Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Be mwagito huko kwenu pisi ni za ajabu.we nung'a Mdaho, be!! Ve utige kuli na fimalaya uho, gende na Vipisi fyenyu Ugho!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Be mwagito huko kwenu pisi ni za ajabu.we nung'a Mdaho, be!! Ve utige kuli na fimalaya uho, gende na Vipisi fyenyu Ugho!!
...Chupuchupu nioe Mndali ,biñti Mlokole! ..why Wanyakyusa wa Kyela na sio.wa Tukuyu!
Mkuu na me kuna mndali yupo kwenye mingo, wapoje hawa tabia zao?
Umesahau nilikoolea.
Wapogoro nambari moja
Ila asiwe amepitishiwa razorblade5. Wakurya
Ukipata mke wa kikurya toka ukuryani kabisa na ukawa unampa shoo za kibabe huwezi mkuta anahangaika. Changamoto kama kitandani ni shida hamuwezi elewana
Unamchokoza yule mzungu mstaafu msemaji wa timu kongwe nchiniKIMBEMBE OA
Pwani, Tanga, Lindi au Kaskazini
Sahihi kabisa.Usioe kabila oa mtu mwenyewe na kila mtu anatabia zake
7. Wachaga Umetusahau jamani mweeeeehhhhh😅😂😅Kuna makabila ambayo ukiowa huko hutakaa ujute kwene maisha yako!
Makabila bora kabisa kupata mke ni:
1. Wabena
Hawa watu ni wavumilivu na wanajali familia. Si watu wa tamaa tamaa au wazinzi wakitulia wametulia
2. Wakinga
Hawa ni watu wapambanaji sana pamoja na kua wana focus kwenye hela sana ila bado ni watu wa kujali familia na si rahisi kukuta mke kamuacha mumewe kisa uchumi
3. Waha
Hili kabila wanaongoza kwa kuchapa kazi pia wake zao ni wavumilivu. Mwanamke wa kiha hawezi kukuacha kisa mnapitia wakat mgumu kiuchumi pia wanajua sana biashara
4. Wahehe
Hawa nao wanawake wao wako poa sana shida ni hasira ya kujinyonga ingawa hii ipo sana kwa wanaume. Ila ukipata mke wa kihehe umeopoa
5. Wakurya
Ukipata mke wa kikurya toka ukuryani kabisa na ukawa unampa shoo za kibabe huwezi mkuta anahangaika. Changamoto kama kitandani ni shida hamuwezi elewana
6. Wasukuma
Hawa pia ukipata mke wa ndani huko wanatulia ila wakiwa mjini utaelewa.
KIMBEMBE OA
Pwani, Tanga, Lindi au Kaskazini
Haya hii ni kutokana na Experience yangu. Kama kuna watu wameoa haya makabila na wanadumu usisite kuweka ushahidi.
Kama kuna mengine au maoni tofauti pia karibuni.
View attachment 2883317
Tatizo la wanawake wa kichaga ni ubinafsi. Mali za mwanaume anazipigia hesabu kuwa ni zake yeye.7. Wachaga Umetusahau jamani mweeeeehhhhh😅😂😅
Nilikuwa nataka kuandika haya. Mimi nilishindwa. Mwanamke hayupo submissive kabisaNamba 5 ukitaka kwenda nao sawa uwe primitive.
Ukiwa diplomatic,humble sijui mlokole mstaarabu don't try this.
Wanataka mwanaume ukiwa we ni mvulana pita kushoto.
Hivi wanaua wanaume ni wachaga wa wapi. Marangu, Machame au Rombo?7. Wachaga Umetusahau jamani mweeeeehhhhh😅😂😅