo demokrasia '
 
RIP mzee Moi, pamoja na mambo mengine lakini ulionesha njia kwa viongozi wa Africa ambavyo wanatakiwa kuwa baada ya kishindwa uchaguzi, nakumbuka uliposhindwa uchaguzi na kuulizwa kwanini hujakataa matokeo, ulijibu jibu rahisi kwamba 'hiyo ndiyo demokrasia '
Hajawahi kushindwa uchaguzi huyu mzee,chama chake ndo kilishindwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom