Hamna kitu mle maaana bado kuna kitu ni lazima wafanye kutoka West ili apate app zao
M
Zee baba mbona unakuwa mbishi Huwawei walishabigwa ban kutumia android system saiz wanatumia system yao Ina os harmony imezinduliwa mwaka Jana July mpaka sasa Ina users 200million😄