Sefue: Marufuku kutengeneza kadi za Christmas/Mwaka Mpya kwa gharama ya Serikali

Sefue: Marufuku kutengeneza kadi za Christmas/Mwaka Mpya kwa gharama ya Serikali

Mlioko maofisini kama hukunuua gari wala kujenga bangaloo nyakati za JK basi usitegemee kujenga tena kwenye miaka 10 hii inayofuata.. Anzeni tu kukopa nyumba za NHC..
 
Hatutakua na tatizo iwapo pia mkwara utatolewa kuhusu kufuturisha.

KakaJambazi, inaonekana umeguswa sana na hili. Ni ajabu kuona kwamba kumbe kodi za wananchi tunaokosa madawa hospitalini zilikuwa zikitumika kununulia kadi na miti ya krismas!

Ni wakati wa kumuunga mkono Rais kwa kila hatua na maamuzi ayafanyayo ambayo yanatija kwa jamii na taifa. Mwenye kutaka kadi agharamie na si kuchota mapesa ya serikali.
 
Last edited by a moderator:
Usisahau na futari za kipuuzi pale Magogoni wanakusanyana kuteketeza kodi kwa vyakula lundo nimefurahi kupigwa marufuku ujinga wa aina hii,kadi bandika kwenu na futari kale mama ako bravo JPM.

Kama ilivyo la kadi pia hili la kufuturisha kwenye ofisi za umma lilikuwa linatia hadi kichefuchefu. Mambo yote yenye "vimelea" vya udini kwenye ofisi za umma tupa kule. Marufuku magari ya serikali kuonekana kwenye nyumba za ibada unless kuna msiba unaohusu ofisi kama mfanyakazi kufariki au kufiwa na sio siku zenu za ibada.

Serikali haina dini, wanaotaka kwenda kuabudu waende kwa gharama zao na sio kutegemea rasilimali za Serikali kukamilisha ibada zako. Awamu hii ijitahidi kulifanya taifa hili kuwa secular kweli kweli ili kuondoa choko choko za kijinga kama nani achinje na nani asifanye hivyo.
 
Yewooooomi sasa mjini hakutakalika na layout ya card nimeshaandaa. Bora nikalime na kufunga
 
Sasa, tangazo linasema kwa mwaka huu. Hsta ishy ya sherehe za uhuru pia walisema ni kwa mwaka huu! Ina maana mwakani haya mambo yataendelea km kawaida?

ni kwasababu watz wengi ni matahira hawawezi kutafautisha unga na choka,hata kujiuliza ni mwaka huu tu hakuna ni kushabikia vitu ambavyo haviusiani hata na matatizo ya nchi yetu,yani wanamawenge inshort na ndo maana wajanja wale wajinga wakifie mbele na mi naona na iwe hivyo siku wakifufuka wataelewa huku wameshachelewa
 
naomba kuuliza: hivi hizo kadi za krismass huwa zinatengenezwa kwa ajili ya nani? je, ni vigogo huwa wanaziandika kwa wapenzi wao au zinaandikwa kwa nani na kwa manufaa gani? ama kweli nchi hii ni shamba la bibi.
 
Ngoja bunge lianze UKAWA wamkumbushe JPM kuhusu hela za kampeni sisiem zilivyokausha akiba
 
Unaweza kuta bajeti yake inasoma mamilioni ya shilingi...kama ndivyo ni vyema afutilie mbali...
 
Mkuu nakuunga mkono, haya yangefanyika wakati wa JK wimbo mkuu hapa ingekuwa JK mdini, JK mpinga kristo sasa amefanya mwenzao kimyaaa! KILA TEUZI ALOKUWA AKIFANYA JK ILIKUWA INAKUWA DISSCUSSED KWA MTAZAMO WA KIDINI. Wakristo waafrika ni wanafiki sana. Ndo maan nawapongeza wazungu na wayahudi hawana ujinga huu, zigo lote wamewaachia waafrika wanahangaika nalo

Kwa taarifa yako mitazamo ya kidini imeshamiri sana wakati wa JK na wala sio awamu hii mpya ya Magufuli. Kuna mbegu mbaya imepandikizwa wakati wa utawala wa JK na ccm, kama mambo ya ukanda, udini nk. ili kuficha udhaifu wa uongozi wake. Sasa hivi hakuna tena mtu mwenye mitazamo ya kidini maana tunaona Magufuli wangalau anafanya(tumbua jipu) bila kuangalia huo upumbavu kwani sio dhaifu. Hizi hatua anazochukua haziangalii dini, sura wala mwanaccm mwenzake ndio maana huoni watu wakikimbilia kwenye mitazamo ya kidini kwani hafanyi kwa hila. Mimi hapa ni mkristu na simfii hata kidogo Magufuli fuatilia post zangu, japo nakubali hatua anazochukua kwani naona kabisa haingii kwenye udhaifu wa mtangulizi wake. Nadhani sasa hivi unaanza kuona wale wadini wakubwa wakikosa hoja akina Faizafox, ritz, nk kwani hizi hatua zinakula kwa wote bila kujali ni muslamu, mkristu, mpagani, mwanaccm, cdm au raia wa kawaida bali kama hufuati utaratibu imekula kwako. Usishangae hao waliokuwa wanajinasibisha na teuzi za kidini wakaanza kushindwa speed ya Magufuli maana kichaka cha dini hakiwezi kumkinga tena mzembe na mla rushwa mbele yake. Mimi kwa ushauri wangu huyo Magufuli akiweza ajaze hata waislamu maana hatutampima kwa Qoran bali utendaje wake.
 
