Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,006
- 13,281
Mnaandika lakini.
Sefue sahizi anacheza kama Zidane hivi!!
Kweli utamu wa pipi mate!!
Sefue sahizi anacheza kama Zidane hivi!!
Kweli utamu wa pipi mate!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo hayo yafanyike mpaka kwenye kufuturisha.
Afadhali hii issue imeanza na Xmas ingeanza na kufuturisha pasingetosha!
Wateja wa bar na guest house wameanza kupungua kwa kasi sana siku hizi na adabu imeanza kuja kwa kazi sana tutaheshimiana tu
Wizara na manispaa na viunga vingine vya serikali kumbe vinatumiaga pesa za umma kufuturisha? Vipi na card za idd
Ni utashi wa mtu...Kuna wengine wanaweka nyimbo za Kaswida maofisini...
Binafsi sioni ajabu/tatizo mtu kusikiliza nyimbo za Dini ofisini...Tatizo ni kutumia ofisi za serikali/nyenzo za serikali katika masuala ya kidini/Kuhubiri Dini maofisini
Ni vizuri kupongeza kila jema linapofanyika... Kupunguza matumizi ya serikali ni kupunguza pia huu upuuzi unaofanyika maofisini. Hilo shimo unalolisema ndio wanakoenda kukuziba pia.. Huwezi kufanya mambo yote kwa usiku mmoja tu.