Engineer levi Devin
JF-Expert Member
- May 17, 2016
- 2,501
- 1,047
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haitaji Phd kujua anaenda motoni au ahera, atakuwa sehemu moja na Mugabe, Mobutu, Banda, Bokasa, Hitler, Amin
Hatima yake ilipangwa na Mungu kabla hajazaliwa na huwezi ukajua kwamba ameishi maisha yapi baada ya kustafu.Biblia yasema waovu wote sehemu yao ni kwenye ziwa la moto. Dhambi ya kuuwa inasameheka?
Wafiraji na wafi...HAOOO awasamehewi WENGINE usishangae wanakufungulia MLANGO soma maandikoBiblia yasema waovu wote sehemu yao ni kwenye ziwa la moto.Dhambi ya kuuwa inasameheka?
Biblia yasema waovu wote sehemu yao ni kwenye ziwa la moto.Dhambi ya kuuwa inasameheka?
Kila jambo na mwisho wakeUnamtukana au
Ungeuliza vitu vya maana. Kwa mfano kama chama chako kitatekeleza wito wa wanachama wake, wa kumtanguliza Zitto Kabwe mbele ya haki. Sio unakuja na kiherehere chako ukidhani kila mtu ni petty kama wewe. Hivi unajua Daniel Moi ndiye aliyemuinua William Ruto kisiasa na kimaisha? Soma historia kwanza kabla ya kujifanya mjuaji.
Mkapa he? Mbona naambiwa naye amekwenda?Rais mstaafu mzee Kikwete leo anahudhuria shughuli za utoaji heshima za mwisho kwa mwendazake Daniel Arap Moi katika viwanja vya Nyayo jijini Nairobi.
Kikwete alilakiwa na makamu Rais wa Kenya mh William Ruto alipowasili uwanjani hapo
Source Citizen tv