amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,132
- 31,149
Mimi nimeshakujua sasa tunaanzia tulipoishia kipindi kile au tunaanza upya? Ila punguza mikwara aisee
Nakupenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakupenda
Kitambulisho chenyewe cha mpiga kura hauna nani atahangaika na wewe[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna vitu vingine havina maana kabisa. Yan mtu uangaike na geo location plus picha ilipigwa saq ngap. Labda intelligence ya siasa..
Sisi tunaoshida mmu chictchat na cerebrite hatuna wasiwasi hata tukijulikana.
I miss u girllll.......
Wao waendelee kumjadili sijui intelligensia ye anaendelea kung’oa wabebs...
waooooo fanya basi na sisi tuonane au wewe sio toto moja matataWooiiii nyie hangaikeni lakini mwenzenu ndo katoka kuonana na toto moja matata la jf, poleni wanaume.
Kitambulisho chenyewe cha mpiga kura hauna nani atahangaika na wewe[emoji23][emoji23][emoji23]
waooooo fanya basi na sisi tuonane au wewe sio toto moja matata
Yaani wewe ulipoteaga mpaka whatsapp
Mtu mwenyewe hadi dp unaweka sura yako jina la humu ndo jina la instagram na facebook.
Maisha mafupi haya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]niko Dar halafu niko sea cliff View attachment 1218755
Nilibadili number nadhani ndio tumepoteana... Maisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aah wapi mbona sina cha kuogopa? Mimi hapa OG kabisaView attachment 1218756View attachment 1218757
[emoji123][emoji123][emoji123]View attachment 1218713
Nipo ndani ya vigezo na masharti