Nakumbuka XMass moja dingi hakutununulia nguo, mama na mdogo wetu wa kike ndo walinunuliwa pekee.
Then akatuambia, these two are babies, any woman is a baby to you, so treat her with accordance.
From there, I consider any woman as my baby. Popote pale.
[emoji23][emoji23][emoji23]Weka pichaLipsi zinaznyegesha kishenz yani daaah
Wadada wekeni picha. Siku mkichomolewa betri tuwe tushawazoea
Wakatieni umeme wachomoa betri[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Karma ni Ke au Me? SorryIla hii id sijui kwanini aliamua kuiacha jamani, ngoja nikamhonge Melo airudishe.
Jamani mbona mimi silioni hilo jicho; au picha ishafutwa?Jicho sasa[emoji8][emoji8][emoji8]
Kumekucha sasa...
Naona jicho la kuombea mkopo kabisaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamani kapeace nimecheka Sana..[emoji1787][emoji1787][emoji1787] uwiiiiBonge la dude hata x wako nilimwambiaga ulimpa heshima
hahahaha mi nae nina majanga mengi
Mkuu ile bmw umeiuza,naona funguo za passo hapo
Ina maana ndo nimepitwa au?Asante mwaya!
Nachoamini yule role model wangu tunafanana sana tuu, sema tuu maisha yanatofautiana my dear!!
Tho sijawahi acha mshukuru Mungu venye niko, nikitabasamu tuu ni baraka!!!
Barikiwa sana, najua hunaga unafiki!
Ishafutwa dearJamani mbona mimi silioni hilo jicho; au picha ishafutwa?
OhooooIna maana ndo nimepitwa au?
Oooh bahati yangu mbayaIshafutwa dear
Ohoooo
Positive indeed, have a nice week ahead also.Huu uzi kuna kitu Mshana Jr kafanya.
Kila nikiondoka narudi.
cute b, Hannah, joanah, Cresida, Karma, kapeace, Heaven on Earth, Depal, Saint anne, na warembo wote walioshiriki kwenye huu Uzi, asanteni na nawatakia Jumatatu na week njema.
Nimefurahi, it was one positive thread that occupied our weekend.
Sasa unaniwekea picha za baharia tena
Haha hiyo kweli mashine kubwa (six cylinder) hapo K peke yake ina 10kgBonge la dude hata x wako nilimwambiaga ulimpa heshima
hahahaha mi nae nina majanga mengi