Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikuwekee link?Fake account
Fake account
So unataka tukubaliane na akili yako?Tafuta wa level yako u-argue nae please, utakuwa jiwe.
Wameshamkamata, sasa kawaulize kafanya nini?!Lissu kafanya nini mpaka sasa?
Tunasubiri hatua za kinidhamu zichukuliwe kwani imetosha sasaWe are deeply concerned by reports of election irregularities, politically motivated arrests, and violence during Tanzania’s elections last week. We urge authorities to fully address concerns of irregularities and will review allegations of the use of force against civilians.
NB: Kwa wale wasioelewa ni kuwa kwa utaratibu wa Marekani, huyu akishaongea kinachofuata ni hatua za kinidhamu. Yani kwa upande wa Marekani huyu akishazungumza basi jiandae kwa kuchukuliwa hatua maana mwisho wa matamko ni kwa secretary of state.
Pili Marekani akishachukua hatua wanafuata washirika wake wa Ulaya.
Marekani kwa siku za karibuni imechukua hatua kali kwa wavurugaji wa uchaguzi mataifa mbalimbali
Hakuna jipya.
Uozo umekuwepo siku zote.
Tatizo lenu mko wepesi wa kusahau.
Na mpaka kufika 2025, haya ya 2020 mtakuwa mshayasahau na mtashiriki tena uchaguzi chini ya mazingira haya haya ya leo, jana, juzi, na majuzi.
2015 Lowassa hakukubaliana na matokeo. Unabisha?
2010 Slaa hakukubaliana na matokeo. Unabisha?
Mwambie https://jamii.app/JFUserGuide him awababaishe nyinyi wanasaccos nahuko tweeter nimempa dogo pia wamarekani wenzake wanaendelea kumpa madogo ya nguvu.We are deeply concerned by reports of election irregularities, politically motivated arrests, and violence during Tanzania’s elections last week. We urge authorities to fully address concerns of irregularities and will review allegations of the use of force against civilians.
NB: Kwa wale wasioelewa ni kuwa kwa utaratibu wa Marekani, huyu akishaongea kinachofuata ni hatua za kinidhamu. Yani kwa upande wa Marekani huyu akishazungumza basi jiandae kwa kuchukuliwa hatua maana mwisho wa matamko ni kwa secretary of state.
Pili Marekani akishachukua hatua wanafuata washirika wake wa Ulaya.
Marekani kwa siku za karibuni imechukua hatua kali kwa wavurugaji wa uchaguzi mataifa mbalimbali
Ah wapi!Mkuu hizi chaguzi zote 3 zimetufundisha sidhani kama tutasahau.... Ila huu wa juzi hawajaiba.....wamebaka.
Vipi kuhusu Uganda mbona marekani hawasemi chochote? Chuma kipo madarakini tangu 1986 na bado kinagombea mbona wapo kimya?? Waache waongee wakichoka watalalaWe are deeply concerned by reports of election irregularities, politically motivated arrests, and violence during Tanzania’s elections last week. We urge authorities to fully address concerns of irregularities and will review allegations of the use of force against civilians.
NB: Kwa wale wasioelewa ni kuwa kwa utaratibu wa Marekani, huyu akishaongea kinachofuata ni hatua za kinidhamu. Yani kwa upande wa Marekani huyu akishazungumza basi jiandae kwa kuchukuliwa hatua maana mwisho wa matamko ni kwa secretary of state.
Pili Marekani akishachukua hatua wanafuata washirika wake wa Ulaya.
Marekani kwa siku za karibuni imechukua hatua kali kwa wavurugaji wa uchaguzi mataifa mbalimbali
Acheni kujifariji. TZ hawana masilahi nayo kama mnavyojifariji. Wenyewe wana uchaguzi wao ambao Rais wa Pompeo aliiba akisaidiwa na Russians.We are deeply concerned by reports of election irregularities, politically motivated arrests, and violence during Tanzania’s elections last week. We urge authorities to fully address concerns of irregularities and will review allegations of the use of force against civilians.
NB: Kwa wale wasioelewa ni kuwa kwa utaratibu wa Marekani, huyu akishaongea kinachofuata ni hatua za kinidhamu. Yani kwa upande wa Marekani huyu akishazungumza basi jiandae kwa kuchukuliwa hatua maana mwisho wa matamko ni kwa secretary of state.
Pili Marekani akishachukua hatua wanafuata washirika wake wa Ulaya.
Marekani kwa siku za karibuni imechukua hatua kali kwa wavurugaji wa uchaguzi mataifa mbalimbali