Ukipost tuu nzuri watagoogle adi NIDA.Wera wera hongera mwaya, juzi nilicomment hapa hapa, "wachomoa betrii walivyoaibishwa na huu uzi", hahaha kama nawaona wanavyonisubiri kunigawana
Kwa faida yangu weka tenaMie nipo huko juu
NilishawekaUnatishia tu acha uwoga
Ooh thanksOkay...
Umetokelezea, you look pretty....
Ukipost tuu nzuri watagoogle adi NIDA.
Ukiweka mbaya ndio ya kwako na watakusimanga nayo hataree.
Wanakulia timing tuu.
Wapi walisema tutume original?Umeambiwa tuma Original sio Udownlod.(haaaa haaaa)
Nataka ya kwako
Ewaaaaaaaaaaaahhh.Visu kama nyie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo mnatakiwa humu mtuchangamshe
KaribuThanks
Jipige kiselfie amazing then tupia hapa, ukishindwa nenda kachukue Google[emoji23][emoji23]
Ewaaaaaaaaaaaahhh.
Na hapo nimezaa, ningekuwa sijazaa jee[emoji28]
Tunasubiri uweke picha yako ulipo sasa kama alivyoweka CocoWakuu naomba maelezo kidogo nini kinaendea humu ili na Mimi ni abide the law ???
Si nimekwambia ukishindwa unafata Google!!?Haya mambo ya Selfie yanahitaji confidence na Reception nzuri pia ambayo ni attractive
Wenye Reception za kina Masoud sura mbaya na Remmy ongala tutakuwa observer kama us kwenye World war
Weka picha acha porojoKuzaa hakumalizi ukisu, usiniangushe
Ungepost ya hivi hata wasingejisumbua kulike wala kugoogle. Wangeamini ni wewe na wangefunga kurasa kwa kusema jf wadada ni wabaya.Nisaidie kushanga.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].
Picha yangu hiyo.
Hiyo ni picha yangu OG.Umeambiwa tuma Original sio Udownlod.(haaaa haaaa)
Haya mambo ya Selfie yanahitaji confidence na Reception nzuri pia ambayo ni attractive
Wenye Reception za kina Masoud sura mbaya na Remmy ongala tutakuwa observer kama us kwenye World war
Na mimi niliwahi kumbishia mtu kwamba ulezi (ukiwa shambani) ni mchele.Umenikumbusha tukiwa wadogo tulikuwa tunachagua magari barabarani. Mnakubaliana itakayokuja ni ya huyu, itakayofata ni ya mwingine.
Sasa kuna muda linakuja gari zuri sana mnaligombania, na ngumi zinapigwa, mtu akiuliza kwa nini mnagombana yule mwenye haki anasema wanataka kuninyanganya gari langu…!
Weka picha acha porojo
Hahahhhaha ngoja nikagoogle nije kudolishiaUngepost ya hivi hata wasingejisumbua kulike wala kugoogle. Wangeamini ni wewe na wangefunga kurasa kwa kusema jf wadada ni wabaya.View attachment 1218847