Sefue: Marufuku kutengeneza kadi za Christmas/Mwaka Mpya kwa gharama ya Serikali

Sefue: Marufuku kutengeneza kadi za Christmas/Mwaka Mpya kwa gharama ya Serikali

Hongera sana JPM, naamini pia matumizi ya magari V8 na mengine yenye matumizi makubwa ya mafuta utayapiga marufuku,
 
Wazee wa 10% wanalo safari hii, mirija yote inakatwa, tutaheshimiana tu hakuna namna
 
Sijui ni cheap popularity au ndo mind games tunachezewa. Yani hata hili ni la kuita press Kweli?

Unaona kabisa ni waraka umeandikwa na kurugenzi ya ikulu kwa vyombo vya habari wewe unasema kaita vyombo vya habari🙄
 
Unaona kabisa ni waraka umeandikwa na kurugenzi ya ikulu kwa vyombo vya habari wewe unasema kaita vyombo vya habari🙄

hajui kwamba hata press conference zinatumia ela nyingi press conference apeleke kwa wasanii Hapa kazi tu
 
HIYO SASA SIFAAAAAAAAAAAAAA,Semeni ukweli mmekuta chochote hazina Vasco Dagama amekomba zote nini? mmezuia safari kwa akina nani tu Mbona nasikia Vasco Dagama wenu yupo Adiss Ababa au mnatoa shukrani kwake kwa kuwaingiza madarakani.Kila kitu kina mwisho.
 
HIYO SASA SIFAAAAAAAAAAAAAA,Semeni ukweli mmekuta chochote hazina Vasco Dagama amekomba zote nini? mmezuia safari kwa akina nani tu Mbona nasikia Vasco Dagama wenu yupo Adiss Ababa au mnatoa shukrani kwake kwa kuwaingiza madarakani.Kila kitu kina mwisho.

Mashirika ya umma na taasisi za serikali nazo zinategemea hazina!? Au hujui mfuko wa hazina unahusika kwa nani? Hizi kelele kuwa hazina hakuna kitu wakati kila siku tunalipa kodi sijui tuwaeleweje...ni elimu ndogo ama nini!?
 
Kalenda za mashirika ya umma, nazo zifutwe..T-shirt za mashirika nazo zifutwe. Maana huo ni ulaji tu....

Tshirt zina umuhimu wake mkuu llabda watafute njia mbadala za kupata tshirt hizo kwa kalenda nakuunga mkono
 
kiukweli tangazo hili limechelewa, kwani tenda zimeshatolewa muda mrefu toka pale ulipoanza kupiga marufuku sherehe za uhuru, hii kazi ilifanyika fasta kwani tulijua utakuja na huku
attachment.php
 
Suppose press release hii ingetolewa kipindi cha JK? hali ingekuwaje!

Isingewezekana kwa hiyo hakuna sababu ya kupoteza muda kujadili.

JK alikuwa ana exposure zaidi. Vitu kama kadi, billboards etc ni marketing strategy. Sioni kwa nini zipigwe marufuku waziwazi.I hope hii halihusu mashirika ya umma.
 
Kama Hazina haina kitu, abadilishe aseme; Ni marufuku kukopa hizo fedha na atakaye kubali kukopesha asisumbue kuzidai haraka. Tutamuelewa tuu. Huwezi piga marufuku kula nyama ati kwa sababu tu mshahara uliunywea baa. Mshahara ukitoka nyama zitaliwa tu. Wapinzani walikuwa wanalilia nini ka si haya mambo mnayo fanya? Si mliwabeza wapinzani? Fanyeni haya na zaidi tutawakubali tuu. Mlikuwa mmefanya haya, si mngejitokeza na kuonesha umma kuwa mlifanya nini??
 
Katibu Mkuu Kiongozi , OMBENI SEFUE amepiga marufuku uchapishaji wa kadi za Krismasi na Mwaka Mpya kwa gharama za Serikali katika taasisi na idara za serikali.
Kadi hizo zilitumika kutakiana heri ya Krismasi na mwaka mpya kwa viongozi, taasisi na Idara za Serikali. SEFUE amesema atakaeona kuna umuhimu wa kuchapisha kadi hizo, basi achapishe kwa gharama zake mwenyewe.
Katibu Mkuu Kiongozi ameelekeza pesa za serikali zilizotengwa kwa ajili hiyo zitumike kupunguza madeni ambayo taasisi na Idara za serikali zinadaiwa au zifanye kazi nyingine.

Wakiristo mwaka huu wataisoma Namba mwaka!waislam hawajazoea kupewa!
 
Back
Top Bottom