nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Poleni sana ndugu zetu wakenya,
Rest in eternal peace mzee Moi.
Rest in eternal peace mzee Moi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kibaki naye alirithi?Asante leo ndio nimesikia watoto wa Daniel Arap Moi
nilidhani hajajaaliwa, kumbe hakupenda kuishi na wake zake au ni wa kununua tu (adapted)
RIP Moi pumzika Mzee wetu
Hii Nchi wanarithishana tu View attachment 1346037
Acha urongo babu doh! Huyu kwa umri huo mashine haiendi wima! BTW I am waiting to see if Ruto will attend the funeral knowing that mighty beef that exists btn this family n Ruto! This death will be Ruto's wrong doingKenyan,
Kuna mshenzi mmoja alitaka kumbaka mwaka jana! Nahisi alitaka urithi kupitia mimba. Hawa wadada siku hizi hatari sana.
Kibaki naye alirithi?
Hakushindwa 2002 ila chama chake kiligombea kikiwakilishwa Uhuru Kenuyatta ambaye alishindwa na kukubali matokeo.RIP mzee Moi, pamoja na mambo mengine lakini ulionesha njia kwa viongozi wa Africa ambavyo wanatakiwa kuwa baada ya kishindwa uchaguzi, nakumbuka uliposhindwa uchaguzi na kuulizwa kwanini hujakataa matokeo, ulijibu jibu rahisi kwamba 'hiyo ndiyo demokrasia '
Why not,if he was able to attend Jonathan's burial why not for mzee? This is state function and it will be handled by the state not Gideon moi.
Sent using Jamii Forums mobile app
And political ramifications? Of recently he has been talking of down with dynasty!How was that related to his burial? Despite all the hullabaloo Ruto attended Jonathan's burial. He will attend being William Ruto isn't easy my friend.
Sent using Jamii Forums mobile app
We r talking of current situation!Ungeuliza vitu vya maana kama chama chako kitatekeleza wito wa wanachama wake, wa kumtanguliza Zitto Kabwe mbele ya haki. Sio unakuja na kiherehere chako ukidhani kila mtu ni petty kama wewe. Hivi unajua Daniel Moi ndiye aliyemuinua William Ruto kisiasa na kimaisha? Soma historia kwanza kabla ya kujifanya mjuaji.
I don't think there will be any, Gideon will want to prove that he is ripe to rule kenya and uhuru will not like to show that there is bad blood between him and Ruto especially in ruto's stronghold , therefore they will play it cool.And political ramifications? Of recently he has been talking of down with dynasty!