Sehemu yoyote ambayo unaweza kufukuzwa muda wowote usiwekeze nguvu nyingi hapo. Sehemu hizo ni kama ifuatavyo

Sehemu yoyote ambayo unaweza kufukuzwa muda wowote usiwekeze nguvu nyingi hapo. Sehemu hizo ni kama ifuatavyo

SEHEMU YOYOTE ÀMBAYO UNAWEZA KUFUKUZWA MUDA WOWOTE, USIWEKEZE ÑGUVU NYINGI HAPO. SEHEMU HIZÔ NI KAMA IFUATAVYO;​


Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Kama Kichwa kinavyoeleza.
Sehemu yoyote na Mahali popote àmbapo Upo lakini unaweza kufukuzwa Muda wowote basi kiushauri sehemu hiyo usiweke Ñguvu nyingi Hapo, usiwekeze Ñguvu nyingi Hapo. usije ukaumia.

Tumia Ñguvu nyingi kadiri uwezavyo, wekeza Ñguvu nyingi kadiri ya ulivyojaliwa Mahali àmbapo hakuna wakukufukuza, yàani wewe ndiye Mmiliki wa Eneo Hilo.

Sehemu yoyote àmbayo ukigombana na wakubwa WA eneo Hilo wanauwezo wa kukufukuza, Eneo Hilo usitumie Ñguvu kûbwa na usiwe na matarajio nayo Makubwa. Ipo Siku utaumia.

Maeneo hayo ni Kama Ifuatavyo;
1. Vyama Vya Siasa.
Ikiwa unajua Kabisa wewe sio Mmiliki wa Chama hicho au Sheria haikupi mamlaka ya KUMILIKI Chama hicho kwa umilele yaani mpaka mwisho wa uhai wako. Usitie Ñguvu nyingi Sana. Usijitese kivile.

2. Madhehebu ya Dini.
Upo dhehebu Fulani, usitumie Ñguvu zako zote kujenga dhehebu àmbalo wewe sio Mmiliki Wala muanzilishi WA dhehebu Hilo.
Unaweza ukafukuzwa Muda wowote.

Kwa Sasa mambo yanaweza kuonekana Sawa lakini hiyo haimaanishi kwamba yataenda Sawa Siku zote.
Jambo ambalo Mmiliki wake NI Mwingine na sio wewe linaweza kukubadilikia Muda wowote.

Mfano, Madhehebu ya Dini yanaweza kuanzisha utaratibu mpya kinyume na misingi ya zamani na hutokuwa na lolote la kufanya. Kwa mfano Dhehebu Fulani linaweza kusema Ushoga siô Kosa na watafungisha Ndoa za mashoga. Àmbaye hataki afungashe virago aondoke.

Hutokuwa na lakufanya, kitakachokuuma zaidi ni Ñguvu nyingi ulizotumia na kuamini katika Jambo ambalo wewe sio Mmiliki.

3. Kampuni au Taasisi
Kampuni au Taasisi àmbayo wewe sio Mmiliki àmbayo Muda wowote unaweza ukafukuzwa usitumie Ñguvu nyingi kuwekeza Hapo. Fuata job descriptions ya Kazi yako, usizidishe Wala kuwa n kiherehere cha kujitoa kupita kiasi. Ili Siku ukifukuzwa au kukosewa heshima usije ukaumia na kulaumu.

4. Mtoto wa Kambo
Usije ukatumia Ñguvu nyingi kuwekeza Kwa Mtoto ambaye unajua Kabisa sio Wako Kwa kule kujidanganya kuwa ni Sawa na wako.
Huyo siô Mtoto wako na hauna mamlaka naye yoyote Kwa Sheria zozote labda Sheria za kitapeli.

Unaweza ukawekeza Kwa kiwango cha Kati ambacho hakikuumizi lakini siô kuwekeza Kwa kiwango ambacho unadhani NI kitû chako yàani Kutumia Ñguvu zako zote. Utaumia Hakika.

