Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna vitu vingine havina maana kabisa. Yan mtu uangaike na geo location plus picha ilipigwa saq ngap. Labda intelligence ya siasa..

Sisi tunaoshida mmu chictchat na cerebrite hatuna wasiwasi hata tukijulikana.
 
Siasani sijawahi kulifungulia hilo jukwaa nina miezi kibao, itokee tu kuna kitu nataka kusoma kipo kule napita lakini si kucommment au kupita huko
Kuna vitu vingine havina maana kabisa. Yan mtu uangaike na geo location plus picha ilipigwa saq ngap. Labda intelligence ya siasa..

Sisi tunaoshida mmu chictchat na cerebrite hatuna wasiwasi hata tukijulikana.
 
Iko hivi ukitaka uepuke shida ambazo sio za lazima, ukipiga hiyo selfie, clear details then upload! Usiende mbio kama nyumbu kuvuka mto wenye mamba kwamba kilio cha wengi harusi, usije sema hukuambiwa.

Pangu Pakavu
 
Iko hivi ukitaka uepuke shida ambazo sio za lazima, ukipiga hiyo selfie, clear details then upload! Usiende mbio kama nyumbu kuvuka mto wenye mamba kwamba kilio cha wengi harusi, usije sema hukuambiwa.

Pangu Pakavu
Sawa Mkuu
 
Reactions: amu
We mbona unacomplicate mambo?

Tunajiamini sisi na Ndio maana tunafanya hata tunayoyafanya.

#Tusipangiane, na usijaribu kutuambukiza mauoga yako
Post zako huwa zinajieleza, Russia na Rwanda walau wanamfumo wa kuextract sensitive Intel kwa kutumia mabinti warembo sana ambao wengi huwepo kwenye social midia na wakikutaka huko huchomoki, angalia RED SPARROW
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…