Second President of the Republic of Kenya, Daniel Toroitich Arap Moi dies at 95

Second President of the Republic of Kenya, Daniel Toroitich Arap Moi dies at 95

Kwahiyo Moi aliishi kipindi chote cha urais bila mke?
Sio kweli, Moi alioa na kupata watoto nafikiri wanne au watatu, vijana akiwemo Gideon Senator wa Baringo, Marehemu Jonathan na kijana mwingine pia.
Kumbuka walitalikiana na mkewe zamani akiwa bado makamu wa rais.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
RIP mzee Moi, pamoja na mambo mengine lakini ulionesha njia kwa viongozi wa Africa ambavyo wanatakiwa kuwa baada ya kishindwa uchaguzi, nakumbuka uliposhindwa uchaguzi na kuulizwa kwanini hujakataa matokeo, alijibu jibu rahisi kwamba 'hiyo ndiyo demokrasia '
Moi alishindwa uchaguzi? hapana mkuu. Huyu mzee mwaka 2000 au 2001 hivi, alitaka kumrithisha kiti bwana mdogo Uhuru Kenyatta kupitia KANU.

Hapo ndipo Kibaki na wengine wakagoma na kuanzisha muungano wa NARC kenya, muungano ambao ulimshinda Uhuru wa KANU.

Tokea hapo kenya wameendelea na mtindo wa kuanzisha vyama kila unapokaribia uchaguzi, the likes of ODM, jubilee etc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poleni majirani kwa kuondokewa na Rais pekee ambae alikua anapenda kuhutubia kwa Kiswahili.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kenyan,
I think the Kenyans know well both sides of Moi. They should pay him his due rewards. RIP MZEE.
 
RIP Mzee Daniel Toroitich arap Moi.

7 Sep 2014

RETIRED PRESIDENT MOI DOCUMENTARY: [90 ya Sulubu] - Historia ya Maisha Rais Mstaafu Daniel Arap Moi.



Source: KTN NEWS KENYA
 
Jeff Koinange Live [Part 1] From Nyambane the Comedian to being a "Retired President Daniel Arap Moi".

Hawa jamaa walinifanya kumuelewa Mzee Moi alivyoheshimika na kukumbukwa na sisi vijana tunajifunza uongozi ni nini. RIP Mzee Moi na pole nyingi kwa familia na waKenya wote.

 
Hatimae Arap Moi amekufa kweli baada ya kusingiziwa kufa Mara nyingi

Pumzika kwa Amani Mzee. Ukumbuke hakuwahi kuoa.

Sent using Jamii Forums mobile app

7.30 asubuhi: mtoto wa Moi ambaye ni Seneta wa Baringo Gideon Moi alihutubia taifa hospitalini ili kuthibitisha habari za kusikitisha. Alisema baba yake alikuwa aliaga dunia kwa amani.

"Nilikuwa naye, na kama familia tumekubali. Kwangu cha zaidi ni kutoa shukrani zangu za dhati kwa Wakenya wote na wasio Wakenya kwa sala na mawazo ambayo wamekuwa wakimpa Mzee na kwa familia yetu. Asante wote . "
 
Alitawala kwa hicho kipindi cha karibu miaka 24 akitumia kikosi katili cha usalama wa taifa enzi hizo kikiitwa "The Special Branch" kikisaka, kukamata, kutesa na hata kuua wote waliobainika kupinga "Juhudi".
 
Back
Top Bottom