Ila wewe sikubishiagi maana watu wa mkoa fulani na nyie ni wabishi. [emoji23]Sema wewe ni mbishi sana, msimamo ni kitu kizuri.
Kwenye logic kuna principal ya ukianza na uongo ukamaliza na uongo, conclusion ni ukweli, i.e False then False = True.
Pole.Imenipitaje Mimi[emoji134]
WoyoooooBeing me
Ngoja nikailete, nikiwa mtoto mbichi.Wacha kabisa na hapo umeshanyonyesha sasa embu tuma ile ambayo kabla hujanyonyesha
Hahhhaa cole mi sikushawishi hata ujipost, nakuelezea tu vile pics zetu wadada zinavyohitaji mambo mengi
Haha sikuiona
Unaweka?
Haha sikuiona
Jiamini, nakukubali sana ujueTena nyie wanaume ndo rahisi sana sura nzuri kwenu sio big deal sasa sie ni balaa, package iwepo, camera nzuri, pozi kali na background kali
Pics nyingi humu ni uwe na karangi, ngozi nyororo, ushape flani hivi vinginevyo hata like hupati sasa kukuta ke anapackage yote hiyo ni nadra sana
Bora tuendelee kubana huku nyuma ya keyboard
Ngoja nikailete, nikiwa mtoto mbichi.
Mimi wenye sura hizo ndo nazozipenda sasa!!!!
Tupia tu boss.
View attachment 1218863class moja tuu jamani autie
Weka tena,[emoji134][emoji134]Pole.
Aisee. Ngoja niuze kile kiwanja changu niwekeze kwakoView attachment 1218863class moja tuu jamani autie
PichaKuweka nini?
Ila wewe sikubishiagi maana watu wa mkoa fulani na nyie ni wabishi. [emoji23]
Ukianza kwa uongo maliza kwa uongo. Tunaita msimamo[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Aaaaaaha wapi wewe
Embu define kupenda basi kwanza ili unishawishi[emoji23]
RudiaNirudie?
Kigoma[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila wewe sikubishiagi maana watu wa mkoa fulani na nyie ni wabishi. [emoji23]
Ukianza kwa uongo maliza kwa uongo. Tunaita msimamo[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]