Selfika na JF: Snap it. Show it

Una misimamo wewe!!!
 
Iko hivi ukitaka uepuke shida ambazo sio za lazima, ukipiga hiyo selfie, clear details then upload! Usiende mbio kama nyumbu kuvuka mto wenye mamba kwamba kilio cha wengi harusi, usije sema hukuambiwa.

Pangu Pakavu
Sina vinasaba kabisa na hizi tuhuma zako[emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]
 
Virefuuu...

Vinafaa sana kwenye yale mambo yetu haswa hatua za awali wakati timu zikiwa bado katika vyumba vya kubadilishia nguo...

Btw umekumbukwa sana...

Umekariri vidole vya Lulu diva vikoje??

Wanaume sio watu wa mchezo mchezo
 
Reactions: amu
Rudi bush bwana ukanikamilishie mambo yangu.
Ewe dada wa jd uliyemshika mshana siku ya leo naomba umuachie jamani kuna mambo yanakwama.
[emoji23][emoji23][emoji23]... Kipya kinyemi bibie subiri kidogo ila nafanya ule mchakato usijali kabisa
 
Mbona mimi huji ofisini kwangu kunitafuta?? Huu ubaguzi Don

Acha kuniharibia, huyu tulikuwa jirani ofisi. Sasa toka nitoke nitaa ile simpati hata kwa simu.

Halafu nataka mwaka kesho niende naye kupanda mlima Kilimanjaro.
 
Reactions: amu
Nakuharibia kwa H. O. E?
Sawa sikuharibii tena
Acha kuniharibia, huyu tulikuwa jirani ofisi. Sasa toka nitoke nitaa ile simpati hata kwa simu.

Halafu nataka mwaka kesho niende naye kupanda mlima Kilimanjaro.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…