SawaNitakaribia.
Haha siioniKumbe ulifuta eeehh
MwiliUnini eti babake mtoto mzuri
Huyu na yule wa Jana kwenye green nani ni wewe 😂[emoji23][emoji23]
Kwanini wasema nimeiba? Mimi huyo
Tuliojipost ni mangumbaru?
Bi mkubwa una usinga mzuri...
[/QUOTNashukuru
Nawe pia lala salama auntie wangu jamaani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usiku mwema.
PoleeeHaha siioni
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwili
Mganga uko vizuri , hivi unavoanzisha uzi unakua umetuwangia kwanza eeh, maana najiona kabisa navotuma picha yangu full tena,wakati sikuwahi kufikiria hivo dooh[emoji1] [emoji1][emoji123][emoji123][emoji109][emoji109][emoji3]
Ha ha ha ha naomba nilale jamani kesho.
Asante [emoji110]Nice one [emoji123][emoji109]
Fanya hivyoMganga uko vizuri , hivi unavoanzisha uzi unakua umetuwangia kwanza eeh, maana najiona kabisa navotuma picha yangu full tena,wakati sikuwahi kufikiria hivo dooh[emoji1] [emoji1]
We tujaze tu mauchawi yakoHuu uzi utafika mahali watu wataondoa woga na kujiachia kwa raha zao... Hapo ndio kutanoga sasa View attachment 1219035
Sasa mbona umefuta jamani??Kumbe nilikua mkaka[emoji23][emoji23][emoji23]