No SQL
JF-Expert Member
- Nov 8, 2014
- 7,063
- 12,563
Western Education is a failed project in Africa.
Walichotuambia kuhusu elimu hakina uhalisia matokeo yke tumezalisha wasomi wengi ambao wanategemea ajira..
Vipaj halis havikupaswa kutegemea uwezo wa kukariri darasan...
Leo hii world bank anatoa 900+billion et tujenge vyuo kweli...kwanini asitoe hizo tukawekeza kwenye kilimo na viwanda...
Vipaji vya kweli sio hivyo...tulipigwa
Walichotuambia kuhusu elimu hakina uhalisia matokeo yke tumezalisha wasomi wengi ambao wanategemea ajira..
Vipaj halis havikupaswa kutegemea uwezo wa kukariri darasan...
Leo hii world bank anatoa 900+billion et tujenge vyuo kweli...kwanini asitoe hizo tukawekeza kwenye kilimo na viwanda...
Vipaji vya kweli sio hivyo...tulipigwa