think tank01
JF-Expert Member
- Aug 11, 2022
- 270
- 400
Sasa huu ufundi wa manyumba ulio nao Mkuu una ufanyia wapi?Hapa kwa blaza napokaa kuna ujenzi yaani unakuta mafundi wamechafuka hovyo mkuu...
Mi najaribu kufikilia hivi kazi kama hizo kweli kuna kutoboa hapo maana mda wote mchafu mchafu
Ili tule wanaume, jasho ni muhimu kutoka.