5. Dunia
Usitumie Ñguvu kûbwa kiasi cha kujiumiza kuwekeza Hapa Duniani Wakati unajua hata ufanyaje Ipo Siku yôte unayoyafanya na uliyonayo utayaacha na utakufa.
Fanya Kwa kiasi,

Acha nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Kwa hiyo dunia tuhame?
 
Mwandishi yupo sahihi Senma point namba tano imewagusa Sana kwakuwa watu wengi mmefanya attachment na maisha ya duniani.
Kabsa unajua mtu yeyot mweny kureason, ama critical thinker hii kitu hawez kukubaliana nayo , mtu yeyote mwenye uwezo wa kufikir na kureason point 5 👉big no,. Aje na evidence compatible to the community
 
Mwandishi yupo sahihi Senma point namba tano imewagusa Sana kwakuwa watu wengi mmefanya attachment na maisha ya duniani.
Mwandsh hayupo sahihi 100%, mtu yeyot mweny uwezo wa kureason ktu na kukifanyia judgement hawez kukubaliana nacho coz hyo point 5, n weak point, na kisaikolojia ni mbaya sana hii
 
Kabsa unajua mtu yeyot mweny kureason, ama critical thinker hii kitu hawez kukubaliana nayo , mtu yeyote mwenye uwezo wa kufikir na kureason point 5 👉big no,. Aje na evidence compatible to the community


Ukiwa logic lazima ujue kuna siku utakufa is kidding to bealive ur life is immortal.

So the guy Mtibeli is correct.

Then kisaikolojia moja ya therapeutic kwa MTU ambaye yupo stressful na MAISHA huwa tunamkubusha kuwa lazima aweke kiasi maana nothing permanent in this world.
 
Ukiwa logic lazima ujue kuna siku utakufa is kidding to bealive ur life is immortal.

So the guy Mtibeli is correct.
Of course n logic ndogo tu kwel kufa tu ta kufa but unazan ukiweka fikira zako kuw mda wowote utakufa utafanya maendeleo nchin especially ur personal development will u archive ur goals if u stick to point 5? Hii inamaanisha lazma utazembea kufany kaz ukiamin mda wowot utatowek fallacy hiz n mbaya mno , Lets. Think out of the box, Hiz notion zna distort jamii kabsa
 
Of course n logic ndogo tu kwel kufa tu ta kufa but unazan ukiweka fikira zako kuw mda wowote utakufa utafanya maendeleo nchin especially ur personal development will u archive ur goals if u stick to point 5? Hii inamaanisha lazma utazembea kufany kaz ukiamin mda wowot utatowek fallacy hiz n mbaya mno , Lets. Think out of the box, Hiz notion zna distort jamii kabsa


Mambo na MTU

Mtoa mada Mimi nimemuelewa kuhusu point yake hiyo no 5.

Kwamba tuendeshe mambo Ila mambo yasituendeshe.

Watu makini huwa hawaogopi kifo isipokuwa huwa wanaangalia nini watiachia dunia .

Ila nakubaliana na wewe kikubwa usiogope kifo maana nothing last in this entity.

Kikubwa wekeza nguvu na maarifa kuangalia baada ya kuondoka utakumbukwa kwa jambo gani
 
Mwandsh hayupo sahihi 100%
kifo

tukio au tendo la kufikia mwisho wa uhai; uangamiaji

mtu yeyot mweny uwezo wa kureason ktu na kukifanyia judgement hawez kukubaliana nacho coz hyo point 5, n weak point, na kisaikolojia ni mbaya sana hii
Wewe ndiyo uwezo wa kufikiri umekuwa mdogo. Duniani tunapita, unatakiwa ufanye uwekezaji na hujakatazwa kufanya huo uwekezaji. Ukifikiri kwa makini ni uwekezaji wa kuumiza wengine!

Yaani watu wengi wanaumia kupitia uwekezaji wako na unahisi wewe ndiyo utabaki duniani na wengine wanastahili kifo! Huku ni kujidanganya!
 
Ukiwa logic lazima ujue kuna siku utakufa is kidding to bealive ur life is immortal.

So the guy Mtibeli is correct.

