Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 9,679
- 39,087
Ukipost tuu nzuri watagoogle adi NIDA.Wera wera hongera mwaya, juzi nilicomment hapa hapa, "wachomoa betrii walivyoaibishwa na huu uzi", hahaha kama nawaona wanavyonisubiri kunigawana
Ukiweka mbaya ndio ya kwako na watakusimanga nayo hataree.
Wanakulia timing tuu.