Haki ipi unayoizungumzia Chifu?

Kama ni Kadi za Krismas na Mwaka mpya zipo tele madukani...Watu wakanunue kwa hela zao..Sio serikali inaingia gharama kuzitengeneza...

Lengo ni kupunguza matumizi yasiyo ya lazima na hela zikatumika kwa mambo ya msingi na si udini kama unavyodhani....Mwaka mpya hauna Dini...Serikali haina Dini...

Ungejua gharama zinazolipwa lwa wazabuni kutengeneza hizi kadi usingekuja na malalamiko yako haya...Watu wanapiga hela Chifu...Wanapiga hela nyingi sana kwa kichapisha hizi kadi...
Mkuu hujamuelewa uliyemquote
 
HAZINA IMEKAUKA hizi ni hatua sahihi kuokoa jahazi
 
si hakuna pesa hazina ya kuratibu ,ni jadi ya watumishi wa serikali kufanya hivyo ifikapo christmas,issue ni kwamba nchi hii inahela nyingi sana ambazo mambo haya ya kadi ni vitu vidogo sana kama kulinganisha 500 na 2000000000 gharama ya hivo vikadi,hapa ni propaganda sehemu zenye pesa wala, wapo kimya sana,na kwasababu maoni ni ushabiki bila tafakari ndo kuandaa shimo kubwa halafu vipofu wanaambiwa kuna shimo njia hiyo wanajibu "tumependa tupite njia hii hilo shimo sisi hatulioni"


Ni vizuri kupongeza kila jema linapofanyika... Kupunguza matumizi ya serikali ni kupunguza pia huu upuuzi unaofanyika maofisini. Hilo shimo unalolisema ndio wanakoenda kukuziba pia.. Huwezi kufanya mambo yote kwa usiku mmoja tu.
 
Wakristo sio watu sensitive kukimbilia kwenye dini,kifupi sio watu wa Kulialia eti oooh tumeonewa ,mala ooo tunabaguliwa hiyo ni tabia ya akina naniliu
***** zako nyie si kila siku mnalia na dau wa nssf au mnadhani tumesahau?
 
Kwa taarifa yako mitazamo ya kidini imeshamiri sana wakati wa JK na wala sio awamu hii mpya ya Magufuli. Kuna mbegu mbaya imepandikizwa wakati wa utawala wa JK na ccm, kama mambo ya ukanda, udini nk. ili kuficha udhaifu wa uongozi wake. Sasa hivi hakuna tena mtu mwenye mitazamo ya kidini maana tunaona Magufuli wangalau anafanya(tumbua jipu) bila kuangalia huo upumbavu kwani sio dhaifu. Hizi hatua anazochukua haziangalii dini, sura wala mwanaccm mwenzake ndio maana huoni watu wakikimbilia kwenye mitazamo ya kidini kwani hafanyi kwa hila. Mimi hapa ni mkristu na simfii hata kidogo Magufuli fuatilia post zangu, japo nakubali hatua anazochukua kwani naona kabisa haingii kwenye udhaifu wa mtangulizi wake. Nadhani sasa hivi unaanza kuona wale wadini wakubwa wakikosa hoja akina Faizafox, ritz, nk kwani hizi hatua zinakula kwa wote bila kujali ni muslamu, mkristu, mpagani, mwanaccm, cdm au raia wa kawaida bali kama hufuati utaratibu imekula kwako. Usishangae hao waliokuwa wanajinasibisha na teuzi za kidini wakaanza kushindwa speed ya Magufuli maana kichaka cha dini hakiwezi kumkinga tena mzembe na mla rushwa mbele yake. Mimi kwa ushauri wangu huyo Magufuli akiweza ajaze hata waislamu maana hatutampima kwa Qoran bali utendaje wake.
Tatizo la makafir wanaona wadini ni waislam tu, umemsahau Ishmael na mwenzake yahoo? Mnavyoilalamikia nssf mnazani hatuoni?
 
Back
Top Bottom