Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

.
IMG-20190901-WA0061~2.jpeg
 
Rangi

Swaggs

Quality

Style

Wengi waliofuta picha zao sababu kuu ni kwamba hawajiamini... Ukichukua ile picha ya viganja vya mguu ya scorpio me ina mvuto zaidi ya picha za viwiliwili zote zilizo wekwa hapa (kwa upande wa wadada)

Embu angalia tena zile picha yuko beach na angalia zile nyingine yupo mtoko..... Kama ni mwanaume kamili utanielewa

Kwa hiyo hao unaowaita wanaume kamili wanajua mtu ana swaggs na quality kwa kuangalia miguu wa mtu?
.
Ndio wanaume kamili unaowazangumzia wa kugundua uzuri wa mtu kwa kuangalia miguu yake? Yaani wanaume kamili wakiona mguu mweupe halafu mnene ndio wanafunga mkataba kwamba huyo mtu ana swaggs na apo na uquality?
.
Usitutishe wewe na hao mabaharia feki unaowaita 'wanaume kamili'. Hamna mwanaume kamili hapo.
.
Anaweza kuwa mzuri ila eti kusema kafunika picha za wote huku ni kudhihirisha kiwango chako cha ujinga.
.
Kisa mtu ni mweusi na ni mwembamba basi sio mzuri? Maana ukizungumzia ile picha ni mguu tuu unaonekana. Hiyo haitoshi kutoa kasoro picha zote zilizopostiwa.
 
Kwa hiyo hao unaowaita wanaume kamili wanajua mtu ana swaggs na quality kwa kuangalia miguu wa mtu?
.
Ndio wanaume kamili unaowazangumzia wa kugundua uzuri wa mtu kwa kuangalia miguu yake? Yaani wanaume kamili wakiona mguu mweupe halafu mnene ndio wanafunga mkataba kwamba huyo mtu ana swaggs na apo na uquality?
.
Usitutishe wewe na hao mabaharia feki unaowaita 'wanaume kamili'. Hamna mwanaume kamili hapo.
.
Anaweza kuwa mzuri ila eti kusema kafunika picha za wote huku ni kudhihirisha kiwango chako cha ujinga.
.
Kisa mtu ni mweusi na ni mwembamba basi sio mzuri? Maana ukizungumzia ile picha ni mguu tuu unaonekana. Hiyo haitoshi kutoa kasoro picha zote zilizopostiwa.
@cresida natoka mutu anaingia mutu wa kuendeleza sebene love you hannah
 
Kwa hiyo hao unaowaita wanaume kamili wanajua mtu ana swaggs na quality kwa kuangalia miguu wa mtu?
.
Ndio wanaume kamili unaowazangumzia wa kugundua uzuri wa mtu kwa kuangalia miguu yake? Yaani wanaume kamili wakiona mguu mweupe halafu mnene ndio wanafunga mkataba kwamba huyo mtu ana swaggs na apo na uquality?
.
Usitutishe wewe na hao mabaharia feki unaowaita 'wanaume kamili'. Hamna mwanaume kamili hapo.
.
Anaweza kuwa mzuri ila eti kusema kafunika picha za wote huku ni kudhihirisha kiwango chako cha ujinga.
.
Kisa mtu ni mweusi na ni mwembamba basi sio mzuri? Maana ukizungumzia ile picha ni mguu tuu unaonekana. Hiyo haitoshi kutoa kasoro picha zote zilizopostiwa.
Ile yako kabla hujazaa meisubiria mpaka mechelewa mazoezi
 
Back
Top Bottom