Selfika na JF: Snap it. Show it

Sema wewe ni mbishi sana, msimamo ni kitu kizuri.

Kwenye logic kuna principal ya ukianza na uongo ukamaliza na uongo, conclusion ni ukweli, i.e False then False = True.
Ila wewe sikubishiagi maana watu wa mkoa fulani na nyie ni wabishi. [emoji23]

Ukianza kwa uongo maliza kwa uongo. Tunaita msimamo[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Jiamini, nakukubali sana ujue
 
Ila wewe sikubishiagi maana watu wa mkoa fulani na nyie ni wabishi. [emoji23]

Ukianza kwa uongo maliza kwa uongo. Tunaita msimamo[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]

Kwetu mnabishana, halafu mmoja akitaka kwenda mahali anamwomba mtu amshikie ubishi, aliyebaki ameshika ubishi ni mbishi kuliko mwenye ubishi. Na mwenye ubishi akija anaendeleza pale alipoishia yule aliyemshikia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…