Uchaguzi 2020 Secretary Pompeo azungumzia kinachoendelea Tanzania kuhusu mambo ya Uchaguzi

Uchaguzi 2020 Secretary Pompeo azungumzia kinachoendelea Tanzania kuhusu mambo ya Uchaguzi

Wazungu huwa hawana interest na maslahi ya mtu mwingine zaidi ya maslahi yao.
Ukiona wanatafuta weakness yoyote kwenye utawala wa nchi flani ujue hiyo nchi wamebanwa maslahi yao.
Kama atatokea rais akabana maslahi yao hata awe nademokrasia vipi atakua rais mbaya.
Mie napigania haki lakini sidhani kama wazungu wako kwaajili ya sisi kupata haki. Wao wanamaslahi tu yakudumu na hawana rafiki kamwe.
Kama ikatokea rais mteule akaamua kuwapoza kwa kuwapa rasilimali zetu tutakaoumia ni sisi ila wazungu wataanza kumsifia na sisi tulivyo na ujinga tutaanza kuhisi nikweli ni raisi bora.

Ukiona rais wako anasifiwa na wazungu unapaswa kuwa na mashaka na mambo yanayoendelea nyuma ya pazia.

Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
Huyo mtukufu magufuli kuwabambikia kesi kesi uonevu unyanyasaji mateso manyanyaso kwa wapinzani hutumwa na nani? au ni kwa masilahi ya nani? Wachina waarabu wahindi au?
 
Mtu mweusi ni nyani tuu..hivi unazani huyoo kombeo akizungumza atakusaidia kitu? Huko marekani kwenyewe hakuna democracy..full stop
Kwani America wakitoa pesa kwa Tanzania huwa masikini wameisha kwao?
 
From Sweden foreign minister.
JamiiForums-1388909813.jpg
 
Vipi kuhusu Uganda mbona marekani hawasemi chochote? Chuma kipo madarakini tangu 1986 na bado kinagombea mbona wapo kimya?? Waache waongee wakichoka watalala
Uganda wana mapungufu yao lakini Uganda wapo vizuri kwa wafanyabiashara Benk kuu ya Uganda haidhulumu pesa za wafanyabiashara zinazotumwa toka nje , hawana usumbufu kwa wafanyabiashara kabsa hakuna kubambikiwa kesi za uhujumu uchumi wala utakatishaji fedha ili kumdhulumiwa pesa zako
 
Kauli za kuwapa matumaini wapinzani,

Sisi tunasonga ,

Kama Lisu na genge lake anafikiri kuna muujiza wa kumpeleka Ikulu atasubiri sana,

Mchezo ushakwisha , leo kaapishwa Mwinyi anafuata Magufuli.

Sisi tunaendelea kujenga Taifa letu, nyie endeleeni kulichafua mkidhani sifa.
Kujenga Taifa lipi? Nchi ina miaka 59 hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, pesa zote za viwanda za walipa kodi zinatumika kudidimiza demokrasia kuwabambikia kesi kesi uonevu unyanyasaji mwingi kwa wapinzani badala ya maendeleo
 
Kujenga Taifa lipi? Nchi ina miaka 59 hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, pesa zote za viwanda za walipa kodi zinatumika kudidimiza demokrasia kuwabambikia kesi kesi uonevu unyanyasaji mwingi kwa wapinzani badala ya maendeleo
Umesahau kuwa ni siku chache tu zilizopita mlikuwa na kauli yenu mbiu "maendeleo ya watu na sio vitu"

Meaning maendeleo yapo na yanafanyika.
 
