Hahahahaha
Kwamba mie sina madhara dear, naomba mtume picha. Maneno yamekuwa mengi sana
Kuna vitu vingine havina maana kabisa. Yan mtu uangaike na geo location plus picha ilipigwa saq ngap. Labda intelligence ya siasa..Sidhani kama unaweza kujua number ya simu kwa kutumia details fichwa za picha iliyopigwa na kamera ya simu...
Kuna vitu vingine kama location (geo location), jina la simu, muda picha imepigwa n.k...hivyo ndio huweza julikana na hata ukivijua pia sio rahisi kumjua muhusika...
Itakuwa unafananisha ugumu na ukali
Kuna vitu vingine havina maana kabisa. Yan mtu uangaike na geo location plus picha ilipigwa saq ngap. Labda intelligence ya siasa..
Sisi tunaoshida mmu chictchat na cerebrite hatuna wasiwasi hata tukijulikana.
HahahahahaKuna mikwara mbuzi sana humu, umetuma wewe mdogo wangu inatosha mimi dada yako ngoja nitulie.
Yan kuna watu wanaishi kwa hofu saana. Haha dahMembers wa hapa ni wa MMU na chit chat.
Babuu usitutishe
Una vidole kama vya Luludiva....
Hawezi anajua shughuli yakeHahahahaha
Hapo ulipo hebu fotoa hata ndoo
Hhahahah if you can't convince them,confuse themHa ha ha ha ha sasa wewe ni mkali au mgumu? Leo mmejua kunichekesha
Ni ipi hiyo mkuuHawezi anajua shughuli yake
Hhahahah if you can't convince them,confuse them
Hawezi anajua shughuli yake
NakupendaUna nini lakini wewe?
Sawa MkuuIko hivi ukitaka uepuke shida ambazo sio za lazima, ukipiga hiyo selfie, clear details then upload! Usiende mbio kama nyumbu kuvuka mto wenye mamba kwamba kilio cha wengi harusi, usije sema hukuambiwa.
Pangu Pakavu
Post zako huwa zinajieleza, Russia na Rwanda walau wanamfumo wa kuextract sensitive Intel kwa kutumia mabinti warembo sana ambao wengi huwepo kwenye social midia na wakikutaka huko huchomoki, angalia RED SPARROW
Wooiiii nyie hangaikeni lakini mwenzenu ndo katoka kuonana na toto moja matata la jf, poleni wanaume.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tumeni sana tu, naona mmeukwaa mkenge, iko hivi Huyu mtu sijui kaambiwa nanani asaidie kutambua watu, intelligence haitumii nguvu! Ukipiga picha na simu yako kisha ukaiaplodi huwa picha inatabia ya kuwa na details zoooote kama mfatiliaji akiwa na Modern Image Analyzer au Advanced Metadata Software, hadi namba ya simu card inaweza kuwa revealed.
Upo uwezekano wa kutuma Spyware article yenye reverse mode kutrack details zako zote, inaweza kuwa imepandikizwa kwa video clips au picha yenye mvuto.
JF ilikumbwa na kazia ya kutakiwa kutoa identity za members.
Acheni ushamba
Mimi huyo? Mwenye wachumba hadi nawakimbia?Mtu poa sana huyo ana wachumba mpaka anawakimbia anakutisha tu.
Ila ukimuudhi hakubali mpaka na wewe ukasirike
Ha ha ha ha muongoOoooo cute b sauti iko clear kabisa.