Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo hayo yafanyike mpaka kwenye kufuturisha.
Sijui ni cheap popularity au ndo mind games tunachezewa. Yani hata hili ni la kuita press Kweli?
Unaona kabisa ni waraka umeandikwa na kurugenzi ya ikulu kwa vyombo vya habari wewe unasema kaita vyombo vya habari🙄
HIYO SASA SIFAAAAAAAAAAAAAA,Semeni ukweli mmekuta chochote hazina Vasco Dagama amekomba zote nini? mmezuia safari kwa akina nani tu Mbona nasikia Vasco Dagama wenu yupo Adiss Ababa au mnatoa shukrani kwake kwa kuwaingiza madarakani.Kila kitu kina mwisho.
tunatafakari kwanza
Santeeee! Futeni kabisa Na hizi dini za watu weupe uislam/ukristo,Na serikali ianzishe dini mpya itakayoaminiwa Na watanzania wote.
Nalog off
Kalenda za mashirika ya umma, nazo zifutwe..T-shirt za mashirika nazo zifutwe. Maana huo ni ulaji tu....
Suppose press release hii ingetolewa kipindi cha JK? hali ingekuwaje!
Katibu Mkuu Kiongozi , OMBENI SEFUE amepiga marufuku uchapishaji wa kadi za Krismasi na Mwaka Mpya kwa gharama za Serikali katika taasisi na idara za serikali.
Kadi hizo zilitumika kutakiana heri ya Krismasi na mwaka mpya kwa viongozi, taasisi na Idara za Serikali. SEFUE amesema atakaeona kuna umuhimu wa kuchapisha kadi hizo, basi achapishe kwa gharama zake mwenyewe.
Katibu Mkuu Kiongozi ameelekeza pesa za serikali zilizotengwa kwa ajili hiyo zitumike kupunguza madeni ambayo taasisi na Idara za serikali zinadaiwa au zifanye kazi nyingine.