Picha gani tena unataka? We picha yangu hujaiona?Nikajua umeniitia piacha.... wekeni picha acheni kuchat
Nitakujia usiku wa manane [emoji23]
Mwambie, mwambieWanaume gani wamekubali? Ni wewe peke ako na Rrondo.
Usiwajumuishe wengine, kuna Mkokaa hapa anapenda chata nyeusi sana [emoji23]
Ila kaka umeyumba, we hujamsifia ila umelinganisha mguu na viwili wili ya watu kweli? Ni heri hata ungesema katika picha zote zilizotumwa nimevutiwa na hii.
Safi sana jibu liko hapo mwishoni, kusifia kitu sio lazima ukishushe kingineHalafu unakuta mtu wa namna hiyo ameenda shule[emoji28][emoji28][emoji28].
Kusifia kitu sio lazima ukishushe kitu kingine.
[emoji109][emoji109][emoji109][emoji123]View attachment 1218997
Hapana mkuu hiki nimepiga leo yeezy boost, hizo ni collection tuu
Post iliyopita
Picha ya kwanza ni mda umepita wingsman mbezi beach
Picha ya pili ni etina bar near mliman city
Picha ya tatu ofisini kwangu
Picha ya nne ni capetown fish market
Na hii ya sasa hivi ni hapa ARISA ardhi university mda huu
Nini hiyo?Y VB I'm e
Na lemba jekunduUvae kaniki [emoji85][emoji85][emoji85]
Yaaas!that's my loveYou are part of me, why shouldn't I know myself?
Mbona sasa?Mbona sasa
Dada mzuri hivo unachapa wanafunzi. Usifanye hivo, kuwa mpole na utumie ushawishi na ushauri kuwarekebisha. Nakuhakikishia wanafunzi wa kiume wanapenda sana kukosolewa na madam kisu, mwenyewe nilikuwa nazingatia sana na kujirekebishaKuna mwanafunzi tulimchapa hadi tukaona tuache tuu.
.
Hajaandika kwenye madaftari yake halafu analazimisha ameandika.
Onesha alipoandika, anafungua daftari mwanzo hadi mwisho kurasa moja moja anafungua hadi ambazo hazijaandikwa.
Anatafuta alipoandika , ikumbukwe ni notes kama za mwezi ndio anazitafuta hivo bora ingekuwa siku moja ingeeleweka kachanganya kurasa.
Hadi Leo na kesho msimamo wake ni "niliandika kweli eti sijui zimeenda wapi".
Sijui ni kabila gani yule mtoto.
Yaaas!that's my love
Honestly sijaona logic ya mimi kuweka hata kucha hapa
[emoji23]ngoja niwai kwenye ule uzi wetu pendwa kwa walipakodi[emoji482][emoji109][emoji123][emoji109][emoji123]
Hawezi kujipost huyuBasi mtu wa namna hiyo mwenye akili za hivo kabla hata haujamuona unaelewa anafananiaje.
Hivi kapost picha yake kweli? Au ameogopa amefunikwa na "Wanaume kamili" waliopost kwenye huu Uzi?
Nasubiri yako
Mie nimeweka hapo juu
Kuna kazi ofisini nafanya inatakiwa mtu aende mkoa alfajiri kufanya submit deadline ni j4 saa 4:00asbh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]uko wapi? Niko kijiweni hapa