stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 3,776
- 5,786
Sasa kama wanasali mara 5 what make them special, nani anataka kujua wanacho sali, hadi wawekewe sehemu ya kusali kwenye maeneo ya ummaIla tukiwa wakweli ni waislamu peke yake wanasali mara tano kwa siku,sasa tusitake baadhi ya mambo yawe sawa kwakuwa tu waislamu wanatengewa sehemu ya ibada basi ikawa shida
Lau kama wasio waislamu wangekuwa nao wanaswali swala tano hapo hakika ingekuwa sio haki
Hata injinia alipomjibu Makonda alimwambia duniani kote waislamu ndio hutengewa sehemu za ibada,ila Makonda alijibu kisiasa tu kuwafurahisha watu angali ukwel anujua kuwa wakristo hawana hizo ibada
Uislam ni ugonjwa wa akili