Second President of the Republic of Kenya, Daniel Toroitich Arap Moi dies at 95

Second President of the Republic of Kenya, Daniel Toroitich Arap Moi dies at 95

Hata kulikua na propaganda kwamba William Ruto ni mtoto wa moi,japo sijui Kama Kuna ukweli ndani yake.
Ungeuliza vitu vya maana. Kwa mfano kama chama chako kitatekeleza wito wa wanachama wake, wa kumtanguliza Zitto Kabwe mbele ya haki. Sio unakuja na kiherehere chako ukidhani kila mtu ni petty kama wewe. Hivi unajua Daniel Moi ndiye aliyemuinua William Ruto kisiasa na kimaisha? Soma historia kwanza kabla ya kujifanya mjuaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Why not,if he was able to attend Jonathan's burial why not for mzee? This is state function and it will be handled by the state not Gideon moi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haijalishi hata kama hafla yenyewe ingekuwa ya kifamilia au hata ya Gideon Moi. Maturity ya William Ruto kisiasa or otherwise sio jambo la kubahatisha. Hata kwenye mazishi ya ndugu yao Jonathan Moi, William Ruto alikuwepo.
BBWlxTL.img
Huyu mzaramo anapenda tu umbea umbea na anadhani kila mtu ni mchawi kama viongozi wa chama chao.
 
Hata juzi wamekua kwenye function kule eldoret wote wawili,wachana na Hawa wachawi wa sauzi.
Haijalishi hata kama hafla yenyewe ingekuwa ya kifamilia au hata ya Gideon Moi. Maturity ya William Ruto kisiasa or otherwise sio jambo la kubahatisha. Hata kwenye mazishi ya ndugu yao Jonathan Moi, William Ruto alikuwepo.
BBWlxTL.img
Huyu mzaramo anapenda tu umbea umbea na anadhani kila mtu ni mchawi kama viongozi wa chama chao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pumzika kwa amani sana Mzee Moi. Pamoja na madhaifu yako kama mwanadamu walau uliwaacha Wakenya wakapumua kwa kupata demokrasia tofauti sana na hali ilivyo kwenye nchi nyingi za Africa.

Pumzika kwa amani Mzee Moi.
 
pingli-nywee,

Mwanzoni Ruto nilikuwa namuona kama kiongozi asiyefaa kabisa kwa sababu ya kuwasikiliza haters wake, ni kama nilivyokuwa namuona Uhuru tu.

Lakini nilipoanza kumfuatilia nikagundua ni tofauti kabisa na anavyosemwa. Uhuru na hata Ruto nawafananisha na Jakaya Kikwete, ambaye alipigwa sana vita na haters wake alipoonekana kuutaka Urais lakini hakukata tamaa, akaanzisha "Ari Mpya, Nguvu Mpya na Kasi Mpya" hadi kuukwaa Urais.
 
Back
Top Bottom