Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,480
- 4,775
Sijui ni cheap popularity au ndo mind games tunachezewa. Yani hata hili ni la kuita press Kweli?
Haki ipi unayoizungumzia Chifu?Ingekuwa ni agizo amelitoa JK muislamu, shughuli yake ingekuwa kubwa, Angeitwa mdini na lile kanisa kubwa lingetoa tena Waraka!anyway duniani hakuna haki
Waislam tulilisemea sana hili mkaona tunawivu haya sasa
Magufuli njoo kuna MTU anatushawishi tucheze upatu
Santeeee! Futeni kabisa Na hizi dini za watu weupe uislam/ukristo,Na serikali ianzishe dini mpya itakayoaminiwa Na watanzania wote.
Nalog off
Waislam tulilisemea sana hili mkaona tunawivu haya sasa
Ingekuwa ni agizo amelitoa JK muislamu, shughuli yake ingekuwa kubwa, Angeitwa mdini na lile kanisa kubwa lingetoa tena Waraka!anyway duniani hakuna haki
Waislam tulilisemea sana hili mkaona tunawivu haya sasa
Ingekuwa ni agizo amelitoa JK muislamu, shughuli yake ingekuwa kubwa, Angeitwa mdini na lile kanisa kubwa lingetoa tena Waraka!anyway duniani hakuna haki
Sasa ajabu zimefutwa na Rais Mkristo.
Ila matangazo ya kupongezana magazetini ruksaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!