Sehemu ambayo ukipata mke hutokaa ujutie

Sehemu ambayo ukipata mke hutokaa ujutie

5. Wakurya
Ukipata mke wa kikurya toka ukuryani kabisa na ukawa unampa shoo za kibabe huwezi mkuta anahangaika. Changamoto kama kitandani ni shida hamuwezi elewana
Ila asiwe amepitishiwa razorblade
 
Ukioa muha jua umeoa ukoo mzima!, Ni mwendo wa kukivusha kijiji kizima kuja Daslamu kwa dada yao. Pia wana mdomo sana na wanapenda kujibizana na waume zao.
 
Kwenye upande wa uchapakazi na biashara hao wanawake wa kibena na kikinga nawaaaminia sana..huwa hawana non-sense pia wana heshima sana kwa waume zao. Mara nyingi naona wakioana wao kwa wao kuliko kuona wakioana makabila tofauti. Kizingiti za lugha labda inaweza kuwa tatizo.
 
Kuna makabila ambayo ukiowa huko hutakaa ujute kwene maisha yako!

Makabila bora kabisa kupata mke ni:

1. Wabena
Hawa watu ni wavumilivu na wanajali familia. Si watu wa tamaa tamaa au wazinzi wakitulia wametulia

2. Wakinga
Hawa ni watu wapambanaji sana pamoja na kua wana focus kwenye hela sana ila bado ni watu wa kujali familia na si rahisi kukuta mke kamuacha mumewe kisa uchumi

3. Waha
Hili kabila wanaongoza kwa kuchapa kazi pia wake zao ni wavumilivu. Mwanamke wa kiha hawezi kukuacha kisa mnapitia wakat mgumu kiuchumi pia wanajua sana biashara

4. Wahehe
Hawa nao wanawake wao wako poa sana shida ni hasira ya kujinyonga ingawa hii ipo sana kwa wanaume. Ila ukipata mke wa kihehe umeopoa

5. Wakurya
Ukipata mke wa kikurya toka ukuryani kabisa na ukawa unampa shoo za kibabe huwezi mkuta anahangaika. Changamoto kama kitandani ni shida hamuwezi elewana

6. Wasukuma
Hawa pia ukipata mke wa ndani huko wanatulia ila wakiwa mjini utaelewa.

KIMBEMBE OA
Pwani, Tanga, Lindi au Kaskazini

Haya hii ni kutokana na Experience yangu. Kama kuna watu wameoa haya makabila na wanadumu usisite kuweka ushahidi.

Kama kuna mengine au maoni tofauti pia karibuni.

View attachment 2883317
7. Wachaga Umetusahau jamani mweeeeehhhhh😅😂😅
 
Namba 5 ukitaka kwenda nao sawa uwe primitive.
Ukiwa diplomatic,humble sijui mlokole mstaarabu don't try this.
Wanataka mwanaume ukiwa we ni mvulana pita kushoto.
Nilikuwa nataka kuandika haya. Mimi nilishindwa. Mwanamke hayupo submissive kabisa
 
Mke ni bahari usiyojua kina chake, Ukiamua kujitosa jitose tu.

Kipindi hiki ambacho Jamii imekuwa na Muingiliano mkubwa, Athari za Utandawazi na Hata Dini mpya za kila siku ni Vigumu kuamini usalama upo kwa Wanawake wa Sehemu fulani pekee.
 
Back
Top Bottom