Mbona hamuandamani nyie, yaani mmekalia kupiga makelele mtandaoni tu siku nzima?
Maandamano tarehe 2 lakini tarehe 1 kwa uoga wa Polisiccm wakaenda kumkamata mwenyekiti wa chadema huku wakitembeza vitisho vya kishamba kwa maandamano ya Amani , Polisiccm ndiyo wamevuruga maandamano kwa uoga wao
 
Haya hayasaidii
hongera sana mkuu kwa kulitambua hili.. yani hiyo nikuwafariji tu wala haipunguzi maumivu ya tar 28 mkuu.. kiufupi wao lazima waongee japo sisi haturuhusiwi kuwakosoa wao huko USA
 
Maandamano tarehe 2 lakini tarehe 1 kwa uoga wa Polisiccm wakaenda kumkamata mwenyekiti wa chadema huku wakitembeza vitisho vya kishamba kwa maandamano ya Amani , Polisiccm ndiyo wamevuruga maandamano kwa uoga wao
Yaani ndio mmebaki kujifanya majasiri mtandaoni, ha ha ha.
 
Umesahau kuwa ni siku chache tu zilizopita mlikuwa na kauli yenu mbiu "maendeleo ya watu na sio vitu"

Meaning maendeleo yapo na yanafanyika.
Flyover SGR bwawa la umeme kote kuna ufisadi mpaka kwenye ununuzi Ndege ujenzi wa chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge
 
Dunia inaanza kufunguka matendo yao ya aibu yanazidi kuanikwa, uchaguzi ule haukuwa huru na wa haki hilo halina ubishi, yeyote anayetetea uhuni ule kwasababu yoyote ile ana matatizo ya akili.

Walidhani yatapita hivi hivi, sasa dunia imeanza kuwanyooshea kidole.

The option is simple; fanya wanavyoelekeza, kama hutaki subiri hatma yako, najua sasa huko lumumba hapakaliki, hapalaliki, hata hivi vibuyu vyao humu jf vinatetemeka.
mkuu hiyo taarifa imepoza makovu ya tar 28?? Pole sana kwanini usikubAli tu mkuu, kwanini uumie jumla hivi?? RelAx buaNa!!
 
We are deeply concerned by reports of election irregularities, politically motivated arrests, and violence during Tanzania’s elections last week. We urge authorities to fully address concerns of irregularities and will review allegations of the use of force against civilians.


NB: Kwa wale wasioelewa ni kuwa kwa utaratibu wa Marekani, huyu akishaongea kinachofuata ni hatua za kinidhamu. Yani kwa upande wa Marekani huyu akishazungumza basi jiandae kwa kuchukuliwa hatua maana mwisho wa matamko ni kwa secretary of state.

Pili Marekani akishachukua hatua wanafuata washirika wake wa Ulaya.

Marekani kwa siku za karibuni imechukua hatua kali kwa wavurugaji wa uchaguzi mataifa mbalimbali

kwa kukurekebisha, Hakuna nchi inafanya maamuzi kwa nchi ingine, marekani na nchi zingine wako concerned kwa sababu raia wake wanaishi uku pia + wana ubalozi wao huku, If your waiting for America to take actions on matters related to tanzania then just die, we can kill as many citizens as needed and thats all, just like any other country walio kwenye war miaka nenda rudi, LET THIS SINK IN YOUR HEAD
 
Huyo Lowassa kama hakukubali matokeo alichukua hatua gani?

Again Lissu is a completely different story.

hahahaha daaah wana chadema bana! hakuna uchaguzi unarudiwa + wote wakina sugu, lema , mbowe ndo mwisho wa siasa zao za maji taka
 
Kama tungegomea uchaguzi uozo wao ungeanikwa vipi nje ya mipaka yetu?!

Ujifunze kufikiria nje ya box old man.
The best decision they did.
Wangesusia uchaguzi , CCM wangekuwa wanachekelea sasa, ila nadhani sasa wamepaniki [emoji23][emoji23][emoji23].
Ni mjinga tu anayeweza kukamata Kiongozi wa upinzani Ubalozini, ndio maana ameachiwa fasta. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utakuta kuna mtu kawapiga kibao wastuke usingizini.

Sent from my G-PADLITE using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom