Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Huo ndio mpango mzima hayo makabila aliyotaja binafsi siwez kuoa ..Wanawake wake hawavutiiKila mtu aoe kabila lake au la Kanda yake ndio wanaendana mizimu nje ya hapo ni migogoro isiyoisha ndoani sababu mizimu inagombana matokeo ni katika ulimwengu wa mwili.
Mkuu hao unaosemea wewe labda pwani ya DaaaaPwani ipi mkuu,,
hawa dakika mbili mbele
Kukuachia nyumba na mtoto kichanga haoni kazi
Still tabia ni malezi alivyo mama ndivyo alivyo Binti.Huo ndio mpango mzima hayo makabila aliyotaja binafsi siwez kuoa ..Wanawake wake hawavutii
Jichanganye!!Nenda Kwa kagame ukajitwalie mwali saaafi kbs mutoto murefu rangi Maji ya nn sijui black nn cjui
Kbsaamtu anajengwa na jamii inayomzunguka!!
Tatizo la Zanzibar wanawake wachache ndiyo maana binti anaweza kuondoka kwenda kuishi kwao bila sababu ya msingi, lakini Zanzibar ingekuwa inawanake wengi kama Dar au Bara mke asingeweza kusubutu kuondoka kwake akaenda kwao kukaa tu, tena kwao ni karibu siyo mbali kama Dar to Mwanza, kwao ni karibu tu hata kilomita 10 haizidi, Yani hao wanawake wa pwani bora waolewe na wanaume wao tu, wakija kuolewa na wanaume wa Bara wataletewa watoto wa nje wawalee, Mwanaume aliyekamili hawezi kuvumilia tabia ya mke wake ya kwenda kwao kwa mwezi anaenda kukaa wiki tatu na wiki moja kwa mume.Ukanda wa pwani sio tatizo ,tena nenda kweny sikukuu watu wanaenda nyumba moja wanakula pamoja au mwezi wa Ramadhan..
Pia pwani Mzee anafanya ufuatiliaji wa mwanae ndio maana kuna kauli ukifika haswa Tanga , Zanzibar wanawake wanasema "sikufukuzwa kwetu" ina maan yupo free kwenda mda wowote sharti ni kuomba ruhusu....
Ndio maana kule wanashangaa wachaga kurudi December tu[emoji28][emoji28], basi Tanga kutwa anaenda kwao au mzazi anakuja kuangalia mwanae.
Kabila lipi mkuu linaishi mfumo dume nikaoe ukoOa kutoka kabila linaloishi mfumo dume. Tena ule pure kabisa.
Kama hana laana na mikosi baada ya vipimo oa tuOa mmeru
Ova
Mwanaume dhaifu lazima aogope makabila ya kaskaziniKuna makabila ambayo ukiowa huko hutakaa ujute kwene maisha yako!
Makabila bora kabisa kupata mke ni:
1. Wabena
Hawa watu ni wavumilivu na wanajali familia. Si watu wa tamaa tamaa au wazinzi wakitulia wametulia
2. Wakinga
Hawa ni watu wapambanaji sana pamoja na kua wana focus kwenye hela sana ila bado ni watu wa kujali familia na si rahisi kukuta mke kamuacha mumewe kisa uchumi
3. Waha
Hili kabila wanaongoza kwa kuchapa kazi pia wake zao ni wavumilivu. Mwanamke wa kiha hawezi kukuacha kisa mnapitia wakat mgumu kiuchumi pia wanajua sana biashara
4. Wahehe
Hawa nao wanawake wao wako poa sana shida ni hasira ya kujinyonga ingawa hii ipo sana kwa wanaume. Ila ukipata mke wa kihehe umeopoa
5. Wakurya
Ukipata mke wa kikurya toka ukuryani kabisa na ukawa unampa shoo za kibabe huwezi mkuta anahangaika. Changamoto kama kitandani ni shida hamuwezi elewana
6. Wasukuma
Hawa pia ukipata mke wa ndani huko wanatulia ila wakiwa mjini utaelewa.
KIMBEMBE OA
Pwani, Tanga, Lindi au Kaskazini
Haya hii ni kutokana na Experience yangu. Kama kuna watu wameoa haya makabila na wanadumu usisite kuweka ushahidi.
Kama kuna mengine au maoni tofauti pia karibuni.
View attachment 2883317