Then kisaikolojia moja ya therapeutic kwa MTU ambaye yupo stressful na MAISHA huwa tunamkubusha kuwa lazima aweke kiasi maana nothing permanent in this world.
Kisaikolojia a person should be motivated to invest some amount in marketing not in the world investment such as building house, and so far,

Unawekeza kias chake ikiwa ni kwenye biashara (business) knaitw risk management kuepuka kucollapse mtaj wote issue ni u have capital kwann usijenge uwezavyo, kwann usiweke kampuni za kutosha coz u have already earned capital through business, na pesa ipo ya kutosha ,.

Au mnachanganya mambo kna kuwekeza kwenye biashara ambapo unashauriw kuwek nusu ya capital yako ambayo inaitw risk management na kna mtu biashara zake zmetiki kama kna elon musk, mo, bakhresa that's why wanawekeza kwa wingi company mbali mbali kwa kias kikubw hapa kawekeza dunian , au nyie uwezo wakufikir ukoje e?
 
Kisaikolojia a person should be motivated to invest some amount in marketing not in the world investment such as building house, and so far,

Unawekeza kias chake ikiwa ni kwenye biashara (business) knaitw risk management kuepuka kucollapse mtaj wote issue ni u have capital kwann usijenge uwezavyo, kwann usiweke kampuni za kutosha coz u have already earned capital through business, na pesa ipo ya kutosha ,.

Au mnachanganya mambo kna kuwekeza kwenye biashara ambapo unashauriw kuwek nusu ya capital yako ambayo inaitw risk management na kna mtu biashara zake zmetiki kama kna elon musk, mo, bakhresa that's why wanawekeza kwa wingi company mbali mbali kwa kias kikubw hapa kawekeza dunian , au nyie uwezo wakufikir ukoje e?


Umezungumzia mambo ya uchumi and not psychological issues.

Sehemu zote umepatia lakini ulipokosea ni kuipinga point namba tano ya mtoa mada.
 
kifo

tukio au tendo la kufikia mwisho wa uhai; uangamiaji


Wewe ndiyo uwezo wa kufikiri umekuwa mdogo. Duniani tunapita, unatakiwa ufanye uwekezaji na hujakatazwa kufanya huo uwekezaji. Ukifikiri kwa makini ni uwekezaji wa kuumiza wengine!

Yaani watu wengi wanaumia kupitia uwekezaji wako na unahisi wewe ndiyo utabaki duniani na wengine wanastahili kifo! Huku ni kujidanganya!
😂😂 sasa wewe, kufa tutakufa lakin unapofanya struggles za maendeleo yako kumbuka unakuw unatmia strategies mbali mbal kufikia malengo , then ukishafkia automatically unajkuta umewekeza ktu kingene sasa unamaendeleo utajizuia kuwekeza e? HIYO NI LAZYNESS na ukiwa na notion kama hizi huwez kupata maendeleo kuwa na imani 😂😂 Kasome UNDHCR,,, Asee cjajua uelewa wako kna uwezo wa kufikiri na kung'amua mambo kasome critical thinking, katafute vtu vnaitw fallacy, judgement, reasoning halaf uje na hoja iliyoshiba, Nadhan uwezo wako wa kung'amua mambo na kufikir n mdogo
 
Inaonekana ni mvivu wa kusoma,inamfaa zaidi akajikita instagram huko maarifa ya kusoma ni madogo kuliko kuona mapichapicha! Huku kunahitaji ubongo wenye kudadavua wa herufi.
 
Mambo na MTU

Mtoa mada Mimi nimemuelewa kuhusu point yake hiyo no 5.

Kwamba tuendeshe mambo Ila mambo yasituendeshe.

Watu makini huwa hawaogopi kifo isipokuwa huwa wanaangalia nini watiachia dunia .

Ila nakubaliana na wewe kikubwa usiogope kifo maana nothing last in this entity.

Kikubwa wekeza nguvu na maarifa kuangalia baada ya kuondoka utakumbukwa kwa jambo gani
Hapa ndo umenena 100%, u are a critical thinker 🤝🤝🤝
 
Back
Top Bottom