Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
Acha uchochezi wakoo bana[emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uchochezi wakoo bana[emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂 najitahidi kuchokoza kwa upoleHahahaha wasije kukupa ban tu na huo uchokozi wako ntalia mimi
Hakuna mashindano ndugu yangu...ila kizuri kinapewa sifa zake... Hata wewe lazima kwenye hizi picha kuna mtu umemuelewa kuliko woteKwani kuna shindano gani hapa muheshimiwa jaji?
Kila mtu ako na uwezo na life style yake
Toka juani shem
For me ain’t got no problem about you being cute I know you are
OooohMambo ya beach shem
Hahahahahahhaha unanisema nilivyo mwembamba sio.Kweliii my dear...
Na kabody kako, hebu na mimi niende mazoezi sasa
Viatu mbona umegeuza mkuu
Poa...Jamani
Pole mnoo... wadau wamekuwakilisha!
OfukoziHuyo mtoto mjanja, kuweka hicho kipengere cha fyucha nzuri ni kututoa kwenye ramani.
Kwamba ukikataa kumkubali future yako ni doubtful.
HAPANA my dear...Hahahahahahhaha unanisema nilivyo mwembamba sio.
Ni kweli kabisa.Watu wengi wanajitambua isipokuwa hizi fake ID's ndio zinaleta ufekero...
Aisee hiyo sare ya jeshi umeifanya njunga unatamba nayo popote tu, sasa siku nikukamate usijesema wanajeshi wakorofi
Yo welcomePoa...
There's always next time
Naona umekula raba mtoni shehe
Inner beauty [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndiyo zake huyo. Analeta mambo ya ukiombewa kama huna imani huponi.
Kwamba ukiona umemkataa basi huna future nzuri.
Aisee hiyo sare ya jeshi umeifanya njunga unatamba nayo popote tu, sasa siku nikukamate usijesema wanajeshi wakorofi
Hakuna mashindano ndugu yangu...ila kizuri kinapewa sifa zake... Hata wewe lazima kwenye hizi picha kuna mtu umemuelewa kuliko wote
[emoji23][emoji23] najitahidi kuchokoza kwa upole