Halafu unakuta mtu wa namna hiyo ameenda shule[emoji28][emoji28][emoji28].Hilo ndo la msingi potezea tu.
Na hii ndo shida ya watz wengi mtandaoni hawawezi sifia kitu mpaka walinganishe na kuunda teams hawawezi msifia Ali kiba mpaka wamlinganishe na mwanamusic mwingine.
Kasema amenenepa kwamba watu huzaa, pia na weusi wa 2016 sio uleule wa 2019. Binafsi naheshimu utetezi wake[emoji5][emoji5]Haaaaa I knew this LOL....
The two pictures were totally different.
Hivi nijibu marahaba eti?I salute you
[emoji23][emoji23] Dah sijaelewa unachoshindania
Unataka nitengue kauli ama ni ugomvi unataka au unataka nikuambie nawewe ni mzuri?
Umeona picha ya sakayo, unforgetable, yna2 cute b kapeace hannah lakini au umeona tu hiyo?
Mimi bado najiona nipo sawa maana wanaume wamekubaliana namimi ila nyie wanawake wenzie ndio mmekataa.... Kwahiyo ni wivu umewajaaNakubali.
Ila nisichokubaliana nacho ni kusema kila mtu ana mtazamo wake huku anasema kwa kila mwanaume kamili lazima akubaliane nae kwamba miguu ile imefunika picha zote za wadada huku.
Kwahiyo wasiokubaliana nae sio wanaume kamili? Kumbuka kila mtu ana mtazamo wake wa namna anavomuona mtu.
.
Kwa mwanaume mwenye akili hawezi kusifia huku akofanya comparison za kijinga hivyo.
Nimekuuliza haujajibuWanangu babu yenyu hapa nauza miatu ya kishua kabisa..tena Kwa bei nafuu kabisa...hivi mbona hamuulizii nilipo?
Basi mtu wa namna hiyo mwenye akili za hivo kabla hata haujamuona unaelewa anafananiaje.Hahahaha kwani kachelewa kashalalia kwenye wivu tu
[emoji23][emoji23] Dah sijaelewa unachoshindania
Unataka nitengue kauli ama ni ugomvi unataka au unataka nikuambie nawewe ni mzuri?
Ok naomba mnisameheniWote ni wazuri kaka scorpion me mzuri sana lakini haikuwa busara kulinganisha na picha zingine na kuziponda za wengine, haikuwa poa kaka.
Ungeomba tu msamaha yakaisha hapo umechemeka.
Umechemka... Sio picha hiziSura ya mbuziView attachment 1218969
Lakini ni ya kwako.Nimepost ya kugugo
Oohh sawa basi nikataka niseme jamani kuna watu wanajua kuchora hadi wamepeeteeleezerMkuu hiyo ni Photoshop isikuumize kichwa
Nimemuuliza huyo jirani anachoshindania ni nini? Maana anaonekana ana hasira sana.. Kwaiyo nataka nijue anacho kihitaji ili nimridhisheWe kaka nimekuuliza kule juu kuna shindano gani? Ukasema hamna shindano saiv umekiri kutuweka kwenye mashindano!!! Haya mheshimiwa jaji